Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
KOCHA wa timu ya taifa ya Tanzania, Marcio Maximo amesema atatumia ujio wa Kombe la Dunia kuwajenga kisaikolojia wachezaji wa timu yake watambue kuwa na wao wanastahili kutwaa kombe hilo.
Alikuwa anasubiri nini siku zote?
Hizi ni ndoto za mchana au kuna dalili za uwezekano wa Tanzania kutwaa kombe la Dunia siku za usoni?
Dalili ya mvua ni mawingu.
Mbona sioni mawingu yoyote hadi sasa?
Wadau mwasemaje?
Alikuwa anasubiri nini siku zote?
Hizi ni ndoto za mchana au kuna dalili za uwezekano wa Tanzania kutwaa kombe la Dunia siku za usoni?
Dalili ya mvua ni mawingu.
Mbona sioni mawingu yoyote hadi sasa?
Wadau mwasemaje?