Tatizo letu sie wanachama na viongozi wa nyama vya siasa hatukubali kukosolewa bali tunapenda na kujua sana kukosoa. Kukubali kukosolewa kunasaidia kujua udhaifu na kujua njia mbadala ya katika kujiimarisha.
Murra,
Uwezo wa kifendha wa Chadema ni mdogo sana na kama hizo kidogo zilizopo zikitumiwa vibaya kwenye uraisi, uwezo wa Chadema kushindana na CCM unapungua, na sio ajabu wakapoteza viti kama ilivyokuwa kwa Dr. Kaborou.
International Eye H. Centre Certificate in Eye Health 1993 1993 CERTIFICATE
TransWorld Tutorial College, London Certificate in Management 1985 1985 CERTIFICATE
St. Thomas Aquinas University Advanced Diploma in Rural Development 1980 1981 ADV DIPLOMA
St. Urban University, Rome PhD (JCD) Law 1977 1981 PHD
Kipalapala Seminary Certificate in Theology 1974 1977 CERTIFICATE
Kibosho Seminary School Certificate in Philosophy 1972 1973 CERTIFICATE
Itaga Seminary School A-Level Education 1970 1971 HIGH SCHOOL
Dung'unyi Seminary School O-Level Education 1966 1969 SECONDARY
Karatu Primary School Primary Education 1962 1965 PRIMARY
Daudi Primary School Primary Education 1961 1961 PRIMARY
Kwermusl Primary School(Mbulu) Primary Education 1958 1960 PRIMARY
--------------------------------------------------------------------------------
CERTIFICATIONS
Certification Name or Type Certification No. Issued Expires
No items on list
--------------------------------------------------------------------------------
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From Date To Date
Tanzania Society for Blind Managing Director 1992 1998
Tanzania Episcopal Conference Secretary General 1985 1991
Diocese of Mbulu Development Director 1982 1985
Diocese of Mbulu Vicar General 1982 1985
Diocese of Mbulu Development Director 1977 1979
Diocese of Mbulu - Roman Catholic Church Padre 1977 1991
--------------------------------------------------------------------------------
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Position From To
CHADEMA Secretary General 2002
CHADEMA Vice Chairman 1998 2002
CHADEMA Member of Parliament (Karatu Constituency) 1995 Todate
CHADEMA Member of National Executive Committee 1995 -
Chama Cha Mapinduzi - CCM Secretary Foreign Branch(Rome) 1980 1982
Youth Union -TANU Secretary 1974 1977
TANU Chairman (Kipalapala Branch) 1974 1977
Mimi nausongo na suala la flamingo wa L.Natron ambalo nasikia liko jimboni mwake! Kama ni hivyo, mbona amekuwa bubu?
Kalamu,
Tunaweza tukaongelea mifano ya nchi hata 30, labda kwa vile tunaipenda, lakini hakuna hata mmoja ambao utatusaidia either kujenga upinzani wa dhati au kuiondoa CCM madarakani. Vyama kujisafisha na kuwa na maandalizi yanayofaa ndio solution peke yake.
- Hapajawahi kuwepo kiongozi mwenye hizo sifa ulizozitaja kwenye upinzani kama Mrema. Mpaka wasomi wa UDSM walimkubali awe kiongozi wao, matokeo - akapigwa chini.
- Kama unafikiria wapinzani wana muda, basi ngoja waendelee kusubiri mpaka 2010 ndio waanze kujipanga, hala tutasikia matokeo.
- Mimi sipingi yeyote yule kujitokeza, ninachopinga ni kuwatoa kafara mtu kama Dr.Slaa, wakati vyama vyenyewe havijajiweka sawa.
Invisible,
Slaa ni kichwa kuwa president 2010 lakini tatizo timu atakayounda kumsaidia inaweza kuwa na vicheche watupu kiasi kwamba na yeye tukamuona kama JK. Muhimu hapa abaki humu humo bungeni na aendelee kufumua uozo anaouna na wenzake vinginevyo mzee tutampoteza katika ramani.
Si unaju Freman Mbowe alipokuwa Mbunge alikuwa moto kuja kutia timu kwenye u-president maji ya shingo anaweza na yeye kupotea kama mzee wa kiraracha (Lyatonga Mrema) ni choka mbaya bwa shee!!
