The Bold & Nifah: Happy Six Months "Anniversary"!

The Bold & Nifah: Happy Six Months "Anniversary"!

Hii imeenda aisee😅
Sema hapo na wewe kiujanja ujanja unamvizia nifah akuone upo powa
Achana na mimi ms3ng3 wewe...
Punguza shobo na kufuatilia maisha ya wanawake humu...

wanaume humu hawana mambo ya kishoga kufuatilia wanawake walio na mahusiano yao...


download.jpg
 
Achana na mimi ms3ng3 wewe...
Punguza shobo na kufuatilia maisha ya wanawake humu...

wanaume humu hawana mambo ya kishoga kufuatilia wanawake walio na mahusiano yao...


View attachment 3469223
Hilo hakiwezekaniki😅
Haya ni moja ya majukumu yangu, mm napenda mademu kwa hiyo lazima niwafatilie, utaumwa moyo bure relax😅
 
Kwahiyo Nifah alikuwa na mahusiano na wanaume wangapi humu? 😥

Kuna huyu mwenye uzi THE BOLD
Halafu kuna yule aliyekuwa anamtaja kila uzi wa mapenzi kwamba hasikii wala haoni anamuita B kwenye username yake humu anafahamaika km MDAKUZI

Sasa sikuwahi kujua km na Sir Jeff ONTARIO naye alikuwa wake?? 😹😹😹

Mapenzi ya JF kiboko watu wanakata mti na kupanda mti humu humu..!!
The bold ndio habib hanga,humu alikua anatumia the bold ila baada ya zile story zake za udakuzi kutick akaamua awe anaziprint na kuziuza kwa vitabu,hapo akawa hana jinsi ndio akaanza kutumia jina lake halisi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom