The road towards 2010 Elections

The road towards 2010 Elections

Kati ya hawa nani atafaa kutuongoza 2010-2015?

  • Edward Lowassa

    Votes: 0 0.0%
  • Dr. Slaa

    Votes: 7 38.9%
  • Prof. Lipumba

    Votes: 0 0.0%
  • Mizengo Pinda

    Votes: 5 27.8%
  • Samwel Sitta

    Votes: 0 0.0%
  • Jakaya Kikwete

    Votes: 2 11.1%
  • Mark Mwandosya

    Votes: 2 11.1%
  • Harisson Mwakyembe

    Votes: 2 11.1%
  • None of The above

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    18
  • Poll closed .
Wana jamii mbona tunangushana.....

Nimeweka post hii wiki sasa na watu zaidi ya 100 wameipitia lakini cha ajabu hakuna anayetaka kuendelea na mjadala huu.

Mnasubiri hadi tufike 2010 ndio tuanze kulalama? Mnadhani tukifika huko tutaweza kuzuia kuongezeka kwa elements za kifisadi katika mfumo wetu wa uongozi?

Ama wengi wetu humu ndani tuna target za 2010 hivyo hatuko tayari kurushia mawe wenzetu kwa kuwa nasi twajijua tu wachafu?

Haya na tusubiri baada ya 2010 tuendelee kulalama kama ilivyo sasa...

Tanzanianjema
 
Wana jamii mbona tunangushana.....

Nimeweka post hii wiki sasa na watu zaidi ya 100 wameipitia lakini cha ajabu hakuna anayetaka kuendelea na mjadala huu.

Mnasubiri hadi tufike 2010 ndio tuanze kulalama? Mnadhani tukifika huko tutaweza kuzuia kuongezeka kwa elements za kifisadi katika mfumo wetu wa uongozi?

Ama wengi wetu humu ndani tuna target za 2010 hivyo hatuko tayari kurushia mawe wenzetu kwa kuwa nasi twajijua tu wachafu?

Haya na tusubiri baada ya 2010 tuendelee kulalama kama ilivyo sasa...

Tanzanianjema
 
Jambo nzuri kuwajua mapema ,ila hata ikifika hiyo 2010 situtakuwa kuna watu wanajua back ground zao hawatakuwa wanatoka sayari nyingine ni miongoni mwetu tu.

Au mnataka kujuana mtakao chuana kwenye majimbo mapema kujianda mapema.Yote kheri kwetu .
Ila nadhani Watanzania tutakuwa tumejifunza ktk uchaguzi uliopita kitu.
 
Acheni kumdhihaki JMK.

Amekwishafanya mengi tangu aingie madarakani isipokuwa wanaombeza hawaoni.

Mkapa alipoingia tu akaunda tume ya Warioba,kaanza kuuza NBC,NMB n.k hakuna aliyethubutu kumsema wakati huo kwa sababu alikuwa mbogo.
Leo mna uhuru wa kutosha wa kubwatabwata na kila kukicha mnamsema na kumdharau.

Rais gani katika wale waliomtangulia aliyepambanana ufisadi? Mbona wote kuanzia Mchonga mpaka huyu wako level moja tu?

Unadhani kuna mtu ataingia kichwakichwa na kuanza kamatakamata ,ua weka ndani bila mpangilio ati napambana na mafisadi..
Tatizo si JMK wala Rais ye yote atakayekuwa madarakani.Tatizoni utawala mkongwe wa CCM ambao umekusanya kila aina ya watu.

Kama Watanzania wanataka kubadili si kubadili Rais bali ni kubadili mfumo mzima wa utawala na hili ndiyo tatizo.Wako wapi Watanzania wanaoweza kuindoa madarakani CCM ili tupate Rais atakayekuwa na mfumo tofauti wa kiutawala?Hii ndiyo problem na wala si JMK.

Na nikiangalia kwa undani bado naona hakuna chama kinachoweza kuwaweka Watanzania na kuwaondolea kasumba ya miaka nenda rudi.Kasumba ambayo ilisimikwa na Mchonga,ambaye baada ya kuboronga vibaya kwenye utawala wake lakini anaonekana na vijana wa leo kama mkombozi na malaika,amliambukiza taifa maradhi ya woga,unafiki na ubinafsi ambao hadi hii leo ni vigumu kutoka ndani ya mioyo ya Watanzania.

kwa hiyo hakuna haja ya kuuliza kama ningekuwa JMK ningeamua nini.Niamue nini na mimi nina CCM na nina Watanzania!

