Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,095
- 43,292
Halafu mwenzie kajivua ushirika. Yaani mwizi anaiba na wenzake wakishagawana mali ya wizi yeye anasema "siibi tena" lakini mali waliyogawana anaishikilia...
Halafu mwenzie kajivua ushirika. Yaani mwizi anaiba na wenzake wakishagawana mali ya wizi yeye anasema "siibi tena" lakini mali waliyogawana anaishikilia...
hapa ndipo wanapokosa kila siku,yaani hata kudanganya wanashindwa,sasa huyu wa nchi mbili sindio kazi kweli kama tumeshindwa kumkamata kishimba wa imalaseko itakuwa huyu baniani
Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU imemtuhumu Bw Sailesh Vithalan kwa kuhusika
na tuhuma za Rushwa katika ununuzi wa Rada
iliyonunuliwa na serikali ya Tanzania mwaka.
Akizungumza na waandishi wa Habari katika ofisi za TAKUKURU jijini Dar es Salaam, mkurugenzi wa Idara ya
Elimu na Umma wa Taasisi hiyo Bi Mary Mosha amemtaka
muhusika huyo popote pale alipo kujitokeza mara moja
ili kujibu tuhuma hizo-
Amesema kuwa Mtuhumiwa huyo ni Raia wa Nchi mbili ikiwemo Tanzania na Uingereza, -
Ameongeza kuwa kupatikana kwa mtuhumiwa huyo pia kutasaidia kuweza kupatikana kwa baadhi ya watu
wengine walioshiriki kwa namna moja ama nyingine
katika rushwa hiyo ya ununuzi wa Rada--