adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 15,660
- 34,216
Duh! inasikitisha sanaPost zangu humu nilifuta toka mwaka juzi, nilikuaga chawa Ila sasa hivi nimepanda grade😅😅
Hongera kwa kujitambua.
Duh! inasikitisha sanaPost zangu humu nilifuta toka mwaka juzi, nilikuaga chawa Ila sasa hivi nimepanda grade😅😅
Hahahahah!! jamaa unapenda sana battles and violenceHuyo abibu ni mtu wake mwingine? hii post ngoja niachane nayo maana mnazidi kuongeza watu😅😅
Huyo ni mheshimiwa Nikki Wa Pili...🤣Duh! inasikitisha sana
Hongera kwa kujitambua.
Nifah ni jasusi ni mkorea mwenzangu 😀, ni pure GoJoseon ukiwa MGojoseon lazima ufunzwe muda gani wa kuachia makombora na muda gani wa kukaa kimya , muda gani wa kumuingiza adui kwenye mtego na muda gani Kuretreat.Nifah atakua kakaa sehemu anawachora tu, siku ukijichanganya imekula kwako😅😅
Hii imeenda aisee😅Nifah ni jasusi ni mkorea mwenzangu 😀, ni pure GoJoseon ukiwa MGojoseon lazima ufunzwe muda gani wa kuachia makombora na muda gani wa kukaa kimya , muda gani wa kumuingiza adui kwenye mtego na muda gani Kuretreat.
Muda mwingine unaacha adui amalize silaha zake zote sababu Kuna wakati unaweza ukajibu halafu ukajingiza kwenye misumari ya moto vita ikakuheleme
Sasa hivi nina michongo mikubwa😅Duh! inasikitisha sana
Hongera kwa kujitambua.
Unanishtua punguza🫠Kwa kosa gani? 🙂
Sawa...Unanishtua punguza🫠
Ngj na mm ntakushtua tena nategeshea umelala ili ukiamka ustuke😎Sawa...
Nataka iwe hivyo ndiyo maana...
Kabla haijawa hivyo utashangaa ishakua hivyo kwako... Sina muda wa kulala...Ngj na mm ntakushtua tena nategeshea umelala ili ukiamka ustuke😎
Huu ni uoneve... bye👋 🏃🏼♀️Kabla haijawa hivyo utashangaa ishakua hivyo kwako... Sina muda wa kulala...
Ulipo nipo...Huu ni uoneve... bye👋 🏃🏼♀️
😂😂😂😂😂Huyu jamaa si ndio alifanya nifah na cocastic wamgombanie? Au nachanganya mafile?😅😅
😂😂😂😂😂 kabla ya kujua kutumia 111 nilipitwa aseee,, nipo nafanya review ya comment tu hapa👋👋👋👋
kwani mlikua mnayajuaje haya? au kuna kusimuliana🤭Huyo funga kazi kuliko wote humu😅
Anajaza coster, alafu alivyo hana noma anawabless na connection 😅😅