taffu69
JF-Expert Member
- Feb 26, 2007
- 2,094
- 541
Wakati tunaelekeza macho yetu kwenye 2010 naona tusisahau zile kelele za kufanyia mabadiliko Katiba ya Nchi.
Kuna mambo mengi yanatakiwa kuangaliwa na kufanyiwa marekebisho kwenye hii Katiba. Kwa mawazo yangu naona Suala la Rais wa Jamhuri ya Muungano kuwa voted kwenye Jimbo la Uchaguzi na hivyo kuwa kwanza member of National Assembly ndipo awe confirmed kama Rais, liwe mojawapo ya masharti.
Nafikiri hii itasaidia kupata vichwa vizuri kwenye Bunge hususani wale wanaopoteza nafasi kwenye kinyang'anyiro cha Urais.
Kuna mambo mengi yanatakiwa kuangaliwa na kufanyiwa marekebisho kwenye hii Katiba. Kwa mawazo yangu naona Suala la Rais wa Jamhuri ya Muungano kuwa voted kwenye Jimbo la Uchaguzi na hivyo kuwa kwanza member of National Assembly ndipo awe confirmed kama Rais, liwe mojawapo ya masharti.
Nafikiri hii itasaidia kupata vichwa vizuri kwenye Bunge hususani wale wanaopoteza nafasi kwenye kinyang'anyiro cha Urais.