Kweli zifanyiwe kazi ili afungiwe miaka mitano na faini milioni kumi. . . .Na aliyefanyiwa kitendo hiko apewe uhuru wa kumpeleka mahakamani kwa mashtaka zaid ya udhalilishaji
Mkuu hiyo miwili inamtosha maana kwa umri alionao hawezi tena kurudi kucheza soka...
Safi sana. Nashauri hiyo faini apewe John Bocco kama kifuta jasho chake cha kudhalalishwa.
Iwe fundisho kwa wengine.
mimi naona haitoshi,angefungiwa maisha kucheza soka.
Mpuuzi mkubwa huyo.
Hiyo faini ya wachezaji wa yanga kushangilia upande wa simba ni ya kikoloni
Atakula nini?
Mimi namtetea nyosso khaaaaa!!
Mimi naona haitoshi,angefungiwa maisha kucheza soka.
Mpuuzi mkubwa huyo.
Safi sana. Nashauri hiyo faini apewe John Bocco kama kifuta jasho chake cha kudhalalishwa.
Iwe fundisho kwa wengine.
Na revise adhabu iwe miaka mitatu (3) pia fini milioni 5 (Tsh,5,000,000/=)
Hii itawafanya wale wenye vitendo kama hivi waheshimu kanuni na sheria!TFF naomba mrevise kanuni na sheria please.
Hiyo faini hailipiki Mkuu. Jamaa kafungiwa miaka miwili kucheza soka, hakuna shaka faini hiyo inatakiwa ilipwe baada ya hiyo miaka miwili kutimia ili arudi uwanjani. Ukimwangalia Nyosso pale alipo baada ya miaka miwili atakuwaje? Huyu hatacheza tena hivyo hana sababu ya kulipa faini ya hiyo milioni mbili. Labda TFF imbane sasa hivi ailipe, lakini najiuliza tayari ameshafungiwa asipolipa atapewa adhabu gani?
Kwa maoni yangu adhabu pekee inayotekelezeka ni kufungiwa kucheza soka miaka 2 hiyo ya fedha haitekelezeki!
...Wachezaji waliopata kadi za njano wa Young Africans katika mchezo huo ni ni Salum Telela, Mbuyu Twite, Malimi Busungu, Ali Mustafa na Mbuyu Twite...