Mzee nakubaliana nawe katika mfumo mzima wa CCM katika kuwapa kasumba mbaya uoga, unafiki, ubinafsi...n.k. Lakini pamoja na yote hayo, JK ni rais pekee TZ ambaye ameonyesha udhaifu na uwezo mdogo wa kuliongoza Taifa.

I wish he does realise that is not a presidential material and retire in 2010. Is so far the weakest and worst prez ever in the history of TZ. Kwa sasa Bongo inabidi tusali tu ili mungu atuepushe na njanga lolote.

Hili chaguo la mungu tuliloambiwa nafikiri miaka 5 inatosha, tujaribu tena chaguo la WTZ.
 
Hivi tatizo la Mkuu wetu ni nini hasa
1.Je alijiandaa isivyo kuwa kiongozi mkuu wa nchi hii?hata baada ya miaka kumi
2.Je amezungukwa na washauri wasiofaa
3.Je yeye siyo Mtu makini?
4.Au ndio tabia yake
 
Hivi tatizo la Mkuu wetu ni nini hasa
1.Je alijiandaa isivyo kuwa kiongozi mkuu wa nchi hii?hata baada ya miaka kumi
2.Je amezungukwa na washauri wasiofaa
3.Je yeye siyo Mtu makini?
4.Au ndio tabia yake

Nafikiri hata ukimuuliza yeye hatakuwa hana jibu. Tutabakia kumuweka kama RAIS aluyechukua madaraka ya nchi kwa mbwembwe nyingi.

Na pia anaonekana kuwa RAIS atakayeweka Historia ya kufanya vibaya zaidi ya MARAIS wote wa Tanzania.

Hii nikimaanisha kwamba hakuna RAIS mwingine katika historia ya Tanzania atakayekuja kutawala na kufanya vibaya kama JK.

JK mpaka sasa ni mzigo mkubwa sana kwa Taifa la Tanzania.

Tuendelee kumwombea awe na busara itakapofika mwaka kesho atamuke kuwa anaomba kupumzika katika siasa.
 
It is a reality, almost a fact that CCM will have a massive win in general elections 2010!

Yes I have been one of the pundits criticizing CCM leadership and especially President Kikwete and the alleged Mafisadi, but I have to be realistic, is there a chance opposition can take over the Union Government? The answer is No, however, Opposition will win Zanzibar 2010!

For CCM to fall apart and loose 2010, the following must happen:

1. Opposition should unite and form one party.
2. Opposition must stop dependeing on Ruzuku as way and means to exist
3. Opposition needs new leadership and faces that are yet to be tarnished and compromised by CCM or the way Mtikila and Rostam deal
4. CCM fails to calm the unrest from CCM Visiwani on Muungano and Nchi issue
5. Watanzania to have change of heart and ignore CCM, however this is hard and it kind of brings me on specifics of why CCM will win.

CCM will win by;

1. Overhauling the arty image especially wagombea udiwani na Ubunge. There going to be a lot of new faces in 2009-2010 elections. Gone will be the old faces and hence Wananchi will be dillusional to see new faces forgeting that it is the same party. Part of this strategy is to rid of those who are a burden, however they will remain behind the scene to make sure their own people the new faces are fielded so that they can protect the chama. This means Mafisadi wataendelea kupeta!

2. Accomodating Zanzibar needs for Muungano issue and new katiba

3. A massive clean up in the government and CCM leadership, however this will be cosmetically done to ruse wananchi in believing that Chama kimejisafisha

4. CCM will not use any ufisadi deals, it will win clean hands down! Sadly we are waiting for another scandal, but these will befirst fair elections and CCM will come out on top. Problem is that Opposition is still not strong enough and is yet to sell itself to Wananchi and offer alternative means and better programs than CCM.

5. Wananchi are still having faith with CCM. CCM Propaganda machine has already started its work, the only matching forces is CUF and only in Zanzibar. CUF has strong loyalty in Pemba and is now spreading to Unguja. In the mainland, opposition is too weak to put up a fight.

