The road towards 2010 Elections

The road towards 2010 Elections

Kati ya hawa nani atafaa kutuongoza 2010-2015?

  • Edward Lowassa

    Votes: 0 0.0%
  • Dr. Slaa

    Votes: 7 38.9%
  • Prof. Lipumba

    Votes: 0 0.0%
  • Mizengo Pinda

    Votes: 5 27.8%
  • Samwel Sitta

    Votes: 0 0.0%
  • Jakaya Kikwete

    Votes: 2 11.1%
  • Mark Mwandosya

    Votes: 2 11.1%
  • Harisson Mwakyembe

    Votes: 2 11.1%
  • None of The above

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    18
  • Poll closed .
wanaCCm acheni dhana ya woga; tabia ya kusema ni utaratibu wetu tuliojiwekea kuwa mtu akiwa Rais miaka mitanio ni lazima tumpe tena mingine mitano sio hoja ya msingi kwasababu Huyo mnaemteuwa kugombea urais haendi kutekeleza matakwa yake na serikali yake bali ni ilani ya chama cha CCM kwahiyo kwavile Jakaya kashindwa kuwaletea wananchi maisha bora kama alivyoahidi basi achaguliwe mwingine ambaye anaweza kutimiza ahadi na kuwathibiti wakina Kagoda ambao jakaya wamemuweka mfukoni huhu wananchi wanakufa na njaa!! Ahadi moja ya CCM ni " Kusema kweli daima na fitina ni mwiko" kwahiyo ni wakati muafaka kwa wanaccm kuwa wakweli kwa nchi yao kama alivyokuwa mwalimu!!
 
Nimepiga kura ya maoni nakuongezea zaidi ili kila mtu ajue nikwamba nasema NOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
 
Inafaa amalize kazi aliyoianzisha mambo mawili yanasubiriwa katika macho ya WATAZANIA la kwanza jahazi lifike lilipokusudiwa kutia nanga. au la pili ni kuachiwa jahazi liende mrama,tuwe wakeli mathalan tujalie jahazi limekwenda mrama, jee upondo unaweza kusimama na dharba ya bahari kuu ?? (wakoloni wanasema Money talk)
 
Inafaa amalize kazi aliyoianzisha mambo mawili yanasubiriwa katika macho ya WATAZANIA la kwanza jahazi lifike lilipokusudiwa kutia nanga. au la pili ni kuachiwa jahazi liende mrama,tuwe wakeli mathalan tujalie jahazi limekwenda mrama, jee upondo unaweza kusimama na dharba ya bahari kuu ?? (wakoloni wanasema Money talk)

Ukweli ni kwamba wakati wa kampeni aliomba five yrs,sasa five yrs is up na sasa ndio kwanza kuna kazi kaanzisha? Kwa vyovyote vile ni bora uweke vigezo kuwa ni kazi gani iliyoanzishwa ambayo ni nzuri na inahitaji kuendelezwa then wana JF watapima na kuona ukweli uko wapi.
 
Watu wengi mmekua mkimpinga jk kutokana na udhaifu wake, na sasa jk ameanza kampeni yake kutumia wazee.


JINSI MAJINA NILIVYO YACHAGUA
SAS - ANAWAKILISHA WATU AMBAO HAWAKO KWENYE SYSTEM.
SHIBUDA & MWAKYEMBE - WABUNGE
MWANDOSYA & MAGUFULI - TISHIO NDANI YA BARAZA LAKE
MEMBE & MKULO - MBEGU ZA JK
PINDA, KARUME - SIO MAADUI WA JK BALI WANAMALENGO YA CHEO CHA JUU (AMBITION ZA KUWA RAIS)
DR SHEIN - MTU WA MKAPA

NIMESHINDWA KUONA MWANAMKE AMBAYE ATATOA USHINDANI
/ AU KIONGOZI MZURI

Je swali ni nani kati ya hawa awe badala ya jk?

piga kura hapo juu.
 
Last edited:
Semilong,
Mkuu HAKUNA.. hakuna kwa sababu hakuna kiongozi yeyote ndani ya CCM ambaye anataka kugombea nafasi ya Urais kwa makusudio ya kutuletea maendeleo isipokuwa kutumikia baadhi ya makundi ya watu..
Zaidi ya yote haya hakuna mtu hata mmoja tunamfahamu kwa uhakika hayupo pamoja na kundi la Mkapa/ Rostam/ Lowassa..
Ikiwa CCM Asilia wameamua kujipanga nyuma ya Kikwete nadhani hatuna hoja zaidi ya kuchagua chama kingine, kwani kwetu sisi wananchi CCM ni chama cha KULINDANA..ilani ambayo viongozi WOTE wa chama hiki wameapa kuilinda..
 
Watu wengi mmekua mkimpinga jk kutokana na udhaifu wake, na sasa jk ameanza kampeni yake kutumia wazee.

Je swali ni nani kati ya hawa awe badala ya jk.
As far as I understand,

Kila kitu kina mbadala wake. Nani aliamini baada ya Baba wa Taifa tunge mpata mtu wa kutuongoza!!! And we are still moving either positive or negative, but we are moving.

If we think Jk cannot, then mbadala wake upo. Yeye mwenyewe aliwahi kusema Urais/uwaziri hausomewi mahali. then what to worry about
 
Frederick Tluway Sumaye



--------------------------------------------------------------------------------

9th Prime Minister of Tanzania
In office
November 28, 1995 – 30 December 2005


--------------------------------------------------------------------------------

Born 1950 (1950)
Arusha, Tanzania
Political party Chama cha Mapinduzi
Frederick Tluway Sumaye (born 1950) is the former Prime Minister of Tanzania. He was Prime Minister since the first multi-party elections on 28 November 1995 until 30 December 2005. After leaving office, in 2006 he enrolled for a year as a mid-career student in the Edward S. Mason Program at the John F. Kennedy School of Government at Harvard University, earning a Master of Public Administration.[1]


[edit] References
^ Brittney L. Moraski, "THE NEWS IN BRIEF: Former Tanzanian Prime Minister Coming to KSG", The Harvard Crimson, July 14, 2006.
 
Andindile,
Mimi siku zote hu vote kutokana na logic pia kuwepo kwa jawabu.. Sasa ikiwa swali lenyewe ni Je, Kikwete anastahili kugombea kipindi cha Pili?..
Jibu langu nni NDIYO!..
Ndiyo kwa sababu ni Ujinga mkubwa kufikiria sitting President hafai KUGOMBEA urais... haingii akilini kabisa kwani ni kinyume cha katiba na kinyume fikra huru kwa sababu sioni sababu ya msingi asigombee urais..He is -THE President, kwa nini asigombee au hafai kugombea!.

Isipokuwa swala gumu linakuja kama awe mgombea pekee wa chama CCM.. Hata hilo nawaachia wanaCCM wenyewe kwa sababu swala la mwakilishi wa chama hicho kikatiba ktk uchaguzi mkuu ni hoja ya wanachama wake sio mimi, na nitasema tena Kikwete hafai kuendelea kuwa rais wa nchi kwa awamu ya pili kwa sababu ameshindwa kutatua matatizo sugu na muhimu ya Taifa letu acha mbali yale aliyo ahidi wananchi mwaka 2005...
 
Andindile,
Mimi siku zote hu vote kutokana na logic pia kuwepo kwa jawabu.. Sasa ikiwa swali lenyewe ni Je, Kikwete anastahili kugombea kipindi cha Pili?..
Jibu langu nni NDIYO!..
Ndiyo kwa sababu ni Ujinga mkubwa kufikiria sitting President hafai KUGOMBEA urais... haingii akilini kabisa kwani ni kinyume cha katiba na kinyume fikra huru kwa sababu sioni sababu ya msingi asigombee urais..He is -THE President, kwa nini asigombee au hafai kugombea!.

Isipokuwa swala gumu linakuja kama awe mgombea pekee wa chama CCM.. Hata hilo nawaachia wanaCCM wenyewe kwa sababu Kikwete ni mwakilishi wa chama hicho kikatiba ktk uchaguzi mkuu na nitasema tena Kikwete hafai kuendelea kuwa rais wa nchi kwa awamu ya pili kwa sababu ameshindwa kutatua matatizo sugu na muhimu ya Taifa letu acha mbali yale aliyo ahidi wananchi mwaka 2005...

Ndio Mkandara, Unaweza usieleze wazi kuwa sitting president hafai kugombea, lakini ukaonyesha mapungufu yepi yeye na selikari yake wanafanya na namna nzuri ambayo wangefanya kuyarekebisha. Na kama hawasikii unaweza kutangaza kuwa huna imani na raisi wako ikaitishwa kura ya kuokuwa na imani naye. Mfano Shibuda yupo bungeni kwa muda huo wa miaka minne, hatujamsikia hata mara moja akisimama kidete kuwatetea watanzania kwa kuoza unaoendelea selikarini. Sasa kama hawezi kuonyesha ujasiri wa kuikosoa selikari angalau hata kwa kutumia ubunge wake, kweli ana jipya la kuja kuwafanyia watanzania? Haya mambo ya raisi kunyenyekewa kwa vile tu yupo madarakani hata kama hatekelezi wajibu wake ipasavyo ni kuendekeza ufisadi. Vyombo vya kumwekea shinikizo kuwa ameshindwa kufanya kazi vipo wanaweza kuvitumia
 
Andendile,
Hivyo hafai kuongoza nchi awamu ya pili sio hafai kugombea Urais.. hivi vitu viwili tofauti kabisa,unapotosha maana..
 
Kwanini Hujamuona Dr. Migiro.. She is by any account better than the current President..muweke.. Haiwezekani ukatuambia u dont see any woman fit.. That is an insult to a lot of capable women.. The only thing is that some of them are crooks and the rest are vitanda maalum.. Lakini naona huyu mama She is an academic, she is experienced, she is calm and confident.. (the only thing labda kwasababu mkulu kampa shavu hawezi kumpinga) lakini ability anayo so MUWEKE...!
 
Jinsi ulivyo yaweka hayo majina yana invite upendeleo, ili kupata matokeo yasiyo biased ulitakiwa kuyaweka majina hayo alphabetically either in decreasing or increasing, ila hapo hutapata matokeo yaliyo generalised.
 
kwanini hujamuona dr. Migiro.. She is by any account better than the current president..muweke.. Haiwezekani ukatuambia u dont see any woman fit.. That is an insult to a lot of capable women.. The only thing is that some of them are crooks and the rest are vitanda maalum.. Lakini naona huyu mama she is an academic, she is experienced, she is calm and confident.. (the only thing labda kwasababu mkulu kampa shavu hawezi kumpinga) lakini ability anayo so muweke...!

migiro awezi kuacha unaibu katibu mkuu na kuja kuchuana na mtu aliyemfanya yeye akawa hapo alipo, kama si jk kumchagua kuwa foreign affairs asingechaguliwa. Hata salim alikaa mpaka mda wake ukaisha oau
 
Last edited:
Andendile,
Hivyo hafai kuongoza nchi awamu ya pili sio hafai kugombea Urais.. hivi vitu viwili tofauti kabisa,unapotosha maana..

Nimeluelewa mkulu. haya maneno ni kama yanabadilishana. kama mtu hafai kugombea indirectly unamaanisha kuwa hafai kuongoza nchi. Na kama hafai kuongoza nchi basi hafai hata kuogombea
 
Back
Top Bottom