Kwa hiyo hapa unachojaribu kusema ni kwamba nchi iendelee kuongozwa na watu kama kina Kikwete, kwa hili sikubaliani nawe kabisa kwa sababu I can't stand even a month of Kikwete Presidency. Nchini mwetu na nchi nyingi za kiafrika Rais ana madaraka makubwa sana kiasi kwamba ni muhimu kufanywa kila aina ya mikakati kuhakikisha urais unakwenda kwa wapinzani, mikakati hiyo iendane pia na mpango thabiti kuhakikisha idadi ya wabunge wa upinzania wanaongezeka. Ni Mgombea wa Urais imara na anayekubalika na wengi ndio atawezesha hata wapinzani kupata viti vingi vya ubunge, kwa hilo naamini kabisa Dr. Wilbroad Slaa ndio mtu anayefaa kuongoza mapambano dhidi ya CCM.
Mazee GQ,
Kuna watu wana mawazo kuwa hakuna yeyote anayeweza kuongoza nchi isipokuwa ccm peke yao. Wanaweza kushauri kuwa hata wabunge wote na madiwani watoke upinzani lakini presidente atoke ccm.
So far sijaona argument why wanafikiria hivyo!
Ni kweli kabisa mwafrika wa kike yaani inashangaza sana, unajua kuna watu bado wanaamini CCM ndio mtatuzi pekee wa matatizo ya Tanzania, hawa watu hata waone majambazi wa CCM wanafanya ufisadi kupita kiasi bado wataendelea kuamini CCM ndio Chama pekee kinachofaa kuongoza. Nashindwa kuelewa kama wamepumbazwa na siasa za ujamaa na kujitegemea ambazo siku zote zinamlazimisha mfuasi wa chama kutii, kuzifuata na kuzidumisha fikra za mwenyekiti hata kama fikra hizo ni za kijinga, potofu, chafu, goigoi na zilikosa busara.
Mazee GQ,
Kuna watu wana mawazo kuwa hakuna yeyote anayeweza kuongoza nchi isipokuwa ccm peke yao. Wanaweza kushauri kuwa hata wabunge wote na madiwani watoke upinzani lakini presidente atoke ccm.
So far sijaona argument why wanafikiria hivyo!
Kauli kwamba eti Dr. Slaa asigombee urais ila agombee ubunge ndiko anaweza kuwa more effective, ni kauli weak sana kama sio empty kabisaaa, kwa sababu kuwa effective Slaa sio lazima awe bungeni, Mhatma Ghandi, hakuwa kwenye bunge lolote na wote tunajua kuwa Mandela alikuwa more effective akiwa jela, kuliko hata alipotoka nje,
Slaa agombee urais kama inawezekana, kwangu itatusaidia sana CCM kuja na strong candidate knowing kwamba tukiweka goi goi ataondolewa, na pia itatusaidia CCM kujisafisha na ufisadi!
Ize....wenyewe watakwambia CCM ilianzishwa na baba wa taifa aliyekuwa na fikra sahihi. Watakwambia CCM ina dira na mwelekeo madhubuti na blah blah nyingine kibao. I just don't buy that kind of B.S. Mimi nawalaumu wananchi wanaoendelea kudanganywa na wenyewe kudanganyika kuwa CCM ni madhubuti. Hakuna lolote zaidi ya maneno meeeeeengi na matendo sifuri. Kwa mtu yeyote mwerevu mwenye kuweka maslahi ya taifa mbele hawezi hata kidogo kuwapigia kura CCM. Moja ya maadui waliotangazwa baada ya uhuru alikuwa ni ujinga. Adui huyu bado yupo na tusipoangalia atatumaliza hivi hivi mchana kweupe. Hakika mtu mwenye akili timamu hawezi kuwapigia kura CCM. No way!!
Ngabu, hiki ndicho JF na media makini tanzania zimeanza kufanya hii iwe halisi. Kuwaelemisha wananchi kuwa ni makosa na uzembe kuchagua chama ambacho kinachangia kwa kiwango kikubwa sana kwenye umasikini wa nchi kwa sababu tu ni chama kilichoanzishwa na Nyerere.