Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 39,584
- 95,236
Ewaaaa 😹😹😹
Kala kitengo ss hivi utamwambia nini, kaacha kucheza na masufuria anapigwa na upepo golini 😹😹😹Ila nimemmiss dada, hivi yupo au ulishamtimua?😅
🤣🤣View attachment 3469181
Nifah Wewe na bold kuwa na mahusiano ulikua mpango wa Mungu? Kwa hiyo unataka kusema Mungu kashindwa kuendeleza mpango wake??
Kuna dhambi huwa ni za kujitakia, msihushe Mungu kwenye mambo yenu.
Hii sio kweli sijawahi kuona hilo 😅Uliwaona sana ni vile na wewe una akili mbovu ukawa unawachora ili kuwapima akili zao 😹😹😹
Dada Coco na wewe hauna desa lako humu 😹😹😹
Utapata ugonjwa wa moyo shauri yako😅😅😆
Unalako acha kupindisha
sipindi
sitoki kwa msatari
Ubuyu wako ukiletwa unakimbia na mpira wa wenzio aahh unashadadia 😹😹😹🤣🤣
Utoto mwingi sana aisee.
Yule kumuibia rahisi sana, ngoja niwapange wanangu fulani hivi waende kumuingiza mjini, tunasafisha duka lote😅Kala kitengo ss hivi utamwambia nini, kaacha kucheza na masufuria anapigwa na upepo golini 😹😹😹
Dada coco waruhusu waungwana wakupeleke Mars 😹😹😂😂😂
Sina kabisaaaaaa dia
na sijawahi onana na mtu yoyote humu eti kujuana hapanaaaa
sio hawaji inbobo wanakuja ndio hadi kesho hawakosi
inbobo hata mahaba chati sina muda nao kabisaa.. wananyamaza pia mwishowe.
wengine huja kubipu tena olaaa..
inbobo nitachati na niliowazoea kwa threads au wakujadili kitu chochote ikitokea jenero tu
Weee nisije washiwa moto mie sina pawa ya kujibu leo.....😀😀😀Uliza bana 😹😹
😹😹😹 Mshindwe na mlegee.Yule kumuibia rahisi sana, ngoja niwapange wanangu fulani hivi waende kumuingiza mjini, tunasafisha duka lote😅
Mheshimiwa Nikki wa pili..Huyo NI nick wa pili kila mtu anamjua humu
Mimi nikisema naonekana namuonea wivu😅😅🤣🤣
Utoto mwingi sana aisee.
Duka letu😅😹😹😹 Mshindwe na mlegee.
Hataki mazoea na kazi..!!
Hamna si swali tu mahi 😜Weee nisije washiwa moto mie sina pawa ya kujibu leo.....😀😀😀
Coco Incognito.😂😂😂
Sina kabisaaaaaa dia
na sijawahi onana na mtu yoyote humu eti kujuana hapanaaaa
sio hawaji inbobo wanakuja ndio hadi kesho hawakosi
inbobo hata mahaba chati sina muda nao kabisaa.. wananyamaza pia mwishowe.
wengine huja kubipu tena olaaa..
inbobo nitachati na niliowazoea kwa threads au wakujadili kitu chochote ikitokea jenero tu
Nimecheka khaa 🤣🤣🤣🤣Dada coco waruhusu waungwana wakupeleke Mars 😹😹
Tatizo la JF unaweza kuona id nyingi zinakutongoza kumbe ni mtu mmoja anakulia timing aje kukuanika 😹😹
Wivu wa nini sasa?Mimi nikisema naonekana namuonea wivu😅😅
Sasa mimi nimuonee wivu nifah ili iweje😅
Kwahiyo unaibia ofisi? 😹Duka letu😅