Yule bwana alokua akijifanya chizi kwa kuua watu wake kila kukicha, amepata akili baada ya kuchezea kichapo kutoka France, US na UK. BBC wameonyesha live viongozi wa jeshi wakitoa amri kwa vikosi vyote kusitisha mashambulizi ya aina zote kwa hao waliokua wanawaita 'rebels' wametoa amri kwamba badala ya kushambulia watu wahakikishe watu wote wako salama, hakuna ruhusa kushambulia mtu yeyote...Hongera Obama and the co, kumbe huyu bwana akili anayo ule uchizi ulikua wa kujifanyisha
you have spoken my mind ndugu!!!Waambie QATAR nao wanapeleka madege kumuadabisha Gadaff.Haiwezekani jeshi liuwe raia afu dunia ikae kimya.Kuna watu walidai Gadaff anaweza kupigana na nchi yeyote sasa hapo kazi anayo.Haaaaa haaaa.....! Imeshakuwa ni vita ya kidini? Waislamu akili zao huwa ziko twisted kwani wakishindwa hoja huwa wanakimbilia kwenye udini! Nani asiyejua kuwa Gaddafi alikuwa anashusha makombora dhidi ya raia zake? Twisted minds wanadai eti ni mambo ya "western media!"
nI JUMUIYA YA KIARABU NDIYO ILIYOPELEKA RASIMU YA NO FLY ZONE UN,sasa wafaransa na washirika wake wanasaidia kutekeleza azimio lililopitishwa.Unajua wewe mwehu nini!! uanshangilia ujinga wa mijitu isokuwa na urafiki wa kweli isipokuwa unawafaidisha!!
kama wanauchungu wa watu kufa/kuuliwa,why Ghadaf na si Alshabaab Laurent Ghagbo,Darfu?
endelea kuamini hivyohivyo.Kama ametulia ni strategy tu - hashindwi kiurahisi Gadafi.
Turkey ni nchi safi yenye democrasia inayoeleweka.Hongera Turkey kwa kutumia vizuri kura ya turufu issue nzima ya majeshi ya NATO
hata kama rais anageuka chizi jaman aachiwe kuuwa?nani kiongozi wa israel anayewachinja waisrael kama afanyavyo Gadaff kwa raia wake?mkuu... siungi mkono taifa huru kuvamiwa
wangeanza na israel kama wako fair
UPRISING ilizizima karibu libya yote isipokuwa hapo Tripoli jamaa akazima kwa vitisho vya jeshi .Wale waliogoma kusikia vitisho ndiko alikoendesha mapigano so walibya hawamtaki Gadaff.kwa kweli tokea mwanzo gaddafi hakuuwa raia wake na tokea hotuba ya mwanzo anasisitiza hilo. haiingii akilini mtu aliesimamia mabadiliko ya wananchi wake kwa miaka nenda leo awauwe.
waliokuwa na nia ya kuipindua serikali yake kwa kutumiwa na hao madhwalimu ndio aliokuwa napambana nao. tujiulize mbona sehemu yote ya libya imetulia isipokuwa sehemu isiofija hata 10% ya land ndio kuwe kuna machafuko halafu museme Gaddafi anauwa watu wake?
tunajua nn makusudio ya vita hivi, na tunajua jinsi gani propaganda za hao madhwalimu zinazofanya kazi kuhalalisha dhuluma yao
UPRISING ilizizima karibu libya yote isipokuwa hapo Tripoli jamaa akazima kwa vitisho vya jeshi .Wale waliogoma kusikia vitisho ndiko alikoendesha mapigano so walibya hawamtaki Gadaff.
ubaya ni pale jeshi linapotumika kuuwa maraia.Afadhali ingekuwa vita ya kikabila isiyojumuisha jeshi.
pili umoja wa waarabu ndio uliopeleka rasimu ya no-fly zone kupitishwa na UN, sasa hapo unataka nini tena kama sio mabavu kwa rais asiyewaheshim raia?
ufaransa ilikata kumpokea ben alli wa tunisia,America ilimwambia Hosni lazma uondoke na hawa wawili hawakuuwa kwa namna hii tunayoshuhudia Libya.Gadaff haondolewi madarakani ila anafunzwa nidhamu kuwa hawezi achwa awafanye raia vitoweo.Kama ni mafuta mbona makampuni ya magharibi ndiyo wachimbaji wakubwa wa hayo mafuta?kwanza kusema kuwa jeshi liliuwa raia waliokuwa wakiandamana sio kweli huo ni uongo na fitna za kijinga zinazoenezwa na hao madhalim, mapambano yameanza Bengaz na huko walioanzisha ni hao waasi kwa kusaidiwa na madhalimu. kama kuua Misri iliua, Tunisia na nchi nyengine mbona hakuna hatua kama hizo zilizochukuliwa?
kuhusu jumuia ya waarabu na waaarabu kwa ujumla inajulikana ugomvi uliopo kati ya waarabu na gaddaf, jamaa akienda kule huwaambia ukweli na hilo ndilo linalowauma, kwa hio wamepata nafasi ya kumshikisha adabu ndio anaitumia, na nnaamini gaddafi akitoka salama atawapa kweli yao na huenda akajitoa kabisa
Aende zake tu bado Mugabe wote hawa hawatufai kabisaaaaa kama Ghadafi alileta wanajeshi waje kuja kupigana alongside na wanajeshi wa NDULI IDD Amin dhidi ya Tanzania wewe leo unamwona mtu mzuri huyooo!!!
nI JUMUIYA YA KIARABU NDIYO ILIYOPELEKA RASIMU YA NO FLY ZONE UN,sasa wafaransa na washirika wake wanasaidia kutekeleza azimio lililopitishwa.
hata kama rais anageuka chizi jaman aachiwe kuuwa?nani kiongozi wa israel anayewachinja waisrael kama afanyavyo Gadaff kwa raia wake?
endelea kuamini hivyohivyo.
America haina lengo la kumn'goa Gadaff bali inamlazimisha aache kuwauwa raia so soon ahueni itapatikana na maisha Libya kama kawa under Gadaff akiwa na nidham kama kiongozi wa umma na anayeweza kuwajibishwa in case.
wanatekeleza azimio la UN ambalo lolitokana na pendekezo la Arab League au huoni huo ni msaada mkubwa kwetu watz ambalo hatujachangia fedha kwa kuendesha agizo hili la UN?sasa waloipiga Libya ni UN?
hawana ndege hao unaowaita waasi.Watalazimishwa waweke bastola chini mara mmoja ili amani irejee libya chini ya Gadaff atakayekuwa na nidham ya hali ya juu.kama unakubali kuwa Gadhaf ataendelea kuiongoza libya baada ya kichapo,hao waasi weney kumiliki ndege za kivita nao watakuwa wanaongoza eneo gani?
ikiwa ccm imejaa mafisadi basi tusimseme Chenge kwa kuwa hiyo ndiyo desturi yao?Either Gadafi is right or wrong lakini Mataifa ya AMrekani na France hayana sababu za msingi za kuivamia Libya.
Ivory cost mbona machafuko yanaendelea na Gabgo anauwa raia lakini hamna aliyeenda 'kuokoa'
America wapo kimaslahi zaidi. lengo ni mafuta tuu.