GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,646
- 109,034
Timu ya Taifa ipo na imeshachaguliwa ila kwa sasa tumeificha ikiendelea na Mazoezi dhidi ya Niger Jumapili ijayo na hatutakitaja kwa sasa" amesema Rais wa TFF Wallace Karia.
Chanzo: Sports Headquarters EFM leo
Mwenyezi Mungu anisamehe na Members hapa JamiiForums mnisamehe ila kwa Kauli za Rais wa TFF Wallace Karia ambazo ni za Kibabe, za Hovyo na za Kuchanganya kila mara (hasa akiwa anahojiwa na Vyombo vya Habari) nikiambiwa havuti Bangi au hatumii Khat (Mirungi) nitabisha kwa miaka 100 mfululizo.
Chanzo: Sports Headquarters EFM leo
Mwenyezi Mungu anisamehe na Members hapa JamiiForums mnisamehe ila kwa Kauli za Rais wa TFF Wallace Karia ambazo ni za Kibabe, za Hovyo na za Kuchanganya kila mara (hasa akiwa anahojiwa na Vyombo vya Habari) nikiambiwa havuti Bangi au hatumii Khat (Mirungi) nitabisha kwa miaka 100 mfululizo.