The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Gaddafi may become target of air strikes, Liam Fox admits

Coalition forces accused of mission creep and disproportionate action against Tripoli

Gaddafi may become target of air strikes, Liam Fox admits | World news | The Guardian

Arab League says it wanted no-fly zone, not bombs
Daily Times - Leading News Resource of Pakistan
hapo kwenye red .. duh! sina lakuongezea
Hao Arab League hawakusoma provisions zote za Resolution iliyopitishwa? Maana kuna line inasea Use Any Means Necessary.
 
Quick observation, baadhi ya Watanzania waliosoma/ishi Libya au faidika (in)directly na misaada ya Libya wako mstari wa mbele kumtetea Gaddafi regardless ya kile anachofanya au alichofanya.
 
Supporters wa Gaddafi wamezingira ikulu,hawajali licha ya kwamba kuna bomu lilipigwa.
Source: cnn
 
Move over WikiLeaks... here comes Gadaffis’ secret dossier

Posted Monday, March 21 2011 at 00:00
THE EAST AFRICA

Here's a leak. Not from WikiLeaks, but from Africa’s oilfields of Libya.

President Muammar Gadaffi’s son wants “this clown” French President Nicolas Sarkozy to “give us back our money” allegedly used to finance his 2007 election.

Seif-al-Islam told Euronews that: “We have all the details and are ready to reveal everything,” as Gadaffi’s forces closed in on rebels in the eastern city of Benghazi which Sarkozy recognised as Libya’s legitimate representatives.

It looks like WikiLeaks is about to get a run for its money.

Mhhhh! More details please!
 
Quick observation, baadhi ya Watanzania waliosoma/ishi Libya au faidika (in)directly na misaada ya Libya wako mstari wa mbele kumtetea Gaddafi regardless ya kile anachofanya au alichofanya.
Mkuu.
Observation yako ni kweli...lakini tayari West na US bombing tayari inazalisha collateral damage huko Libya. Umewasikia Arab league wanavyosema? Wao wanafaidika vipi na misaada ya Libya?
 
Mkuu.
Observation yako ni kweli...lakini tayari West na US bombing tayari inazalisha collateral damage huko Libya. Umewasikia Arab league wanavyosema? Wao wanafaidika vipi na misaada ya Libya?
Hao Arab League ni wanafiki kama viongozi wengi wa chi za kiafrika na kiarabu wiki iliyopita waliutangazia ulimwengu kuwa Gaddafi keshapoteza uhalali wa kutawala na wakapush for No Fly Zone ambayo nchi za magharibi zilikuwa hazina nia ya kuimpose wala nini.
the 22-member Arab bloc said after an emergency meeting that the Libyan government had "lost its sovereignty." It asked the United Nations to "shoulder its responsibility ... to impose a no-fly zone over the movement of Libyan military planes and to create safe zones in the places vulnerable to airstrikes."
 
Hii ni very interesting email nimeipata kwenye forum moja...
01:42 @Sal7a has just forwarded an email received from a very trusted source in Misratah. We relay to you the email as it was relayed to us:
Dear All

I’ve just received a call from a friend confirming the following from Misurata.

Two civilian buses loaded with armed personnel dressed as civilians have entered Misurata (ca. 60 peple) accompanied by 11 tanks and are positioned at the main hospital in Misurata (close the Time Square). The hospital has been out of service for 4 years. The tanks are positioned at the front garden of the hospital.

Gaddafi today announced that he’s going to arm the public to go out and clean the cities from the revolutionary. It seems that he wants to create a massacre in Misurata tomorrow, which he will go back and say it was the Libyan people who went to kill these rats (he refers to Libyans as Rats).

A massacre is about to happen in Misurata if the international coalition doesn’t wipe them out today.

Remember over 80 people have been killed yesterday in Misurata by snipers
We need to get the news out to stop the massacre from happening!!!!!
 
Huyu Gaddaffi unayemtetea wewe ni yupi? Libya tangu lini ulisikia wanakubali kuwa wao ni waafrika? Wanasema wao ni waarabu sasa sijui unazungumzia nini hapa. Gaddaffi ana deserve hii kwa sababu ni mjinga mwendawazimu hana huruma na watu wake wacha mataifa makubwa wamwonyeshe kazi mpaka asalimu amri. Sasa hivi amejaza watu kwenye palace yake kama kinga au kile kinachoitwa kifo cha wengi harusi sasa hii ni akili kweli au ni upuuzi? Kumbuka waliopo hapo si wapo kwa hiari ni amri imetolewa. Mimi nasema wacha wampige tu mtu asiyesikia dawa yake ndio hii.
Pakawa.
Walibya ni waafrika na pia waarabu. mimi sioni tabu kufahamu hilo.
Walibya wapo wa light skin na wapo wa dark skin.

Lakini kama hili linakuchanganya je unafahamu kuwa kuna watanzania ambao pia ni "waroman" catholics? Au waafrika,watanzania, waanglikani.
Kuna Watanzania pia wazanzibari.

Kuna watanzania, "magabachori" na kuna mtanzania kama mohammed Shossi..kwa picha ya avatar yake utaweza kusema ni mwalabu mtanzania au vipi? Au akina RA. salim Ahmed salim.

West na US wangekuwa si wanafiki basi ingekuwa ok kusaidia kumwondosha Gaddaffi lakini tuna mifano hai tayari kujua hii move si kulinda raia wa Libya ni ,kulinda interests zao tu...Itizame Iraq, itizame Afghanistan...wao wameshawaua raia zaidi ya laki 6 sasa na husema ni collateral damage. nani atawapeleka hawa west na US mahakama ya uholanzi?
 
02:13 Almanara Media is confirming from trusted sources that Khamis Al Gaddafi has passed away on Sunday due to severe burn injuries he sustained a few days ago. The burns were caused when a fighter jet pilot performed a martyr mission and crashed his fighter jet into Gaddafi's compound Baab Al Aziziyah.

Hii habari ina ukweli wowote?
 
_51754787_51754786.jpg





RAF Tornado wakati wa usiku kabla haijatoka kuenda kubwaga mambo....

_51754783_51754782.jpg


 
Aende zake tu bado Mugabe wote hawa hawatufai kabisaaaaa kama Ghadafi alileta wanajeshi waje kuja kupigana alongside na wanajeshi wa NDULI IDD Amin dhidi ya Tanzania wewe leo unamwona mtu mzuri huyooo!!!

Asante Chimunguru, watu hawamjui Ghadafi, inaonekana hata hawasomi kinachoendelea Libya, hata Arab League, achilia mbali kina UK, US na France wamemchoka, Qatar nao wamo katika coalition force. . .we nani unaejifanya unathamini huo unaouita UAFRICA, watu kama nyie msiofikiri huwa mnakwenda tu kwa kudra za Mungu, huwa mnapelekewa pelekwa na udini, ukabila, u-mkoa, utaifa, uafrika nk, mtu anachinja watu kama kuku nyie mnasema uAFRIKA?
.
anyways, Nashukuru kuna watu wanaona beyond hapo, wamemchapa na usiku wa leo wamesongea hadi compound yake wakamnyuka! Yes lazima apate akili, bado Mugabe, Museveni, Gagbo nk
 
Muafrika na muanzilishi wa AU anashambuliwa na raia zake wanauliwa na waAfrika wengine wanachekelea na kuona raha.

Wanadanganywa na "media" kabla ya mashambulizi kuwa Ghaddafi anaua raia zake, na mijuha mingi inakubali.

Wamesahau "crusade" aliyoitangaza Bush! Na wamesahau wamerekani walivyozuwa na kudanganya kuwa Iraq kuna silaha za maangamizi.

Waliosahau na wanaofurahia wanajulikana ni kwa nini wamesahau na ni kwanini wanfurahia haya yanayojiri.
Wakumbuke nguvu ya "crusade" haikushinda miaka na vikaka, itashinda sasa. Kumuuwa Saddam au Ghaddafi si ushindi ni ushindwa. Kwa mwenye kuelewa ataelewa na punguwani atabaki kuwa punguwani.

Haaaaa haaaa.....! Imeshakuwa ni vita ya kidini? Waislamu akili zao huwa ziko twisted kwani wakishindwa hoja huwa wanakimbilia kwenye udini! Nani asiyejua kuwa Gaddafi alikuwa anashusha makombora dhidi ya raia zake? Twisted minds wanadai eti ni mambo ya "western media!"
 
Yule bwana alokua akijifanya chizi kwa kuua watu wake kila kukicha, amepata akili baada ya kuchezea kichapo kutoka France, US na UK. BBC wameonyesha live viongozi wa jeshi wakitoa amri kwa vikosi vyote kusitisha mashambulizi ya aina zote kwa hao waliokua wanawaita 'rebels' wametoa amri kwamba badala ya kushambulia watu wahakikishe watu wote wako salama, hakuna ruhusa kushambulia mtu yeyote...Hongera Obama and the co, kumbe huyu bwana akili anayo ule uchizi ulikua wa kujifanyisha

:lol::lol: na bado kinachohitajika ni hicho kiti anachokalia na ikulu, akiondoka wala hamna atakaye mfuata:lol::lol::juggle:
 
Yule bwana alokua akijifanya chizi kwa kuua watu wake kila kukicha, amepata akili baada ya kuchezea kichapo kutoka France, US na UK. BBC wameonyesha live viongozi wa jeshi wakitoa amri kwa vikosi vyote kusitisha mashambulizi ya aina zote kwa hao waliokua wanawaita 'rebels' wametoa amri kwamba badala ya kushambulia watu wahakikishe watu wote wako salama, hakuna ruhusa kushambulia mtu yeyote...Hongera Obama and the co, kumbe huyu bwana akili anayo ule uchizi ulikua wa kujifanyisha
mkuu... siungi mkono taifa huru kuvamiwa

wangeanza na israel kama wako fair
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom