Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,484
- 34,222
Couple strong?😅Hivi humu kuna couples nyingine iliyo strong km hii
Najua zipo za kijanja janja ,ila km hii sidhani
Nifah
Couple strong?😅Hivi humu kuna couples nyingine iliyo strong km hii
Najua zipo za kijanja janja ,ila km hii sidhani
Naona umeamua kufanya uhakiki wa neno kwa neno 🥶
Huyo wa karibu st peters aliyedate nae ni mwingine tena? Na yupo humu humu?
Huyo wa karibu st peters aliyedate nae ni mwingine tena? Na yupo humu humu?

... story zilikuwa nyingiiii na ushabiki wa timu ya fulani na fulani na nyinginezooooKakata kamba😅Nifa mwenyewe anasemaje
Ongeza nyama kidogo sijaelewa kazi ganisio kudate jamani walikuwa na kazi nae yaani N na B. ipo sana humu ju ya ni oct.. au ock.. something
Kazi ipi iliwaunga? Ofisi zipi? Ongezea nyama kidogo, sijaelewa kabisakazi iliwaunga couple ya B na N wakawa kwenye ofisi hizo, eeeh mbona na picha zao walirusha wenyewe enzi za kusaka wateja ya biashara
Ongeza nyama kidogo sijaelewa kazi gani
Hiyo biashara ya forex money talks ilikua ya nifah?sasa kama ID nimesahau naongezaje, ningekutumia link. saka juu ya forex etc na aliyewachota wengii money talks na walioenda hizo ofisi utapata tu... JF burudani waifungue tuburudike... 😂 😂
kuna urahisi mwingi humu kupata posts au threads za ID unataka ichimbua usome ya kale
Hicho ndio cha muhimu umeona 🤣🤣🤣🤣🤣Tayari mshafukua marehemu waliolala member wa JF mkoje lakini? 😹😹😹
Sema muhimu uliichapa sio mbaya kiongozi, acha upumzike..!!
Hata km mnaongea uongo tukubali 😹😹😹Yani wamatumbi ukisema naishi vizuri nakula vizuri natembelea magari mazuri , wanatoka povu kinouma , ila sema una umwa , maisha yamekupiga , utasikia pole omba Mungu mambo yakataa poa tu, hawa viazi ni wanafki kinouma 🚮
Coco…..happy Wednesday!Ila CELEB na MMU zilikuwa mie na sie wasomaji turiburudika sana... story zilikuwa nyingiiii na ushabiki wa timu ya fulani na fulani na nyinginezoooo
fukueni tu makaburi mburudike na historia ya JF 😀
Ila wewe 🤣🤣Mlikua mnaenda sayari ya mars? Bila shaka sasa hivi mshafika sayari ya 9 ya Pluto baridi linawakung'uta sana huko
Ofisi ya Forex yule ya jamaa alikuwa anaitwa Ontario kama sikosei ndio bidada alikuwa anafanya kazi huko na picha alikuwa anapost sana kutafuta wateja. mengine ongezea kwa dots....maana nyuki hawakawii kuja kung'ata kwa makundi humu LamomyOngeza nyama kidogo sijaelewa kazi gani
Wapo wanaojisifia tembea uoneHata km mnaongea uongo tukubali 😹😹😹
Mwenye maisha mazuri hajisifii bwana weeh
Sema wahenga walikuwa wanajimaliza sana na nyuzi ndeeefu.
Hakuna lolote njaa tupu bwana weeeh 😹😹😹Wapo wanaojisifia tembea uone