The Interview: mshana Jr.

DU ASANTE
 
Mkuu mshana jr Heshima kwako!
Kuna kipindi nimefanya kazi katika mazingira fulani hapa Tanzania. Wakazi wa maeneo ya huku huwa wanatumia njia za kishirikina kuadhibiana pale unapomfanyia jambobambalo sio la kiungwana, hasa kutumiana Radi wakati wa mvua. Nilijaribu kudadisi kwa wazee wa jamii ya huku. Ila wakadai kwamba Radi hizi lazima umtumie mtu ambae mna uhusiano wa damu. Naomba ufafanuzi kidogo kuhusu njia hii ya ushirikina kama unaifahamu.
 
Mmh hizo mimi huwa nazisikia tu niwe mkweli
 
Asante mshana jr

Nakupongeza kwa kutuonesha picha yako halisi.
Wengi tulidhani kwa mambo unayoyajua basi utakuwa mzee au mbabu fulani.

Kumbe ndo kwanza unatafuta mchumba.
Safi sana mheshimiwa
Mshana Jr
Kwa kututhamini

Naposti
Mkuu halafu mshana anafanana na mbwiga Mbwiguke (MZARAMO) wa Clouds Media.
 
Haha eti eneo la kuondokea. Kwa hiyo kuna viwanja maalumu kama ilivyo JNIA?

Ni masharti gani kupanda ungo? Mbona baadhi huwa wanadondoka wanakuwa wamekosea nini?
Yeah maranyingi viwanja vya vya mpira
Usinga kaniki kipande cha nguo nyekundu pembe lenye damu mbichi nk
Angani kuna nguvu nyingi ukipotea njia unaanguka
 
Kuna fumbo kubwa sana ulimwengu umefumbwa,na ndio maana elimu ya dini imetawala,.hii ilikua maksudi kabsaa.sasa ni hiv,uchaw ni knowledge kama zilivyo zingne,ni sawa na elimu ya umeme,electromagnetism,gravity etc,sasa hii elim ilifanywa siri kutokana na effect yake kwenye maisha ya mwanadam,.ina tafsir nying,ila tafsir ya uchaw kwa kiswahili hata kiingereza haijitoshelez na imefanywa iwe hvyo ili kuweka mipaka kwa wanayoitumia elim hyo na wasio itumia..let me use the same word uchawi,.ni hiv,tokea ulimwengu huu uanze pipo hav been using this knowledge to win wars,kugundua formula za physics,chemistry na elim zingne,nuclear,ndege na machines,usione watu wanagundua tuu mara microsoft mara sjui ma software etc,n unajiuliza y ni watu hawa tuu peke yao,kuna siri kubwa imefichwa ambayo wengne tunazuiwa kuigundua ama ku isoma na tunaambiwa ni dhambi or ni mbaya or mungu hapend etc ila kiukwel uchawa ni knowledge na wengne wanaitumia kufanya mambo makubwa na mazur,..hawa tunaowaita wachaw mitaan ni kwamba wana ka knowledge kadoogo sana na ndo hako wanakatumia plus wengne ni michezo tuu,na knowledge hii ina garama,so wengne wananunua,sawa na mtu ukitaka usomee u pilot lazma hela ikutoke,so thaman ya uchaw unayogaramia itaendana na uchaw au effect unayoitoa kwa knowledge hyo.tajir atakua mchaw zaid ya maskin,kuna miji mikubwa inalindwa kwa nguvu za uchaw,na kuna territories,sio kila mchaw anaeza ingilia site yoyote tuu.na kuna ranks kama ilivyo,mwenye certificate,diploma,bachelor,master,phd ,prof nk..pipo use uchaw kugundua madawa ya hospital,pipo use uchaw kugundua magonjwa na procedure za kidaktar.ni mambo meng,so uchaw usikuogopeshe saana.ni knowledge tuu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…