Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,305
- 13,594
Hakika! Angeendelea JPM awamu ingeendelea kuwa ya 5!Ni kweli Hii sio Awamu ya SITA maana Aliye madarakani alirithi madaraka ya awamu ya tano
Hakika! Angeendelea JPM awamu ingeendelea kuwa ya 5!Ni kweli Hii sio Awamu ya SITA maana Aliye madarakani alirithi madaraka ya awamu ya tano
Jamaniii 🤣Mambo Mrembo...nimependa hizo chuchu...
lakini samia alikuwepo kwenye kwa miaka 10 kwenye umakamu na urais, au siyo? mimi naamini, kama Mungu amemchagua samia awe rais wetu, hakuna atakayezuia, ila kama Mungu amemkataa, hata afanye nini hawezi kuwa rais na akilazimisha hatafanikiwa kuongoza. tumsikilize Mungu hasa sisi tuliofungiwa makanisa ambao kesho hata hatujui wapi tutasali wakati wenzetu wa dini nyingine wanaswali wapendavyo.Ni kweli Hii sio Awamu ya SITA maana Aliye madarakani alirithi madaraka ya awamu ya tano
Hao fisi wangemuibukia chura kiziwi usingizini ingekuwa vyema sana.
Na iwe kweli. Ajuza anaiharibu nchi.Utabiri wa marehemu shekhe yahya unaenda kutimia, safari ya mkoloni kaburu toka Zanzibar imewadia
Wapo sahihi saana. Huyu mama hakuchagukiwa yeye kama yeye. Na akipita atasema bado awamu yake ndio imeanza
Propaganda za kipuuzi kabisa hizi,mambo ni mazuri sana,na tarehe 28July wabunge wateule watatangazwa, TUJIANDAE OCTOBER KUPIGA TIKI KUBWAMachawa siwasikii tena nashangaa
Hatari sanaAnaitaka 15[emoji2][emoji2][emoji2]
Uzuri umaskini unapungua na kasi ya kupungua imeongezeka zaidi awamu ya 6.
Kilimo kinatoa matajiri
Sekta binafsi iliyokufa imerudi upya
Hakuna vyuma kukaza
Mabenki hayafilisiki tena.
Huo umaskini umeongezekea wapi ikiwa Huduma za kijamii na kiuchumi zimeimarika?
Haya yote yalikuwa kinyume nyume awamu ya 5.
Mwisho Chadomo chagueni mrudi uhamishoni au msalie ndani chini ya SSH?
Sasa umeandika nini? Kibwengo tu weweSalaam Wakuu,
Kundi linalomuunga mkono Polepole sasa limeshika hatamu. Limeshika usukani na lina nguvu.
Kwa ufupi ni kwamba Polepole katangulizwa tu na nyuma yake wapo watu kutoka vyombo mbalimbali Serikalini.
Uchaguzi Mkuu 2025 si rahisi kwa CCM wala si rahisi kwa tume ya taifa.
Watu wanataka Wahuni watoke ndo uchaguzi ufanyike.
Wanasema hii wala sio awamu ya sita bali ni awamu ya tano kipindi cha pili na Uchaguzi wa 2025 kwenda 2030 ndo Awamu ya 6 ya Urais wa Tanzania.
Wanataka awamu ya sita izaliwe upya bila makandokando ya awamu ya tano.
Ni kawaida kwa Tanzania kila awamu kuja na watu wapya sababu Tanzania ni yetu sote.
View attachment 3410995
Balozi Humphrey Herson Polepole
Jukwaa la wazushi ni Muhimu sanaSalaam Wakuu,
Kundi linalomuunga mkono Polepole sasa limeshika hatamu. Limeshika usukani na lina nguvu.
Kwa ufupi ni kwamba Polepole katangulizwa tu na nyuma yake wapo watu kutoka vyombo mbalimbali Serikalini.
Uchaguzi Mkuu 2025 si rahisi kwa CCM wala si rahisi kwa tume ya taifa.
Watu wanataka Wahuni watoke ndo uchaguzi ufanyike.
Wanasema hii wala sio awamu ya sita bali ni awamu ya tano kipindi cha pili na Uchaguzi wa 2025 kwenda 2030 ndo Awamu ya 6 ya Urais wa Tanzania.
Wanataka awamu ya sita izaliwe upya bila makandokando ya awamu ya tano.
Ni kawaida kwa Tanzania kila awamu kuja na watu wapya sababu Tanzania ni yetu sote.
View attachment 3410995
Balozi Humphrey Herson Polepole
Hakika ni upotoshaji kuiita hii awamu ya 6. Sijui nani alikuja na hilo wqzo.Salaam Wakuu,
Kundi linalomuunga mkono Polepole sasa limeshika hatamu. Limeshika usukani na lina nguvu.
Kwa ufupi ni kwamba Polepole katangulizwa tu na nyuma yake wapo watu kutoka vyombo mbalimbali Serikalini.
Uchaguzi Mkuu 2025 si rahisi kwa CCM wala si rahisi kwa tume ya taifa.
Watu wanataka Wahuni watoke ndo uchaguzi ufanyike.
Wanasema hii wala sio awamu ya sita bali ni awamu ya tano kipindi cha pili na Uchaguzi wa 2025 kwenda 2030 ndo Awamu ya 6 ya Urais wa Tanzania.
Wanataka awamu ya sita izaliwe upya bila makandokando ya awamu ya tano.
Ni kawaida kwa Tanzania kila awamu kuja na watu wapya sababu Tanzania ni yetu sote.
View attachment 3410995
Balozi Humphrey Herson Polepole
Ili mpate sehemu ya kujimwayamwaya na uzushi wenu au sioJukwaa la wazushi ni Muhimu sana
Wewe huna sifa ya kuwa chawa, unamaliza miti tu kwa kuandika upimbiPolepole hana sifa yakuwa kiongoz
shirikiana na mtoa mada mtueleze "AWAMU" ni nini na mnanukuu kutoka chanzo gani?Ni kweli Hii sio Awamu ya SITA maana Aliye madarakani alirithi madaraka ya awamu ya tano
Na grande mzushi mwenyewe tukikusimika Kama Chief wa jukwaaIli mpate sehemu ya kujimwayamwaya na uzushi wenu au sio
mkuu "AWAMU" ni nini? na tunanukuu maana hii kutoka kwenye chanzo gani?Mkuu hili mbona tulipinga sana kipindi yeye analazimisha ila wajinga ''wakashinda''? Kumbe alikuwa na maana yake