omarilyas
JF-Expert Member
- Jan 24, 2007
- 2,130
- 145
Huyu Mswahili Mdhihiri Mdhihiri ni mnafiki tu!,anajua tosha kuwa kabebwa kufikia hapo alipo,alipandishwa kiajabu ajabu kutoka kwenye Street Red Line, Ulinzi wa Viongozi hadi kwenye Uwaziri,na hata huo Ubunge wa Mchinga anaupata kwa migongo ya wapambe wake!Hana haki kuomba kusimamishwa Ubunge kwa Zitto!,inabidi tuwe serious sasa!!!!,
Unategemea mchango gani kwa mwana mipasho wa vidole juu by proffesion....
Tutafika lakini safari ya peponi haiwezi kuwa rahisi kama tungelipenda iwe...
Tanzanianjema