The road towards 2010 Elections

Kati ya hawa nani atafaa kutuongoza 2010-2015?

  • Edward Lowassa

    Votes: 0 0.0%
  • Dr. Slaa

    Votes: 7 38.9%
  • Prof. Lipumba

    Votes: 0 0.0%
  • Mizengo Pinda

    Votes: 5 27.8%
  • Samwel Sitta

    Votes: 0 0.0%
  • Jakaya Kikwete

    Votes: 2 11.1%
  • Mark Mwandosya

    Votes: 2 11.1%
  • Harisson Mwakyembe

    Votes: 2 11.1%
  • None of The above

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    18
  • Poll closed .
Opposition will win Zanzibar 2010!
Rev. mimi binafsi naamini kuwa CUF ilishinda chaguzi mbili zilizopita lakini kwa kuwa katiba yetu haitoi mwanya kwa Bara na Visiwani kuwa chini ya serekali za vyama tofauti, the needful was done! Sasa unamaanisha hapa kwamba by 2010 katiba itakuwa imebadilishwa na hakutakuwa na kigugumizi katika kumtangaza mshindi halali au?

Sababu yangu kuu kwanini CCM itashinda ni kwa vyama vya upinzani kutojieneza wilayani na vijijini, nategemea upinzani utatoa ushindani mkali kama sio kushinda nafasi za ubunge kwenye miji mingi mikubwa, lakini huko vijijini ambako naamini ndipo kwenye asilimia kubwa ya wapiga kura waandike maumivu tu.
 

Lazima watashinda tena kwa kimbunga, hivi huoni mirror ya jinsi ZANU-PF walivyoshinda?

Haitawezekana kwa Tanzania CCM kushindwa katu! The darling of George Bush and the West, si unaona Canadians walivyojiweka mkao wa kula.
 
Rev. Kishoka,
Mkuu umesema kweli tupu na kibaya ni kwamba uliyaomba yote HAYAWEZEKANI...
sasa hivi maskini wote wanagombania pilau ktk sinia la maulidi...watu kama Dr. Slaa na Zitto ni wachache na hawaonekani labda itokee miujiza ya wapinzani ndani ya CCM wajitoe na kuungana na hawa jamaa zetu kisha nguvu yenu wananchi hasa wakazi wa nje na wana JF mjiunge na timu hii mpya labda naweza kusema kuna tumaini lakini hata hivyo sio 2010..
 

Mura Mutani,

You nailed it, perfectly landing in gymnastics!
 
Hakuna namna unaweza ukaruhusu vyama ambavyo havijakomaa kuongoza nchi.ata kama tunavipenda kwa kiasi gani ni lazima kwanza vijiimarishe ndani.

Kwa mfano wangapi mnajua kuwa mpaka leo hii kuna uchaguzi mdogo wa udiwani kilombelo na chadema haijachagua uongozi wa mkoa wa chadema morogoro, watacoordinate kutokea makao makuu???je ukipewa nchi yenye matatizo makubwa unafanyaje?
 
Ni wakati wa kufanya mabadiliko ndani ya CHADEMA ili kuruhusu wagombea mbadala (badala ya mazoea ya mwenyekiti kuwa mgombea) wakati wa kinyang'nyiro cha urais 2010. Sio kumwondoa mwenyekiti. Tena mtangazeni mapema ili nchi ijue.
 
Ni wakati wa kufanya mabadiliko ndani ya CHADEMA ili kuruhusu wagombea mbadala (badala ya mazoea ya mwenyekiti kuwa mgombea) wakati wa kinyang'nyiro cha urais 2010. Sio kumwondoa mwenyekiti. Tena mtangazeni mapema ili nchi ijue.

Kwa vigezo vipi? au hizo one off show za "list of shame" na mkataba kusainiwa London? Hao katika siasa za Bongo wanaitwa 15 minutes performers, once their 15 minutes are over u wont heard them.

Tulikuwa nao akina Mrema, Kaburu, Marando, Tambwe, Mapalala, Makaidi, Malima, Mtikila, Mtei, Bob Makani, Lipumba... the list is endless. Hao zao zimeisha I can bet 15 minutes za Slaa na Zitto mwisho Oct 2010.

