FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,814
- 46,936
Apewe tu Urais..
SIKUKUKALASYA FIJHONgukalala fijo ukuti abhene bhajege nkwibhona nu kulambika Ku Kila kandu Ka kisu.. umwee!
Acha ufala wewe. Unawezaje kupigania haki, usawa, demokrasia na utawala Bora kwa kujificha. Mwanaume ni yule anayejitokeza hadhalani kukataa maovu.Unaleta hadithi katika mambo muhimu acha Ujinga ujuaji ukizidi sana unakuwa zuzu
Wewe ulitaka slow slow ataje Aliopo nao what if kati ya hao wahusika ni Kwa Upande mwingine ni washirika wa kuu nmwa head of state hauoni kuwa itawafanya maadui wa pole pole wapate kuwabaini maadui zao mapema !?
Sasa Hayati Papa fransis anaingiaje hapa..
huyo kaandika bila kutumia akiliUnaleta hadithi katika mambo muhimu acha Ujinga ujuaji ukizidi sana unakuwa zuzu
Wewe ulitaka slow slow ataje Aliopo nao what if kati ya hao wahusika ni Kwa Upande mwingine ni washirika wa kuu nmwa head of state hauoni kuwa itawafanya maadui wa pole pole wapate kuwabaini maadui zao mapema !?
Mkuu sijapenda unavyomtukana na kumuongelea lugha isiyofaa hearly . Jallibu kujenga hoja na kubishana bila kumvunjia mtu heshima.Acha ufala wewe. Unawezaje kupigania haki, usawa, demokrasia na utawala Bora kwa kujificha. Mwanaume ni yule anayejitokeza hadhalani kukataa maovu.
Mimi siendeshi maisha Kwa kutegemea siasa.Kaka Choice naona kipindi chako cha kunemeka kinaelekea ukingoni. Kama hunaridhika basi
Sawa hujafurahia ila matusi yake kwangu uliyafurahia. You better keep quietMkuu sijapenda unavyomtukana na kumuongelea lugha isiyofaa hearly . Jallibu kujenga hoja na kubishana bila kumvunjia mtu heshima.
Tumia uhuru wako vizuri kwa kuongea kilicho kichwani mwako. Bado unayo nafasi kujitengeneza, usikate tamaa
Unamdanganya nani?Mimi siendeshi maisha Kwa kutegemea siasa
Yemekuwa hayo tena? 😂😂😂Mimi siendeshi maisha Kwa kutegemea siasa
Kwani ni lini yalikuwa tofauti?Yemekuwa hayo tena? 😂😂😂
Nimekuwa hapa jf Toka lini? Mada zangu za kupinga Jiwe ziko hapa Toka mwaka gani?Unamdanganya nani?
You have a lot to learnAcha ufala wewe. Unawezaje kupigania haki, usawa, demokrasia na utawala Bora kwa kujificha. Mwanaume ni yule anayejitokeza hadhalani kukataa maovu.
Ngoja nimuite THE BIG SHOW hawashughulikie machawaMachawa siwasikii tena nashangaa
Kumpinga jiwe kwa ID fake ndio nini sasaNimekuwa hapa jf Toka lini? Mada zangu za kupinga Jiwe ziko hapa Toka mwaka gani?
Nyie vitoto mnajua kila mtu chawa au?
ID fake ipi zaip ya hii niliyonayo?Kumpinga jiwe kwa ID fake ndio nini sasa
Kasome Biblia hata Yesu alijificha.Acha ufala wewe. Unawezaje kupigania haki, usawa, demokrasia na utawala Bora kwa kujificha. Mwanaume ni yule anayejitokeza hadhalani kukataa maovu.