Tendwa sasa atishia kukifuta CHADEMA

Tendwa sasa atishia kukifuta CHADEMA

Chama cha demokrasia na maendeleo kimeamua kusitisha mikutano yake
ili kuepusha balaa nitakalo wakuta baada ya msajili wa vyama vya siasa John
tendwa kuvionya vyama vinavyosababisha mauwaji kwenye mikutano yake

mdau wetu alidokeza kuwa cdm sasa hivi wako kwenye mvutano mkali na wamesitisha
mikutano yao.

Mwandishi wetu alitaka mdadisi amwambie kwanini Zitto mara zote hajawai kushiriki hii mikutano ya chadema?
Alisema sasa hivi kuna mvutano mkali kati ya upande wa Zitto na upande wa Slaa na mbowe


Pata habari kamili kutoka HAPA



Uwezo wako wa kufikiri ndo umeishia hapo?hata kuchanganya na zako umeshindwa?Hivi wanaoua ni chadema au polisi?mara zote polisi ndo wanaoingilia na kuleta mtafaruku ili ionekane chadema ndo wanaohusika na mauaji,morogoro wafuasi walikua wanaandamana kwenda kwenye mkutano polisi wakaingilia kati,Iringa chadema walikubaliwa kuendelea na shughulizi za kufungua matawi yao na walipata kibali cha ajabu kamanda wa polisi ndo aliongoza FFU kwenda kuwatoa wafuasi waliokua ndani ya nyumba na kuwatanya ova walikua nje kwenye mkutano.
Siasa za sensa zimeingizwa kwenye kampeni za M4C na zinawachanganya sana CCM,wenzao wamekua na kauri mbiu nyingi kuanzia operation sangara,operation ya vua gamba vaa gwanda na ss M4C ila CCm kipindi chote hicho wako kimya hawana hata kauri mbiu moja ya kukinusuru chama na wameamua kuja na mbinu chafu na za fitina
Muda wa sensa ulishakwisha na serikali ikaongeza siku saba kwa vile walikua 5% bado na 95% tayari sasa wanataka kusema kwamba hao 5% ambao bado wako mkoa wa iringa wote?hii haiingii akirini mbona wameruhusu Fiesta tena ikiwa na ulinzi wa askari ss ule ni mkusanyiko wa nn?mi nilitegemea tendwa aseme polisi sasa ni marufuku kuingilia kati mikutano ya vyama
 
Tendwa wafutie tu ha hicho chama, maana kila mkutano wao ni lazima watu wafe. Mie huwa nasema hiki ni chama cha wachawi wa ukweli, maana kila mkutano lazima watoe kafara ya damu za watu.
Kwa hiyo polisi wenu wakifika kwenye mikutano ya CDM wanarogwa na CDM waue raia wasiokuwa na hatia? Mmeishiwa akili hata za kukopa akili pamekauka.
 
Tendwa wafutie tu ha hicho chama, maana kila mkutano wao ni lazima watu wafe. Mie huwa nasema hiki ni chama cha wachawi wa ukweli, maana kila mkutano lazima watoe kafara ya damu za watu.


wewe ni chizi unayekula vilivyooza bila wewe mwenyewe kujijua.
 
Huyu ni mtu anayestahili kuachishwa kazi. Huwezi kulipwa mshahara kila mwezi wakati kazi yako ni kusubiri kusajili vyama.
Anachofanya ni kutumwa kusema mambo ya hovyo bila hata kichwa. Unawezaje kuanza kusemea jambo ambalo linahitaji maamuzi ya kimahakama, wewe unaanza kusema unafuta chama.

Kama kweli makosa ni ya chama sawa, je, kama makosa yatakuwa ni ya Polisi kama ilivyo wazi kwa hili atafanyeje? Tendwa ana madaraka yoyote na Polisi.

Huyu anatafuta kufa vizuri wakati sisi tunataka kuishi vizuri. Anapoteza muda wetu.
 
Tendwa wafutie tu ha hicho chama, maana kila mkutano wao ni lazima watu wafe. Mie huwa nasema hiki ni chama cha wachawi wa ukweli, maana kila mkutano lazima watoe kafara ya damu za watu.

Unanikumbusha kifo cha Kolimba. Kumbbe CCM wangeshafutwa siku nyingi!!!
 
