nachindundu
Member
- Aug 6, 2012
- 17
- 17
Sasa mbona anataka Like halafu anaingia mitini..?? Halafu ujue Mamndenyi mi napenda sana kujua umri wako,we nitajie tu wakati ukiwa na miaka miwili kulikuwa na tukio gani kubwa nchini au hata duniani nitakuelewa.Kwa mfano mimi wakati nikiwa na miaka Mitano ndio kulikuwa na Mkole wa Nyamayao kule Vijibweni..
wakati nikiwa na miaka kumi ndo walianza kujenga kanisa pale kotela.
Mhhh .. Kumbe we ni binti wa Mamba!!!!!!!!!! nimekupata,kipindi hichi nilikuwa nafundisha Mseroe dah...
Mmmmh, Lol, usiseme
kumbe wewe ni wa kwetu Lol,
nimeshapata mahali pa kukopa.
Hahahhaaahahh, sijui nisemeje hapa inanibidi kuanzia leo niwe na heshima kidogo....