Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,484
- 34,223
Anayo mengi sana, wewe uliza mm leo nitakueleza ukweli.Lamomy hana makaburi ya kufukuliwa huyu maana anarusha mawe nyumba ya vioo🤣🤣🤣
Anayo mengi sana, wewe uliza mm leo nitakueleza ukweli.Lamomy hana makaburi ya kufukuliwa huyu maana anarusha mawe nyumba ya vioo🤣🤣🤣
Kuna siku niliandaa bonge la uzi kumuhusu muungwana mmoja humu, mizimu ya kikinga ikanikataza kwa nguvu zote..!! 😹😹Tunaenda zetu mars nimedata mno ngoja nianze nyuzi za kusifu na kupambia kama za bibi. Nipo hapa najifunza kwanza nyimbo za kingereza za kujazia jazia nyama
Ndio hiyo hiyo, kwani si ilikuwepo ofisi kabisa watu walikuwa wanaenda kwenye training. Hadi wafanyakazi waliajiriwa wengi tuu.Boss kwenye hiyo iliyokuwa forex ya humu?
Nimejitahidi kadri ya uwezo wangu kusoma na kuelewa ulichoandika lakini nimeshindwa. Wewe mwenyewe soma tena ulichoandika hapo alafu uone kama utaelewaMhhhhh
unampenda? endelea aisee
Mimi nimeandika y haujaelewa hadi kuuliza hivyo!!!!!!!!!!!!!!
sasa unakosa vijiswali kizaidi.. nilikujibu tu kama basi tu now
na nilihisi utarudi na hautaki kusechi.. kasechi au muulize si bado yumo humu.
Umesaidia kufanya nielewe kwa urahisi. Nilikua najua ni ya Ontario tu, kumbe kulikua na maharamia wengine😅Ndio hiyo hiyo, kwani si ilikuwepo ofisi kabisa watu walikuwa wanaenda kwenye training. Hadi wafanyakazi waliajiriwa wengi tuu.
😹😹😹 Waungwana mnajilipua sana..!!Mimi ndio kwanza nipo sayari ya pili Venus😅
Unajua kabla sijaanzaga kukupenda kipindi kile, Kuna mtoto mmoja humu nilikuaga namlia timing. Sema kuna siku nae ikafumuka post ya hivi ya kitambo, nikajikuta nimeghari haraka sana😅
Nilikuwa nakuuliza Country hana makaburi ya kufukuliwa maana naona anamchokoza udugu wako akija hapa shauri yake 🤣🤣😹😹😹 Mimi mtakatifu km Polepole Sina mambo mengi ni utani tu nawatania watu..!!
Unataka kunisingizia kwendraa zako 😹😹Anayo mengi sana, wewe uliza mm leo nitakueleza ukweli.
Coco…..happy Wednesday!
Unajua nilikuwa sija pay attention hata kidogo.
Kumbe na wewe ni wa zamani humu. Toka 2007.

Anayo ya kutosha mwenyewe namshangaa anavyojizima data 😹😹😹Nilikuwa nakuuliza Country hana makaburi ya kufukuliwa maana naona anamchokoza udugu wako akija hapa shauri yake 🤣🤣
Huyo funga kazi kuliko wote humu😅Bila kumchokoza udugu wangu huridhiki? 😹
Muache mwenzio ss hivi kachoka anakaribia kutuletea new baby 🥰
Katika kitu siwezi kufanya ni hicho aisee tupendane tuu huko humu kama hatujuani, kuna nyuzi huwa natamani kumtag ila nikikumbuka raia wanaconnect dots naishia kuzishare whatsap tuu....Kuna siku niliandaa bonge la uzi kumuhusu muungwana mmoja humu, mizimu ya kikinga ikanikataza kwa nguvu zote..!! 😹😹
Saa hii ningekua nafukuliwa kaburi langu kwa tingatinga mana sululu lingewachelewesha..!! 🤣🤣😹
Wapo wenye pesa wana sifa , na pesa wanazo sio kitoto ,nina mwanangu mmoja hapo kariakoo ,pesa anazo sifa anazo sio kitotoWenye pesa hata muda wa kupiga zogo humu hawana na kuforce kutuaminisha mambo safi 😹😹😹
Naulizia yako wewe unayemchokoza udugu wa Lamo maana akija hapa ni greda anatumia kufukuaAnayo mengi sana, wewe uliza mm leo nitakueleza ukweli.
Sijawahi kufikia hatua hiyo bana labda niamue kumzingua tu lakini sio eti kumtaka kabisa😹😹😹 Waungwana mnajilipua sana..!!
Lakini yanazungumzika hakuna mkamilifu endeleza harakati ya kulifatilia goma hilo..!!
Siku hizi nimekua na kichwa kizito, sijaelewa hii comment aisee😅Naulizia yako wewe unayemchokoza udugu wa Lamo maana akija hapa ni greda anatumia kufukua
Usijaribu utaaibika ndugu yangu..!!Katika kitu siwezi kufanya ni hicho aisee tupendane tuu huko humu kama hatujuani, kuna nyuzi huwa natamani kumtag ila nikikumbuka raia wanaconnect dots naishia kuzishare whatsap tuu....
Bora mizimu ya akina segito iendelee kutukataza maana ni huzuni