Tengeneza Njia
Senior Member
- Jul 29, 2022
- 121
- 205
kama ambavyo kunatakiwa uwe na weledi katika kuitazamia nchi kama inafuata misingi ya demokrasia, ni vema pia haya masuala ya udini, ukabila, jinsia idadi ya wanawake na wanaume katika uongozi yazingatiwe kwa mapana yake.
