Bantugbro
JF-Expert Member
- Feb 22, 2009
- 4,476
- 4,250
Exaud,
Naomba ubadilishe title ya thread yako iwe kama hivi hapa chini....:
THE RISE AND FALL AND RISE AGAIN OF MARCIO MAXIMO
Exaud,
Exaud,
Naomba ubadilishe title ya thread yako iwe kama hivi hapa chini....:
THE RISE AND FALL AND RISE AGAIN OF MARCIO MAXIMO
Hivi soka ni deoxynucleic acid (dna) au ni kocha huko brazili wanafanyaje??
Watoto wetu wenyewe tunawaambia waache michezo wasome soka litatokea wapi tanzania??? Tunasoma ili tujikwamue kiuchumi wenzetu wanasakata kabumbu ili kujinyakua kiuchumi. Nafikiri tutafute tima muafaka wa hili swala. Maximo alikuwa mjasiria mali kashachuma .naona kocha wa pwani ya ndovu anataka kuleta miujiza baada ya maximo kuondoka
Mkuu MBU,Kwani?
...takwimu za ubora na kiwango cha soka letu ni vipi?
Tuanzie na FIFA ranking kunaznia miaka kumi iliyopita. Tumepanda kisoka au tumeshuka?
...tukimaliza hapo, tuangalie viwango vya Vilabu vyetu.
Wale tunaowaita top four, wakiwemo Young Africans na Simba Sports Club. Maximo na ujuzi wake wote hawezi kuchagua wachezaji nje ya hao tulionao.
...ubora na kiwango cha wachezaji wetu vinaanzia kwenye vilabu vyao. Maximo yeye huchukua hapa na pale tu kuunda team ya taifa. Labda kwanza lawama tuzielekeze kwa FAT, na vilabu kutokuwa na U-13, U-15, -U-18 na hata U-21 Academies.
Takwimu za FIFA hizi hapa tangu "MAXIMO" Achukue timu;
http://www.fifa.com/associations/association=tan/ranking/gender=m/index.html
Mkuu MBU,
Nitazipitia hizi data zako nione kama zinatuelkeza kwenye kunyakua kombe la dunia hivi karibuni.
Hii kali.Hebu lipeni mtanzania milioni kumi na tano muone kama atafanya madudu... ataleta hadi mkewe na wazazi wake kuandaa program ya timu ya taifa, ataajiri wasaidizi hata kwa hela ya mfukoni na kulipa wachezaji motisha kutoka mfukoni...
we can do better na local, provided anapewa same status na respect kama wageni!!! Rwanda has proven it