Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,357
- Thread starter
- #141
Nadhani kwa gari ngumu, ni LC 70 series pekee ndo ina body ngumu.Haiwezi kufika hiyo miaka 50. G wagon vile bado ime retain its rugged structure from the original car, ni rahisi kuwa customized na kutumika kwa lengo lake ya mwanzo ambalo ni basically gari la kivita. Maana hizo features nyingi za umeme ni optional, sio standard kama kwenye Defender. Ila hii Defender mmh! Bumper lake tu ukigonga hata mbwa unaliacha hapo.
Gari nyingi sasa zina body laini sana.