The Bold & Nifah: Happy Six Months "Anniversary"!

The Bold & Nifah: Happy Six Months "Anniversary"!

Mbona sasa mnanichanganya wambea wenzangu?

Mdakuzi ni nani?
Mbona huyo muungwana mgagaa na upwa anadai ni yeye mdakuzi ndio The bold..!!
Mh labda kama the bold alikuwa na kaid kengine, ila najua mdakuzi alikuwa sio the bold. Sijui lakini unajua umbea nao unaweza kukupita usijue na kuna wanaojua mengi zaidi
 
Mh labda kama the bold alikuwa na kaid kengine, ila najua mdakuzi alikuwa sio the bold. Sijui lakini unajua umbea nao unaweza kukupita usijue na kuna wanaojua mengi zaidi
Mbona wambea tunapishana 😹😹
Namna gani Tee em Mrs none aje kutusaidia 🤣
 
Mh labda kama the bold alikuwa na kaid kengine, ila najua mdakuzi alikuwa sio the bold. Sijui lakini unajua umbea nao unaweza kukupita usijue na kuna wanaojua mengi zaidi
Kwa hiyo hao the bold wapo wawili? Jumla wangapi sasa maana namba inazidi kuongezeka😅
 
Hakulamba bana 😹😹

Ila wewe sio kaka sungura kweli? 😹
Kitambo sijamuona mzee wa ma PDF
Hadi ulitaka kuangusha article la kumsifia,huyo 100% alilamba,mimi ni mgagaa na upwa huyo sungura hata simjui 😄,au sungura ndio aliandaliwa makala machale yakakucheza 😄
 
Yes, Mjita ni 5 ⭐️ ⭐️ ⭐️ ⭐️ ⭐️.

Halafu mwenyewe huwa anapita humu anacheka tu [yes, najua unapita humu😉].
ramli chonganishi zinaniambia ni kokochanel..
kama sio huyo basi itakuwa simfahamu..
maana nasikia kokochanel ni bonge la pisi kali...
 
Hadi ulitaka kuangusha article la kumsifia,huyo 100% alilamba,mimi ni mgagaa na upwa huyo sungura hata simjui 😄,au sungura ndio aliandaliwa makala machale yakakucheza 😄
😹😹😹 Ilibaki kidogo alambe ana ushawishi sana..!!
Alijua kuniteka niliacha hadi uwinga nikaanza kumfatilia yeye..!!

Sungura hapana ni mwanangu sana namuheshimu km kaka mkubwa..!!
Nilijua ni wewe labda kwa vile sijamuona kitambo..!! 😊
 
Mheshimiwa Nikki wa pili..
Mkuu wa Wilaya Nikki wa Pili aaga Kisarawe, aacha historia kubwa. Viongozi wenzake wamlilia

🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Napata mashaka jinsi jamaa anavyomsifia Niki , naanza kuamini kama sio mwenyewe basi ni chawa wake , ndugu , mtu wa karibu au mwenye maslahi nae.

Maana hiyo loyalty sio ya kawaida , huo Uzi Yale maneno yamefutwa imebaki picha tu , aisee kweli Jf ina majasusi wa mchongo.

Ila I wonder why Nikki na superstar wake na pesa ahangaike na mademu wa Jf ambao hawajulikani na kuhangaika kubishana humu wakati anaweza opoa pisi kwengineko kwa uharisi na kuwa na connection na watoto wakali kutokana na Ustar wake ?

Hii ☝️☝️ imekaaje Kijasusi enyi majajusi na wabobezi wa mambo ?
 
😹😹😹 Ilibaki kidogo alambe ana ushawishi sana..!!
Alijua kuniteka niliacha hadi uwinga nikaanza kumfatilia yeye..!!

Sungura hapana ni mwanangu sana namuheshimu km kaka mkubwa..!!
Nilijua ni wewe labda kwa vile sijamuona kitambo..!! 😊
Huyo muungwana alishindwa kutuwakilisha vyema kama ni kweli hajalamba 😄,ngoja nichukue nafasi ya sungura kama vipi baadae baadae labda nami nitakua muungwana 😄
 
Napata mashaka jinsi jamaa anavyomsifia Niki , naanza kuamini kama sio mwenyewe basi ni chawa wake , ndugu , mtu wa karibu au mwenye maslahi nae.

Maana hiyo loyalty sio ya kawaida , huo Uzi Yale maneno yamefutwa imebaki picha tu , aisee kweli Jf ina majasusi wa mchongo.

Ila I wonder why Nikki na superstar wake na pesa ahangaike na mademu wa Jf ambao hawajulikani na kuhangaika kubishana humu wakati anaweza opoa pisi kwengineko kwa uharisi na kuwa na connection na watoto wakali kutokana na Ustar wake ?

Hii ☝️☝️ imekaaje Kijasusi enyi majajusi na wabobezi wa mambo ?
amefuta baada kuuweka uzi wake hapa 🤣🤣

ni tapeli mmoja alietaka kuaminisha wadau humu yeye ni Nikki ili kusudi aopoe pisi kwa wepesi..🤣🤣
 
amefuta baada kuuweka uzi wake hapa 🤣🤣

ni tapeli mmoja alietaka kuaminisha wadau humu yeye ni Nikki ili kusudi aopoe pisi kwa wepesi..🤣🤣
Kufuta post dalili tosha kuwa jamaa mgaigai , tapeli na sio wa kuaminika na mtu wa kumtilia mashaka .

Bahati nzuri Jf watu usiwaone kimya wana akili wanaweza kukuchimba na kukufuatilia kiundani na kugundua janjajanja zako bila kukujua na wanaweza kukuumbua mpaka kuona Jf hii chungu na historia humu inaonyesha watu wengi matapeli na WA kufake life wameumbuliwa na wengine kukimbia Jf mazima.

Jamaa nilimuona kipindi Cha nyuma kwenye nyuzi kadhaa ni mtu wa Shari na baadhi ya members haswa wa Kike mpaka kufika stage za kuanikana privacy.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom