TFF yafungua shauri dhidi ya Ofisa wa Yanga, Haji Manara baada ya kudaiwa kuzozana na Rais Karia

kwani Manara ameanza kutukana watu leo? Kumbuka amewahi kuwaita nyinyi Yanga wote wapuuzi kasoro Baba yake na JK.
neno "upuuzi" ni la utani si matusi, hata kuitwa "mjinga" si tusi!

Hivi Kolo FC mbona makombe ya Yanga yamewauma sana? Mnataka kumtoa Haji kafara ili mjipoze au kuivuruga Yanga?

Tutaifunua kwa ngivu mioyo yenu Kolo FC wote tuone kiwango cha hasira uchungu ghadhabu na chuki mlizojaza!! na bado Ngao ya jamii tunafumua mshono!!
 
Sekretarieti ya TFF imefungua shauri mbele ya Kamati ya Maadili dhidi ya ofisa wa Yanga SC, Haji Manara kutokana vitendo vya ukiukwaji wa maadili. Mitandaoni imesambaa video ikimuonesha Manara akizozana na Rais wa TFF, Wallace Karia wakati wa fainali ya Kombe la Shirikisho, Julai 2, 2022
 
neno "upuuzi" ni la utani si matusi, hata kuitwa "mjinga" si tusi!

Hivi Kolo FC mbona makombe ya Yanga yamewauma sana? Mnataka kumtoa Haji kafara ili mjipoze au kuivuruga Yanga?

Tutaifunua kwa ngivu mioyo yenu Kolo FC wote tuone kiwango cha hasira uchungu ghadhabu na chuki mlizojaza!! na bado Ngao ya jamii tunafumua mshono!!
vyovyote lakini kwa comment hii Manara alikuwa sawa
 
Hahaha ila manara ni mnafiki aisee yani kwa ile makala aliyoiandika leo akimlalamikia jemedari ujue mi nilianza kuingia kingi kumuamini kuwa anasingiziwa?

Kwanza nilisita kuamini ile clip iliyodaiwa kuwa haji kamtolea matusi ya nguoni Karia kwasababu hayo matusi kwenye hiyo clip hayasikiki.

Manara kwenye article yake ameonesha kukereka sana na jemedari kiasi ambacho hadi uongozi wa Yanga umemshauri apeleke hili jambo kwenye ngazi za sheria.

Lakini nilivyoona hiyo statement ya TFF hapo ndio nineanza kuamini kuwa hata ile video iliyodaiwa kuwa manara anamtukana karia ni ya kweli.

Sasa ni muda wa wana Yanga kuonesha mapenzi kwa msemaji wao kwa kumsimamia kwenye hii kesi ashinde ili aendelee kuwapa makombe
Dhahiri

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Sekretarieti ya TFF imefungua shauri mbele ya kamati ya maadili dhidi ya Ofisa wa Klabu ya Yanga Haji Manara, kutokana na vitendo vya ukiukwaji wa maadili.

Manara alionekana akijibishana na kiongozi wa juu wa TFF ambaye ni Rais Karia, jana wakati wa fainali la Kombe la Shirikisho la Azam Sports Federation Cup, jambo ambalo linaonekana ni kinyume na maadili ya mpira wa miguu Nchini.

Atasema anachukiwa kutokana na ulemavu wake wa ngozi,
Utadhani maadui zake ndio walimtuma akagombane
 
Binafsi sijawahi kumkubali Manara tangu akiwa katibu mwenezi wa ccm Dar.

Mnaomjuwa Manara kuanzia Simba mmechelewa sana kumfahamu huyo mpuuzi.
Kuna shabiki mmoja wa Yanga aliwahi kuniambia kuwa Jamaa ana tatizo la afya hawezi kutulia mpaka amparue mtu kwa vyovyote vile.

Nilimkatalia, lakini kwasasa anayoyafanya najilaumu kwanini nilimpinga bila kufanya utafiti, Jamaa anajiona sana.
 
Kwa hili la usajili nasimama na manara tm zetu zinapigwa sana
TFF imemlea sana Manara. ni mtu hatari asie na akili na anatumia mdomo wake kwa vyovyote vile kupata mlo. ikumbukwe aliichafua sana sura ya mpira wa tanzania alipopost Simba inatumia madawa na hujuma kwa timu za wageni. majhuzi kasema sajili zetu kuna watu wanaleta mchezaji dola laki moja arobaini ya kwao ambayo tafsiri yake kuna rushwa kubwa sana kwenye mpira wa Tanzania. Hata kama madai hayo yana ukweli lakini sio kwa njia ya kuchafua nchi nzima. TFF imuondoe kabisa Manara kwenye mira wa Tanzania ni sawa na kufuga Mbwa aje akuume msikitini.
 
Kuna shabiki mmoja wa Yanga aliwahi kuniambia kuwa Jamaa ana tatizo la afya hawezi kutulia mpaka amparue mtu kwa vyovyote vile.

Nilimkatalia, lakini kwasasa anayoyafanya najilaumu kwanini nilimpiga bila kufanya utafiti, Jamaa anajiona sana.
Binadamu yeyote yuke anayejihesabia haki kuliko wengine ana matatizo ya akili, Jerry Muro alifungiwa kwa ajili ya mpuuzi huyuhuyu.

Kama kuna kitu GSM ametukosea wana Yanga ni kumleta Yanga huyu punguwani, kila sehemu anajiona yeye mjuwaji, ameshakuwa na bifu na Maulid Kitenge kwa kujifanya mjuwaji, leo anajiaminisha kati yake na Billionaire Mo Dewji eti yeye huyu mgonjwa wa akili anaweza kuwa na ushawishi kumzidi Tajiri Mo Dewji.
 
Hahaha ila manara ni mnafiki aisee yani kwa ile makala aliyoiandika leo akimlalamikia jemedari ujue mi nilianza kuingia kingi kumuamini kuwa anasingiziwa?

Kwanza nilisita kuamini ile clip iliyodaiwa kuwa haji kamtolea matusi ya nguoni Karia kwasababu hayo matusi kwenye hiyo clip hayasikiki.

Manara kwenye article yake ameonesha kukereka sana na jemedari kiasi ambacho hadi uongozi wa Yanga umemshauri apeleke hili jambo kwenye ngazi za sheria.

Lakini nilivyoona hiyo statement ya TFF hapo ndio nineanza kuamini kuwa hata ile video iliyodaiwa kuwa manara anamtukana karia ni ya kweli.

Sasa ni muda wa wana Yanga kuonesha mapenzi kwa msemaji wao kwa kumsimamia kwenye hii kesi ashinde ili aendelee kuwapa makombe
🤣🤣 Jemedari kausukumia mkosi wa Zungu jeusi huko kwa Tff . Sasa jamaa ajipange kisaikolojia na nafikiri hatma ikiwa tofauti na siasa atapigwa BAAAAN la milele🤣🤣🤣
 
Kwa hili la usajili nasimama na manara tm zetu zinapigwa sana
Kwani hizo timu zenu ni lini wametowa pesa za usajiri mpaka useme mnapigwa? Yanga imetowa pesa ya club kumsajili Mayele? Au Simba imetowa Pesa ya club kumsajili Chama? Mnapigwa wapi sasa?
 
Back
Top Bottom