The new Landrove Defender

mbona gari ni ya kazi hiyo......actually imedevelop zaidi kuliko ya zamani....kupitia YouTube account ya drive tribe wanasema landrover took 10 yrs to develop the whip on different areas and landscapes kama winter,dessert na sehemu zenye maji maji....shida gari hili inakuja kwamba kwa sisi wabongo kutengeneza ndo tabu but bado the thing is very hardcore....
Nimeona hiyo video. Hayo mambo yote Range Rover inayafanya vizuri kabisa bila shida yeyote. Kumbuka Range Rover ni moja kati ya magari yenye uwezo mkubwa saana offroad kuwahi kutengenezwa. Point hapa ni kwamba nani anapeleka Range Rover lake offroad? Ndio tunachoongelea hapa. Sio kwamba gari ni baya au halina uwezi. Ila muonekane wake, na features zake zimepishana na legacy ya gari linaloli replace.
 
dah.....maneno yangu sidhani yatatosha kukuaminisha kama unamuda ingia youtube look for dtivetribe....wameiongelea kwa undani zaidi tena aliyeipa sifa ni Richard Hammond yule jamaa wa grand tour...cjui unamfahamu?
Reviewers karibu wote wa UK wamelisifia. Ila ukiangalia comments za wadau huko ndio utajua. Kuna mmoja amejiuliza Hammond amelipwa kiasi gani mpaka kulisifia hilo gari?
 
Alie kuambia manual haipo nani?
Kumbuka hizi zinatoka kwa order unasema unataka nini unatengenezewa
Yes, siku hizi makampuni mengi yanatengeneza magari kwa order. Lakini huwezi sema tu nataka manual transmission kama haipo kwenye options list. So far hakuna manual transmission kwenye hayo magari. Ingia kwenye web yao utaziona hizo options. Zote zinakuja na automatic transmission.
 
Wanakufa na wanazaliwa wengine daily.

Na ndio maana UK kwa kujua umuhimu wa manual aliyejifunza gari huko driving school kwa kutumia manual car atapewa leseni ya kumruhusu kuendesha both manual&auto wkt aliyejifunza kwa kutumia auto atapewa leseni ya kuendesha only auto car.
Ni kweli kabisa gari zinazokuja na manual transmission as standard zinapungua, ila sidhani kama zitakwisha kama ulivyosema. Kitakachofanyika ni kufanya maboresho tu kwenye hiyo gearbox ili iwe ya kisasa zaidi. Na itakuja kurudi kwenye chat siku moja mpaka watu watashangaa.
 
Daah mkuu unasema ukweli mtupu,na hio discovery latest ni upuuzi mtupu ule u-masculine wote kwishnei sijui hawa wahindi wkt wa designing wanakuaga wanawaza nini.
Hehehee, nilivyoiona ile day one ilibidi nicheke tu. Japo walijaribu kuisifia saana lakini wapi. Haijabamba.
 
Hahah mwanangu hata mgambo hawalitaki hilo gari,waasi wataendelea na 70 series zao na yale ma-hilux yao.
Defender ya zamani ilikuwa na feature ya kulaza kile kioo cha mbele, kusaidia wapambanaji kurusha "mabomu" vizuri bila kupasua kioo. Sasa hi ya sasa sijui kama ina hiyo feature.
 
wanatuigizia hawa jamaa..sasa hiyo gari kuipitisha kwenye matope ndio kutafanya tuone imepita rough road? wanajua barabara za rough hawa au wanaigiza?

hiyo gari wanaipitisha kwenye maji as if wanatangaza samsung s10 water proof..Bado hiyo si landrover aseee...

HIVI kweli unaweza linganisha huyu mnyama na hako ka baby face kapya ka kwendea sea clief

1l.png
2l.png
3l.png


Hao ndio wanyama ila huyu mpya walietuletea...Mtoto wa nnje ya ndoa hata hajaeleweka aseee
4l.png
7l.png
 
Wanakufa na wanazaliwa wengine daily.

Na ndio maana UK kwa kujua umuhimu wa manual aliyejifunza gari huko driving school kwa kutumia manual car atapewa leseni ya kumruhusu kuendesha both manual&auto wkt aliyejifunza kwa kutumia auto atapewa leseni ya kuendesha only auto car.
Real men drive three pedals
 
Defender ya zamani ilikuwa na feature ya kulaza kile kioo cha mbele, kusaidia wapambanaji kurusha "mabomu" vizuri bila kupasua kioo. Sasa hi ya sasa sijui kama ina hiyo feature.
Hii gari yao nadhani imelenga wakulima wazee/walio-retire wa huko UK ambao hawako serious na mambo off-roading.
 
Hehehee, nilivyoiona ile day one ilibidi nicheke tu. Japo walijaribu kuisifia saana lakini wapi. Haijabamba.
Disco. ni aibu tupu eti mpk wana version ya 2.0-litre engine 4 cylinder hii si ni aibu mkuu?
 
Teknolojia na umeme mwingi sana vimetumika hapa.
Na hapo ndipo kushindwa kwao ktk soko la Afrika. Niliichomoa engine ya Td 5 ya Defender, nikapachika engine ya Tdi 300 kwa kuwa Td 5 engine ni ya umeme na iko complicated kuliko Tdi.

Vv
 
At least LC kuna 70 series. Hata hiyo 200 wakiibadilisha ikawa modern sio issue saana maana imeshakuwa luxurious teyari mpaka hapo ilipo, as hizo wala sio za kwenda porini kivile. Sasa Land Rover teyari wana Range Rovers kibao, sasa na hii na Defender pia wameifanya kuwa ya kishua, inakuwa shida kidogo. Na so far nadhani hakuna manual option kwenye new defender.
Mlitaka iweje?

Hata G wagon ya sasa si ya miaka ya 70.

Ya sasa imejazwa umeme mwingi na teknolojia za kufa mtu.

Ambacho hakijabadilika sana ni body structure.

Defender wameamua kubadili kulingana na teknolojia iliopo.

Miaka 50 ijayo, defender ya sasa itaonekana lulu kama mnavyoilili iliopita
 
Nimeona hiyo video. Hayo mambo yote Range Rover inayafanya vizuri kabisa bila shida yeyote. Kumbuka Range Rover ni moja kati ya magari yenye uwezo mkubwa saana offroad kuwahi kutengenezwa. Point hapa ni kwamba nani anapeleka Range Rover lake offroad? Ndio tunachoongelea hapa. Sio kwamba gari ni baya au halina uwezi. Ila muonekane wake, na features zake zimepishana na legacy ya gari linaloli replace.
Discovery walizingua the same.
 
Reviewers karibu wote wa UK wamelisifia. Ila ukiangalia comments za wadau huko ndio utajua. Kuna mmoja amejiuliza Hammond amelipwa kiasi gani mpaka kulisifia hilo gari?
Waingereza wanasifia vyao. Usibebe kila wanachosema.

Changanya na zako.
 
Back
Top Bottom