Huyu dingi aende kulea wajukuu tuu full kero
Na hiki cheo kwenye katiba mpya kuna haja watu wawe wanaapply kama kazi zingine
 
Afu hajui kingereza huyu jamaa kuna siku kipindi cha this wiki under perspective jamaa alikuwa hatamani hata kupewa nafasi ya kuzungumza maana alikuwa anamung'unya maneno utafikiri anauji mdomoni. Et tutafuta cdm nyambafu jaribu ukifuta cdm hakikisha una kwa kukimbilia au umekifuta na myoyoni mwa watanzania walowengi jaribu acha kumung'unya mung'unya maneno.
 
Wewe una nini wewe? wewe mwenyewe unaweza kufutwa wacha chadema. Cheza na sheria za nchi uone.
Unaota ndoto za mchana,
Kila jambo lina mwisho wake na huu ndo mwisho wa uonevu na ubakaji wa demokrasia tz.
Kushindwa kunapokaribia kushinda nyie wanachama wote wa ccm mtakikana chama chenu.
Upumbavu mnaofanya utawagharimu mpaka mtakimbiana wenyewe.
Shut ur mouth and keep ur eyes open.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kwa hiyo polisi wenu wakifika kwenye mikutano ya CDM wanarogwa na CDM waue raia wasiokuwa na hatia? Mmeishiwa akili hata za kukopa akili pamekauka.

Warnings
Do not approach police lines to attempt to cross to safety. Police are in place to confine the unrest and prevent its spread. Their orders are usually not to allow anyone to pass. The use of riot control measures, including rubber bullets, tear gas, and water cannons originate from the police line, and the likelihood of injury is greatest there.


Source: How to Survive a Riot: 2 Methods - wikiHow
 
Chama cha demokrasia na maendeleo kimeamua kusitisha mikutano yake
ili kuepusha balaa nitakalo wakuta baada ya msajili wa vyama vya siasa John
tendwa kuvionya vyama vinavyosababisha mauwaji kwenye mikutano yake

mdau wetu alidokeza kuwa cdm sasa hivi wako kwenye mvutano mkali na wamesitisha
mikutano yao.

Mwandishi wetu alitaka mdadisi amwambie kwanini Zitto mara zote hajawai kushiriki hii mikutano ya chadema?
Alisema sasa hivi kuna mvutano mkali kati ya upande wa Zitto na upande wa Slaa na mbowe


Pata habari kamili kutoka HAPA

Yaani wewe unatuelekeza kusoma toka habari leo? Kwani sisi ni akina Zomba? Hatusomi habari za propaganda bali zenye mashiko na huko huwa hazipo>>>>kaandike upya hilo rejeo labda utapata wafuasi
 
Unaota ndoto za mchana,
Kila jambo lina mwisho wake na huu ndo mwisho wa uonevu na ubakaji wa demokrasia tz.
Kushindwa kunapokaribia kushinda nyie wanachama wote wa ccm mtakikana chama chenu.
Upumbavu mnaofanya utawagharimu mpaka mtakimbiana wenyewe.
Shut ur mouth and keep ur eyes open.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Nyinyi ndio mnabaka demokrasia na utulivu wa Tanzania. Unaweza kunipa sababu za Daudi kumvaa mkubwa wa polisi wakati wameshatangaziwa watawanyike?
 
Mijanaume mizima kila siku kutishia Tunia mara Misri na kila siku mara mnamwagwa ubongo mara utumbo hatuoni hiyo reaction yenu. Simjaribu basi hata siku moja?
 
Naona dhahiri damu ya Daudi imewakalia vibaya watetezi wa CCM mpaka mnaamua kuwa wasemaji wa vyama vingine bila hata mwaliko! Kubwa zima hovyooo!!!
 
Kauli ya tishio aliyoitoa msajili wa vyama vya siasa ikiachiwa bila kushughulikiwa itakuja leta balaa nchini, natoa rai kwa wanasheria mahiri wa chadema wakiongozwa na prof. Safari, Mabere marando, Tundu lisu, Halima Mdee N.K wamwandalie mashtaka huyu babu, afike kortini kuthibitisha kama chadema wamefanya mauaji ya raia, pia kumpiga pini ya mdomo asiingilie shughuli halali za vyama.

Naomba kuwasilisha.
 
Back
Top Bottom