Mauza uza
JF-Expert Member
- Jul 24, 2008
- 2,097
- 1,363
Washauri wajikite zaidi kwenye fani ya lundenga labda huko tunaweza fanikiwa kiasi....kwikwikwikwi.me nahisi mpira si fani yetu, nadhani tujikite zaidi kwenye riadha maana imeshaonekana mpira hata hela ikiwa nyingi na facilities zikiwepo bado hamna kitu mfano Canada, japan, qatar,na nchi nyingine hamna mpira huko lakini angalia Brazil mambo mswano