Time will tell.....
 
Ni wakati wa kufanya mabadiliko ndani ya CHADEMA ili kuruhusu wagombea mbadala (badala ya mazoea ya mwenyekiti kuwa mgombea) wakati wa kinyang'nyiro cha urais 2010. Sio kumwondoa mwenyekiti. Tena mtangazeni mapema ili nchi ijue.

Congo,

Katiba haimruhusu Zitto kugombea (Awe na miaka 40). Ila Dr. Slaa hata mimi ningependa agombee kupitia CHADEMA mwaka 2010.
 
Basi usijeshangaa hizo 15 minutes zako zikiendelea hadi beyond 2010. Unakumbuka ninyi CCM mlisema nini ilipotangazwa ile orodha ya mafisadi wa aibu?

Kwanza mliwabeza wapinzani na kuwaita kila aina ya majina, pili mkasema ni uwongo na watu wamejipanga kwenda mahakamani kufungua mashtaka ya kukashifiwa, tatu mkageuza ukweli mkasema ni ninyi wenyewe CCM mliogundua ufisadi na wala si wapinzani. Some of us have longer memories than you may think.
 
Mimi sifikiri kama Dr. Siraa au Zito kugombea urais ni kitu kizuri mimi nafikiri kuwa kuwa na wawakilishi wengi ndani ya bunge ndo muhimu zaidi kuliko kufikiria kuwa na raisi kutoka chama cha upinzania kwa sasa.

Bungeni ndio sehemu ya kubadilisha mfumo mzima wa uongozi uliooza.
 
In lieu of the current Tanzanian campaign financing system,can we think of another that will avoid the temptation to steal from the public and scwandering of government funds?

Be it public or private,traditional or clean...
Are we in a position to lead our campaigns into a path that is morally just?
What choices and decisions should we make now that will make this possible then?
 

Suki, I think that campaign financing is like number 3 on the list of impotrant things to do, there are a number of things that have to happen, including a new constitution that reflects more accurately the multi party democracy and accountability that we want out country to achieve.

Then there's the introduction of individual political candidates, which will keep all political parties on their toes.

And then campaign finance reform. The only problem is that the powers that be a re more comfortable fishing in the muddy waters.
 
Specialization....

Sorry mkuu, didn't want to sound dismissive. I just wanted to point out that this is a complex issue. BUt excellent topic. Lakini swali: nani tamfunga paka kengele? Campaign fiannce reform will not happen with this parliement. They love their porkbarrels!
 
Sorry mkuu, didn't want to sound dismissive.
Worry out...you are terrible at sounding dismissive!

On a brighter note however,all of what you've pointed out is indeed positive input towards a ''real'' governance reform,urgently needed if most of our current problems are to be dealt with.Even so,as V.O Key pointed out,"Unless mass views have some place in the shaping of policy, all the talk about democracy is nonsense".Where am I taking this to?Back to campaigning,...you see,what the current government can do for us in terms of good governance is minute.This doesn't mean to say I am off the ''Let's put the Genie in the bottle'' squad.Most of the changes we need see are to be projected towards the next government(I would think).

Now,if both sides(doesn't matter how many in reality) are well funded during campaigning,we are then in a position to experience stronger public opinion in rival direction,equally supported and as you say ''on their toes''.Plus,isn't the ability of candidates,to speak in their own voices and being answerable to the mass for what they utter in public the essence of accountability?
 
Now this is a good topic, thanks Suki for bringing this up.

The first question to ask is if our campaign financing system is broken and need fixing. But even before that we need to ask if it exists and how is it supposed to be working. How is our campaign financing system?

We can answer that question by looking at the Election Law of 1984 and its amendments.

So for now I believe this could be one of the most interesting topic if one were to thinking of a more freer and fairer election system.
 
Hivi hamjajua kwa nini wanafungua matawi ughaibuni?

sometimes ma political analysts wa JF huwa mnaniacha hoi sana
 
la hasha mie sina interest na petty politics za punch and judy ndio maana nina question hata the so called opposition ikingozwa na Mbowe et al

which makes you political analyst wa JF! au unadhani kuna beji watu wanapewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…