The countdown: Updates kuelekea D9 special thread

The countdown: Updates kuelekea D9 special thread

NASKIA HUKO MAKANISANI KWENYE IBADA ZENU WATU WA TEC MMESHAANZA KUHAMASISHANA

RAI YANGU ANDAENI MAJENEZA YA KUTOSHA,WAHUNI WATAKABILIWA IPASAVYO KENGE NYINYI
Nasikia machawa magawa mikundu kama pipi kwajili ya teuzi
 
IMG-20251207-WA0037.jpg
 
NASKIA HUKO MAKANISANI KWENYE IBADA ZENU WATU WA TEC MMESHAANZA KUHAMASISHANA

RAI YANGU ANDAENI MAJENEZA YA KUTOSHA,WAHUNI WATAKABILIWA IPASAVYO KENGE NYINYI
Sikuwahi kujua kama wewe ni mpuuzi kiasi hiki
 
Ushauri pia kwa waandamanaji inabidi kwenda na teknolojia sio tu uwe na simu kurekodi matukio , kwa sasa ziko AI glasses hizi ni miwani zenye kamera maalum ya kuweza kurekodi video, kupiga picha na kurekodi sauti maana simu huku muda huo simu ikiwa mfukoni ili kuepusha kupotea kutokana na msongamano ikishindikana hiyo vipo vikamera vidogo unaweka tu katikati ya vifungo vya shirt unapata coverage ya tukio.

Pia drones ni muhimu kuchukua coverage kutokea juu maana wauaji wamejipanga hata waandamanaji wanatakiwa kujipanga pia kupata matukio hata kutokea juu maana aerial view inakamata eneo kubwa zaidi.
 
Ushauri pia kwa waandamanaji inabidi kwenda na teknolojia sio tu uwe na simu kurekodi matukio , kwa sasa ziko AI glasses hizi ni miwani zenye kamera maalum ya kuweza kurekodi video, kupiga picha na kurekodi sauti maana simu inaweza huku muda huo simu ikiwa mfukoni ili kuepusha kupotea kutokana na msongamano ikishindikana hiyo vipo vikamera vidogo unaweka tu katikati ya vifungo vya shirt unapata coverage ya tukio.

Pia drones ni muhimu kuchukua coverage kutokea juu maana wauaji wamejipanga hata waandamanaji wanatakiwa kujipanga pia kupata matukio hata kutokea juu.
1765128007525.jpg
 
📍 Washington DC.

Watanzania na wanajumuiya wa Afrika Mashariki wamekuwa na maandamano makubwa mbele ya ubalozi wa Tanzania na wameweza kupeleka ujumbe kwa dunia.
1765128223831.jpg
1765128161036.jpg
 
Call centre ya #D9
Hakikisha unakuwa na namba hizi na unatuma picha na video na kuacha ujumbe
Call centre iko kimataifa hawawezi kuidukua wala kuifikia 🔥
Tupo macho na tunafuatilia
#D9Tunatoka #D9TanganyikaDay
 
Back
Top Bottom