William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,466
- Vita vya panzi, chi hii sometimes unaweza kufikiri tumelaaniwa na Mungu.
- Vita vya panzi, chi hii sometimes unaweza kufikiri tumelaaniwa na Mungu.
Mkakati wa siri unaendelea Mbeya kuna mazungumzo makubwa sana yanaendelea kufanyika huko ili CHADEMA iwaunge mkono CUF wanaona bila kuungwa mkono hali ni ngumu sasa wao wanafanya kihuni wanataka kuwarubuni baadhi ya viongozi wa CHADEMA local wawaunge mkono.
Nimeona niwapenyezee ili muweze kuangalia na hilo pia.
Neither Chadema no CUF walio na strategic plan ya kuchukua nchi hata baada ya miaka kumi kuanzia sasa. Else;
1. NN
Hivi unaweza kuniambia CUF Tarime waliunga mkono chama gani, NCCR au CHADEMA
Kama waliunga Mkono CHADEMA, kwa nini hawakutoa tamko la kulaani NCCR kutoiunga mkono CHADEMA?
Kama Waliunga mkono NCCR, kwa nini leo watake kuungwa mkono na CHADEMA?
Kabla sijasema kama naunga mkono CHADEMA kujitoa kwenye Ushirika nina Maswali ambayo naomba wana bodi mnisaidie ili niweze kuwa katika maamuzi sahihi nataka nijue nani MNAFIKI.
1: Ni lini na ni wapi Ushirika huu ulikaa na kuamua ni chama gani kisimame Tarime
2: Na nini lilikuwa Azimio la Kikao Hicho?
Hiyo paper iliyoandikwa inaweza kuwa sehemu ya input na sio mpango mkakati wenyewe kwani haikidhi vigezo vya chini kabisa ili iweze kuitwa hivyo.
Nimepitia ukurasa wa mwanzo hadi mwisho siamini vijana kama Zitto au Mnyika hawajayaona mapungufu hayo ya kiufundi kama kukosekana kwa Strategic Objectives, SWOT/SWOC na Stakeholders analysis nikitaja machache tu.
Na kama upo mwingine, tunachoweza kukiona wengine ni harakati na matokeo ya utekelezaji wa mkakati huo. Matukio ya karibuni yameonyesha vinginevyo.
Otherwise, hicho kilichobandikwa kwenye website ya Chadema hauwezi kuwa mpango mkakati wa chama kinachokusudia kuongoza nchi.
NN
😀 😀Halafu mbona waliokupongeza wote ni wanaCCM tu waliojitambulisha humu JF? Inaelekea maoni yako yamewakuna sana wenzako eeehhhhh
Asha