City Owl
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 3,780
- 8,323
Kama ndiyo, ingefaa twende kwenye uchaguzi, si kurithi. Mtu akirithi, maana yake anendeleza awamu aliyoirithi.Wanadai Rais akifa na awamu.yake inaisha kwa hiyo awamu ya tano haipo tena
Kama ndiyo, ingefaa twende kwenye uchaguzi, si kurithi. Mtu akirithi, maana yake anendeleza awamu aliyoirithi.Wanadai Rais akifa na awamu.yake inaisha kwa hiyo awamu ya tano haipo tena
Ndio.Hiyo kesi mahamakamani inahusianaje na chadema kuzuiwa kufanya siasa?
Hayo mambo mengine ya takwimu yanayohusu nini?
Umeamini wa Tanzania umeongezeka
Weka takwimu za umaskini Tanzania kutoka 2010 hadi sasa 2025, uone kamma umaskini umepungua au unazidi kuongezeka
Wewe Kwa akili zako unadhani Mimi naweza kuwa mashabiki wa mtu mpuuzi kama Polepole? Au watu wenye mawazo ya kijamaa? Zaidi ya Kuharibu maisha Huwa Wana kipi kipya?Nyie ndo wahuni wenyewe
Ndio nini? Nchi imejaa umaskini mtupuNdio
Uzuri umaskini unapungua na kasi ya kupungua imeongezeka zaidi awamu ya 6.Ndio nini? Nchi imejaa umaskini mtupu
Hii awamu ya tano Mh achukue fomu ashindanishwe aanze awamu ya sita mbona wajumbe hawana baya shida iko wapWewe Kwa akili zako unadhani Mimi naweza kuwa mashabiki wa mtu mpuuzi kama Polepole? Au watu wenye mawazo ya kijamaa? Zaidi ya Kuharibu maisha Huwa Wana kipi kipya?
Awamu haiwezi kuwa na Marais 2. Alifanya hivyo mtakuwa nae Hadi 2035.Hii awamu ya tano Mh achukue fomu ashindanishwe aanze awamu ya sita mbona wajumbe hawana baya shida iko wap
Swami ni ya Tano term ya pili, wahuni ndani ya ccm wamevuruga mamboSalaam Wakuu,
Kundi linalomuunga mkono Polepole sasa limeshika hatamu. Limeshika usukani na lina nguvu.
Kwa ufupi ni kwamba Polepole katangulizwa tu na nyuma yake wapo watu kutoka vyombo mbalimbali Serikalini.
Uchaguzi Mkuu 2025 si rahisi kwa CCM wala si rahisi kwa tume ya taifa.
Watu wanataka Wahuni watoke ndo uchaguzi ufanyike.
Wanasema hii wala sio awamu ya sita bali ni awamu ya tano kipindi cha pili na Uchaguzi wa 2025 kwenda 2030 ndo Awamu ya 6 ya Urais wa Tanzania.
Wanataka awamu ya sita izaliwe upya bila makandokando ya awamu ya tano.
Ni kawaida kwa Tanzania kila awamu kuja na watu wapya sababu sababu Tanzania ni yetu sote.
Ndo apitie mchujo wa fomu Wachukue watu wengine pia mbona poa akifka2035Awamu haiwezi kuwa na Marais 2. Alifanya hivyo mtakuwa nae Hadi 2035.
Nahisi hofu imejaaaHii awamu ya tano Mh achukue fomu ashindanishwe aanze awamu ya sita mbona wajumbe hawana baya shida iko wap
Usiniandikie risala, ukisema umaskini umepungua weka hizo takwimu kuanzia 2010 Hadi Sasa 2025Uzuri umaskini unapungua na kasi ya kupungua imeongezeka zaidi awamu ya 6.
Kilimo kinatoa matajiri
Sekta binafsi iliyokufa imerudi upya
Hakuna vyuma kukaza
Mabenki hayafilisiki tena.
Huo umaskini umeongezekea wapi ikiwa Huduma za kijamii na kiuchumi zimeimarika?
Haya yote yalikuwa kinyume nyume awamu ya 5.
Mwisho Chadomo chagueni mrudi uhamishoni au msalie ndani chini ya SSH?
Hata nikikuwekea Bado utabisha lakini nikikwambia weka ushahidi wa 26% huwezi kuwekaUsiniandikie risala, ukisema umaskini umepungua weka hizo takwimu kuanzia 2010 Hadi Sasa 2025
2010 umaskini ulikua 26% ya watanzania, kwa sasa ni ngapi? Hapo ndio tutajua unapungua au unaongezeka. Usiniwekee risala, weka hizo figures
Pitia hii document ya bank ya dunia.Hata nikikuwekea Bado utabisha lakini nikikwambia weka ushahidi wa 26% huwezi kuweka
Mwenye nguvu ndani ya CCM ni Mwenyekiti wa CCM Taifa. Mwenye nguvu kwenye Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na mwenye kofia zote mbili Rais Samia Suluhu Hassan. Hizo zenu ni ngonjera na zinakubalika ili kuburudisha jukwaa!!Salaam Wakuu,
Kundi linalomuunga mkono Polepole sasa limeshika hatamu. Limeshika usukani na lina nguvu.
Kwa ufupi ni kwamba Polepole katangulizwa tu na nyuma yake wapo watu kutoka vyombo mbalimbali Serikalini.
Uchaguzi Mkuu 2025 si rahisi kwa CCM wala si rahisi kwa tume ya taifa.
Watu wanataka Wahuni watoke ndo uchaguzi ufanyike.
Wanasema hii wala sio awamu ya sita bali ni awamu ya tano kipindi cha pili na Uchaguzi wa 2025 kwenda 2030 ndo Awamu ya 6 ya Urais wa Tanzania.
Wanataka awamu ya sita izaliwe upya bila makandokando ya awamu ya tano.
Ni kawaida kwa Tanzania kila awamu kuja na watu wapya sababu sababu Tanzania ni yetu sote.
Acha matusi sasa nani ndio mbwa. Hebu kuweni na adabu huyo ni kiongozi wa nchi nyinyi vijana mbona hamna heshima hata kidogoWameundoe huyo Malaya nchi irudi mikono salama na uhuru wetu uheshimike. Huyu mbwa anashushisha wanajeshi wastaafu kwenye mabasi mchana kweupe na kwenda kuwaua kama nguruwe ununion halafu anatamba eti kifo ni kifo tu ni bora aende segerea au keko akapumzike maana Lisu aliyestahili kuwa ikulu yupo keko na aliyestahili kuwa keko yupo ikulu huu ni usenge
Kanyo kanyoT 1990 ELY genehe nkoyi?
Achana na hilo chawa huwa linajiona smart kisa vimisheni vyake haramu vinatembea awamu hiiPitia hii document ya bank ya dunia.
Ukimaliza weka sasa wewe ya 2025, tuone kama umaskini umepungua au umeongezeka zaidi
Anguko kubwa moja takatifu liko njianiUzuri umaskini unapungua na kasi ya kupungua imeongezeka zaidi awamu ya 6.
Kilimo kinatoa matajiri
Sekta binafsi iliyokufa imerudi upya
Hakuna vyuma kukaza
Mabenki hayafilisiki tena.
Huo umaskini umeongezekea wapi ikiwa Huduma za kijamii na kiuchumi zimeimarika?
Haya yote yalikuwa kinyume nyume awamu ya 5.
Mwisho Chadomo chagueni mrudi uhamishoni au msalie ndani chini ya SSH?
Mia is a Logo. Watoto hawajui🤣
🤣🤣🤣🤣