The Bold & Nifah: Happy Six Months "Anniversary"!

The Bold & Nifah: Happy Six Months "Anniversary"!

Ofisi ya Forex yule ya jamaa alikuwa anaitwa Ontario kama sikosei ndio bidada alikuwa anafanya kazi huko na picha alikuwa anapost sana kutafuta wateja. mengine ongezea kwa dots....maana nyuki hawakawii kuja kung'ata kwa makundi humu Lamomy
Sir Jef naye alishika shavu la Nifer 😹😹
Si mke wa B yule mdakuzi sijui, sema wambea mnaongea kwa codes sana..!!
Hebu mwageni ubuyu vizuri..!!
 
Ofisi ya Forex yule ya jamaa alikuwa anaitwa Ontario kama sikosei ndio bidada alikuwa anafanya kazi huko na picha alikuwa anapost sana kutafuta wateja. mengine ongezea kwa dots....maana nyuki hawakawii kuja kung'ata kwa makundi humu Lamomy
Ule mchongo wa forex wa tapeli ontario kumbe na huyu nifah alikuwemo? So walikua wanashirikiana na Ontario kutapeli? Sasa nimeanza kuelewa. Huyo bold nae alikuwemo?

Nifah
 
Sema wahenga walikuwa wanajimaliza sana na nyuzi ndeeefu.
Mwenyewe muda sio mrefu nakuja na jinyuzi langu kuna mkaka kanichanganya mno humu nahisi atakuwa ndio " my forever" tukatalii sayari ya Mars huko🤣🤣🤣🤣
😹😹😹 Weeeh waungwana mnajua kupenda..!!

Weka uzi huo tuone na wewe km mnaenda sayari gani..!!
Mi naandaa kujifunza mahaba kutoka kwako.!! 😹
 
Sema wahenga walikuwa wanajimaliza sana na nyuzi ndeeefu.
Mwenyewe muda sio mrefu nakuja na jinyuzi langu kuna mkaka kanichanganya mno humu nahisi atakuwa ndio " my forever" tukatalii sayari ya Mars huko🤣🤣🤣🤣
Isije ikawa umedata na bichwa komwe, mseme wazi ni nani ili watu wakusaidie😅
 
Kwahiyo Nifah alikuwa na mahusiano na wanaume wangapi humu? 😥

Kuna huyu mwenye uzi THE BOLD
Halafu kuna yule aliyekuwa anamtaja kila uzi wa mapenzi kwamba hasikii wala haoni anamuita B kwenye username yake humu anafahamaika km MDAKUZI

Sasa sikuwahi kujua km na Sir Jeff ONTARIO naye alikuwa wake?? 😹😹😹

Mapenzi ya JF kiboko watu wanakata mti na kupanda mti humu humu..!!
 
Ule mchongo wa forex wa tapeli ontario kumbe na huyu nifah alikuwemo? So walikua wanashirikiana na Ontario kutapeli? Sasa nimeanza kuelewa. Huyo bold nae alikuwemo?

Nifah
Ndio alikuwa secretary ofisini pale kama sikosei. Kuhusu huyo Bold sijajua kama alikuwemo pia. Niffa ninasema sababu nilishamsindikiza mtu pale Jangid Plaza nikamwona siku zimetumwa picha hapa nikamkumbuka.
 
Kwahiyo Nifah alikuwa na mahusiano na wanaume wangapi humu? 😥

Kuna huyu mwenye uzi THE BOLD
Halafu kuna yule aliyekuwa anamtaja kila uzi wa mapenzi kwamba hasikii wala haoni anamuita B kwenye username yake humu anafahamaika km MDAKUZI

Sasa sikuwahi kujua km na Sir Jeff ONTARIO naye alikuwa wake?? 😹😹😹

Mapenzi ya JF kiboko watu wanakata mti na kupanda mti humu humu..!!
NIffah hakudate na Ontario bali alikuwa boss wake jamani kwa jinsi ninavyokumbuka mimi. Ila sijui chini ya kapeti maana humu kuna mengi
 
Kwahiyo Nifah alikuwa na mahusiano na wanaume wangapi humu? 😥

Kuna huyu mwenye uzi THE BOLD
Halafu kuna yule aliyekuwa anamtaja kila uzi wa mapenzi kwamba hasikii wala haoni anamuita B kwenye username yake humu anafahamaika km MDAKUZI

Sasa sikuwahi kujua km na Sir Jeff ONTARIO naye alikuwa wake?? 😹😹😹

Mapenzi ya JF kiboko watu wanakata mti na kupanda mti humu humu..!!
Huyu nifah kama Antonia tu aisee😅

Hadi sasa nimehesabu wapo watano
 
😹😹😹 Weeeh waungwana mnajua kupenda..!!

Weka uzi huo tuone na wewe km mnaenda sayari gani..!!
Mi naandaa kujifunza mahaba kutoka kwako.!! 😹
Tunaenda zetu mars nimedata mno ngoja nianze nyuzi za kusifu na kupambia kama za bibi. Nipo hapa najifunza kwanza nyimbo za kingereza za kujazia jazia nyama
 
Anapigwa na kiyoyozi 😹
Na wewe uko wapi kiongozi?
Mimi ndio kwanza nipo sayari ya pili Venus😅

Unajua kabla sijaanzaga kukupenda kipindi kile, Kuna mtoto mmoja humu nilikuaga namlia timing. Sema kuna siku nae ikafumuka post ya hivi ya kitambo, nikajikuta nimeghari haraka sana😅
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom