Heshima Mbele wanabodi,
Chenge ataondoka hivi karibuni,na kwa taarifa yenu tu tunajipanga kuweza kumuangamiza kupita kule kule alikotokea Lowassa,
Hoja zilishapangwa,Madokezo yapo tayari na Msemaji tulishmpata na atakuwa mwanaharakati mmoja ambaye kwa sasa jina lake ni siri ila anatoka chama cha mapinduzi,Ni mbunge shupavu asiye na woga.
pindi ushahidi ukikamilika nitaleta Ripoti kamili hapa Jf kabla Motion haijapanda hewani,kaeni mkao wa kula tu...kama sio katika kikao hiki basi kinachokuja cha Bajeti,na mie nilipendekeza iwe kipindi cha bajeti coz ufisadi huu unahusiana sana na pesa ya Bajeti yetu.
tuwe wavumilivu wakti tukijipanga kupunguza mafisadi.