For anyone looking for changes in Tanzania political spectrum they should start planning for 2015 and 2020, it will be a miracle if 2010 will be the year of change! If any, the changes will come from CCM itself and not through opposition!
 
Rev, nakubaliana na uchambuzi wako. Hali hii ni ya kweli kabisa na inatisha. Sijui ni lini vyama vya upinzani vitakubali kwanza kuwa wapinzani ili kuonyesha wananchi nguvu waliyonayo na kupata imani ya wananchi.

Hili ni muhimu sana katika harakati za kuikomboa nchi. Inabidi wajifahamu kwanza nguvu na udhaifu wao ili warekebishe udhaifu na waitumie vizuri nguvu yao...tatizo moja ni kwamba...kila chama kinataka kionekane kinaweza kuibadili sura ya nchi. I can understand, that is the whole idea of them being political parties but wasisahau mazingira yanayowakabili na nguvu alizonazo mpinzani wao.

We have a long way to go. The opportunity is there ila tu vyama vya upinzani bado havijatumia ufunguo sahihi wa kufuli
 
For CCM to fall apart and loose 2010, the following must happen:

1. Opposition should unite and form one party.

No No. Strong, credible opposition members must come out of their messed up political parties and form a movement party. Or they should join a small clean party and build it up. I am thinking of Zitto, Lipumba, Slaa, Mvungi and Lissu leading this movement for political and constitutional change in Tanzania.
 
For CCM to fall apart and loose 2010, the following must happen:

1. Opposition should unite and form one party.
2. Opposition must stop dependeing on Ruzuku as way and means to exist
3. Opposition needs new leadership and faces that are yet to be tarnished and compromised by CCM or the way Mtikila and Rostam deal
4. CCM fails to calm the unrest from CCM Visiwani on Muungano and Nchi issue
5. Watanzania to have change of heart and ignore CCM, however this is hard and it kind of brings me on specifics of why CCM will win.

Another reason Rev Kishoka

6. Watanzania wengi hawajui source ya matatizo yao ni chama tawala. Wanaona siasa kama mtu na ajira yake na bora shetani umjuae kuliko malaika ajaye.
 
sijaiona hiyo opposition bado .. naona kama wote ni wale wale ... kama watu vile
 
Wapinzani wangeweka mkakati wa kukamata serikali za mitaa kwa wingi kwanza, likiwezekana hilo itakuwa rahisi kukusanya nguvu kwa ajili ya uraisi kwa maana hao hao viongozi wa serikali za mitaa ndo watakuwa wapishi wa kumpika mgombea uraisi wa chama chao katika kata zao.

na kwa namna gani wataweza kushinda serikali za mitaa?,

hawana budi kuwaandaa watu wao katika kata husika kwa miaka mingi na kuwapandikiza katika kata husika, wazoeane na wananchi, waishi nao katika shida na raha lakini katika akili zao wawe na lengo la kugombea na kukamata kata hizo. sasa hapa ndo ruzuku inabidi ifanye kazi kisawasawa kuhakikisha hawa watu wanapata msaada takaofanikisha malengo ya chama ya kisiasa.
 
Chaguzi angalau tatu zijazo zote CCM inashinda. Kwa sasa hakuna chama mbadala au kiongozi wa maana kutoka upinzani kama alivyokuwa Mrema 1995.
 
naimaomari si sahihi kusema wote ni walewale. Tuwape chance, if they fail we will remove them, thats why there is election every 5 years. Haiingii akilini kusema eti kwa sababu wapinzani ni walewale basi ndo CCM waendelee, hapana, tuwang'oe ili wajifunze kuwa hii nchi si mali yao binafsi. Ni sawasawa umekanyagwa na mtu, halafu ukatae kumuondoa eti kwa sababu atakaekuja nae atakukanyaga, ondoa huyo, ataekuja nae akikukanyaga ondoa, iko siku atapatikana Muungwana atakupa pole. nawasilisha hoja.
 
Nakubaliana na yote kasoro hili....

4. CCM will not use any ufisadi deals,it will win clean hands down! Sadly we are waiting for another scandal, but these will befirst fair elections and CCM will come out on top. Problem is that Opposition is still not strong enough and is yet to sell itself to Wananchi and offer alternative means and better programs than CCM.

Zamani wakati kweli CCM kilikuwa ni chama cha wakulima na wafanyakazi pesa ilikuwa kama ni taboo kwao.Kwanza ingetoka wapi?Ndio maana viongozi wa zamani wengi walikuwa ni 'watongozaji' wazuri kuliko wa sasa,kwa sababu hio zamani ndio ilikuwa ni silaha yao pekee.
Sikuhizi silaha imekuwa pesa,hata wale waliokuwa wazuri zamani now have turned their backs on that na wamegeukia pesa.

Pesa hiohio ndio imefanya CCM sikuhizi kimekuwa ni chama cha wafanyabiashara zaidi kuliko wakulima na wafanyakazi.Kubadilika kwa haraka kwamba kwenye uchaguzi ujao mambo yawe tofauti na washinde 'kihalali' ni kitu ambacho kila mtu anataka kusikia.Lakini at the same time tukumbuke kuwa hii ni nchi maskini,yenye viongozi maskini wanaotawala maskini kimaskini! Umaskini in its natural form unaleta ujinga,moja ya ujinga wetu huo sisi kama watanzania ni uwoga wa mabadiliko.Na hii ina historia ndefu sana,kuanzia kwenye kura za maoni whether we should adopt a multi party system or continue with single party,80% voted for the latter,wakati nchi nyingine zote opted for multi partyism.

Opposition has been with us since 1995.Uchaguzi ule tulishuhudia NCCR ikipata wabunge wengi,na Mrema kupata kura ambazo any observer would have said opposition ya Tanzania inaelekea pazuri.Fast forward that to 2005.NCCR is nowhere to be seen,Mrema huyohuyo alishagombea urais kwa kupitia chama kingine na kupata matokeo mabaya kufananisha na 1995,wengi waliokuwa ni wabunge wa NCCR wa wakati huo wamejiunga na CCM,thats within 10 years! CUF ni hao hao wanaogombea miaka nenda rudi,then wanatoa kilio hichohicho kuwa its time for change!Mimi huwa najiuiliza mwenyewe,what change! CCM has been extremely clumsy in its dealings,lakini nobody seems to take advantage of the situation.
Lowassa anazomewa Coco beach na vijana wa uswahilini..'fisadi...fisadi!' Lakini leo bado tunasikia kuna Kilokiro.Kwamba,kwa jinsi watanzania walivyo wajinga,Lowassa anaweza kusafishwa within 2 years na akagombea urais.Maana yake nini,maana yake CCM wanajua hata wakiweka punda pale atashinda tu.Nani leo atasimama aseme kuwa Lowassa will make a good president,waziri mkuu wa kwanza kujiuzuru kwa kashfa anataka kuwa the next president of this country! Only in bongo!
Hata wapinzani leo wakiungana sidhani kama kutakuwa na tofauti.Uchaguzi wa mwisho tumeona wakiachiana majimbo,was there any change?

Hapa pia inatakiwa chama kipya kabisa cha upinzani ambacho kita appeal kwa vijana.Post azimio la Arusha vijana.Hawa waje na mwamko tofauti,sio mwamko wa kutaka kuishinda CCM tu,bali mwamko wa kuleta mabadiliko.Hao vijana waliozaliwa baada miaka hio ni wengi sana.Viongozi wao pia wawe ni vijana hivyohivyo,sio kuwa na jibaba la CCM la zamani.Waanze taratibu,wasiwe na papara ya kutaka kushinda the next elections.Wawe na sera za kisasa zitakazowalenga vijana,ili ku attract vijana wengi kujoin chama chao.Waje na mwamko mpya kabisa.Hapo ndio kweli ntasema tutaanza kuona mabadiliko na mwamko mpya....real change

Back to the point kuhusu CCM kutokutumia pesa za kifisadi...CCM hawana miradi yeyote ya kuwaingizia pesa.They will end up depending on donations from big corporations,na at the end of the day these favours will have to be redeemed.

Thats my take,but otherwise Rev i concur with everything else u have written
 
Chama Cha Mapinduzi

Chama == ni muunganiko wa watu wenye lengo moja, walio chini ya katiba walioichagua wenyewe na wanao uongozi waliouchagua wenyewe
Mapinduzi == Mapinduzi ni mabadiliko ya hali fulani iliyopo kwenda hali nyingine. Haijalishi kubadili hali nzuri kwenda mbaya au hali mbaya kwenda nzuri.

na hao ndio sisiemu. wapo tayari kupindua fikra za watu hata kwa mtutu wa "usalama wa raia", ccm hawapo tayari kuona wanaiachia hii nchi na ndio maana kauli mbiu yao ni KUHAKIKISHA CCM INAENDELEA KUSHIKA DOLA MAISHA YAKE YOTE. katika hali kama hiyo, ni vigumu sana Upinzani kushinda katika uchaguzi hata huko Znzibar.

mfano hai tunao, nani asiyejua kuwa mwaka 2005 CUF walishinda uchaguzi wa rais Zanzibar? lakini kwa kuwa hii nchi ni ya muungano, na kitendo cha Zanzibar ichukuliwe na upinzani na Bara ichukuliwe na CCM ni sawa na kuhalalisha serikali ya mseto,

CCM kamwe hawatokubali, na hata kama CUF watashinda zanzibar kwa 100% bado ccm atatangazwa mshindi. hiyo ndio dola ya ccm, iliyo tayari kupindua matokeo ya uchaguzi na kuyafanya yake.
 
Mkuu Kishoka,

5. Wananchi are still having faith with CCM.
Honestly, mimi binafsi bado nina imani kubwa na CCM kwa sababu inao watu au viongozi wazuri na makini wengi ukilinganisha na kambi ya upinzani.

3. Opposition needs new leadership and faces
Imani yangu inazidi kuimarishwa na jinsi vyama vya upinzani visivyotaka kutoa nafasi kwa viongozi wazuri na makini ambao wapo ndani ya kambi zao kwa kuendeleza tabia ya kukumbatia walewale kila siku, kujinufaisha kwa kupitia ruzuku nk
 
For CCM to fall apart and loose 2010, the following must happen:

1. Opposition should unite and form one party.
2. Opposition must stop dependeing on Ruzuku as way and means to exist
3. Opposition needs new leadership and faces that are yet to be tarnished and compromised by CCM or the way Mtikila and Rostam deal
4. CCM fails to calm the unrest from CCM Visiwani on Muungano and Nchi issue
5. Watanzania to have change of heart and ignore CCM, however this is hard and it kind of brings me on specifics of why CCM will win.

Another reason Rev Kishoka

6. Watanzania wengi hawajui source ya matatizo yao ni chama tawala. Wanaona siasa kama mtu na ajira yake na bora shetani umjuae kuliko malaika ajaye.

A miracle not observed since the days of Joan's Arc is needed for CCM to lose the general elections in Tanzania.

The citizenry has had its fair share of opportunities to at least give CCM a bloody nose and it simply hasn't taken it. Witness all the small by-elections that have taken place since 2005 and the most painful one being the Kiteto one.

Lets be honest, CCM inaweza ikasimamisha mbuzi (yes mbuzi, meeh) kama mgombea na bado itashinda tu.
 
i happen to be in kenya,during the run down to their elections,although the election itself was flawed,witnessing the opposition, going about its daily campaigning chores, left me in awe,nothing was left to chance.if what i saw,is to be used as a benchmark,i am sorry to say the opposition in tanzania has a long way to go.no clear cut policies, to much banter,petty infighting which to the majority of tanzanians just do not add up.

The minority may beg to disagree with me,but better the monster you know ,then the one you dont know
 
naimaomari si sahihi kusema wote ni walewale. Tuwape chance, if they fail we will remove them, thats why there is election every 5 years. Haiingii akilini kusema eti kwa sababu wapinzani ni walewale basi ndo CCM waendelee, hapana, tuwang'oe ili wajifunze kuwa hii nchi si mali yao binafsi. Ni sawasawa umekanyagwa na mtu, halafu ukatae kumuondoa eti kwa sababu atakaekuja nae atakukanyaga, ondoa huyo, ataekuja nae akikukanyaga ondoa, iko siku atapatikana Muungwana atakupa pole. nawasilisha hoja.

yani siyo kwamba hamna upinzani la hasha ... ila their power is so minimal ... kwanza they are usually driven around by the ruling party ... have you ever thought about why all those defecting their parties return to the ruling party .. this means they are exiting from the same doors but at different intervals ..there all the same ... maybe the multiparty system is for our eyes only but in real sense it doenst exist .... that makes it only one party
 
Back
Top Bottom