The Bold & Nifah: Happy Six Months "Anniversary"!

The Bold & Nifah: Happy Six Months "Anniversary"!

Huyu nifah kama Antonia tu aisee😅

Hadi sasa nimehesabu wapo watano

Nifah anajielewa sana as kila mtu alivyo,
alikuwa bonge la demu kwa Bold heshima tele tele pia kwa maneno yake.. na Bold uwiii ikawa unono haswaaa

hayo unasema kumuhesabia... nashangaa labda sijamsoma muda humu ila unamtakia nini tangu mwanzo.. amekukataa wewe eeeh. so acha kujipa moyo kutaka sikia eti kama kuna mabaya yake humu
Dada wa Kiba 🤣
 
Boss kwenye hiyo iliyokuwa forex ya humu?

Kama uzi bado upo utauona wa kisimati ontario na picha zake etc😂
na kama posts hazikupunguzwa maana ilikuwa balaaa na baada ya yake kutenda akawa milo ya kula ya siku nzima kujadiliwa

wengine na mie tunasomaga humu halafu ndani ya midakika... tunaenda kukutafuta mtandaoni na yoteee ulipopita tumo tunakujua oooh kumbe.. kama yeye alikuwa kizaidi SA na wengine wa west
 
Nifah anajielewa sana as kila mtu alivyo,
alikuwa bonge la demu kwa Bold heshima tele tele pia kwa maneno yake.. na Bold uwiii ikawa unono haswaaa

hayo unasema kumuhesabia... nashangaa labda sijamsoma muda humu ila unamtakia nini tangu mwanzo.. amekukataa wewe eeeh. so acha kujipa moyo kutaka sikia eti kama kuna mabaya yake humu
Dada wa Kiba 🤣
Relax dada punguza presha maisha sio magumu hivyo, Mimi ni troublemaker tu😅
Unapenda sana amani?
 
Kwani ukimtaka kuna shida gani? 😹😹
Halafu humu bana ukimsifia mwanaume ukijifanya mpenzi wako basi mademu wengine wanakuja kujichekesha kusudi ili waone yaliyomo yamo..!! Hii ilinitokea kwako nilikua nacheka sana..!! 🤣🤣😹😹

Hivi hukushangaa ulipata marafiki wengi ghafla? 😹
Siku hizi namtania chino utani tayari wako kujiweka, wataliwa kwa mkopo we waache wajimix..!! Mi nawajazaga mwenzao 🤣

kama aina hii

🤣


View: https://www.instagram.com/reel/DOZSrCIjuAp/?utm_source=ig_web_copy_link&igsh=MzRlODBiNWFlZA==
 
Nifah anajielewa sana as kila mtu alivyo,
alikuwa bonge la demu kwa Bold heshima tele tele pia kwa maneno yake.. na Bold uwiii ikawa unono haswaaa

hayo unasema kumuhesabia... nashangaa labda sijamsoma muda humu ila unamtakia nini tangu mwanzo.. amekukataa wewe eeeh. so acha kujipa moyo kutaka sikia eti kama kuna mabaya yake humu
Dada wa Kiba 🤣
Hilo ni shoga maarufu hapa jf, kwa tunalolijua halitusumbui, kutwa kugombana na wanawake humu kuhusu mahusiano yao.... hivi inakuwaje mtu unaumia juu ya mahusiano ya wengine? kibaya zaidi ni mwanaume...


Achana nalo lisikupotezee muda...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom