Magufuli 05
JF-Expert Member
- May 7, 2023
- 942
- 1,986
Sina mengi, lakini nimesikitishwa na kilio cha haji Manara. Huyu ni mtanzania mwenzetu, analipa Kodi na anayohaki ya kuishi kwa uhuru ikiwemo ukiendesha biashara halali.
Lawama zake anazielekeza kwa Wallace Karia kama mtu anayemhujumu na kumwekea chuki.
Mbaya zaidi imefikia hatua TFF Wanakataza waandishi wa Manara TV kuingia uwanja wa taifa ku cover matukio haya haya ya ufunguzi wa AFL. Ndivyo anavyosema yeye. Sasa hili halikubariki.
Baraza la habari, wizara na TCRA Msikilizeni kama hoja zake ni za kweli chukueni hatua haraka.
Tunapenda wajasiriamali na wawekezaji wa ndani wakue ili kujenga uchumi wetu.
Lawama zake anazielekeza kwa Wallace Karia kama mtu anayemhujumu na kumwekea chuki.
Mbaya zaidi imefikia hatua TFF Wanakataza waandishi wa Manara TV kuingia uwanja wa taifa ku cover matukio haya haya ya ufunguzi wa AFL. Ndivyo anavyosema yeye. Sasa hili halikubariki.
Baraza la habari, wizara na TCRA Msikilizeni kama hoja zake ni za kweli chukueni hatua haraka.
Tunapenda wajasiriamali na wawekezaji wa ndani wakue ili kujenga uchumi wetu.