Eng Kimox Kimokole
JF-Expert Member
- Jun 9, 2010
- 1,041
- 772
Hebu ajaribu tuone matokeo. Yaani nina hamu ya kuona matokeo yake baada ya kukifuta
Huyu tendwa naye aache ujinga, kumbe mtu akiwa na mwanya mkubwa sana ni dalili yakutokuwa na busara.
Anawezaje kusema mikutano ya CDM inakuwa na fujo wakati anajua kuwa kuna mikakati mahususi inayofanywa na Serikali kupitia CCM ili ionekane kuwa CDM ni chama cha kuhatarisha amani?
Hata kwa akili ya kawaida tu bila hata kuwa na elimu au ujuzi wa upelelezi utaona kuwa ni polisi ndio waliomuua Mwandishi maskini wa Channel 10. Askari alimuelekezea bunduki ya kufyatulia mabomu kwenye tumbo na akafanya kweli. Polisi wasiwe wajinga kwa kufikiri kuwa Watanzania wataendelea kuwa wajinga kama wao wa kudanganywa kwa mambo ya kinyama yaliyo wazi.
Marehemu alizungukwa na maaskari wapatao 6 wenye silaha na wengine walimuinamia huku yeye akiwa amekaa chini nadhani akiomba wasimuue. Hivyo kama lingetupwa bomu toka mbali kama hawa wauaji wanavyotaka Watanzania waamini, ni wazi maaskari wote hao wangekufa kwanza na si marehemu.
Kwa sura hii hakuna haja ya kuhangaika, ushahidi uko wazi. Polisi waseme tu kuwa walitumwa au waliagizwa waue basi. Kwani ilikuwa mbele ya RPC, killer namba 1. Vitabu vyote vitakatifu vinasema hakuna mji udumuo, na kila nafsi itaonja mahuti. Na adhabu ya binadamu ni hapa hapa duniani iko siku wenye furaha pia watalia. Ni suala la muda tu iko siku inakuja ambayo inatabiriwa kutokuwa mbali.
Tendwa amechelewa sana, watanzania wa leo sio wale wakufuata mtu,bendera au jina la chama,
Watanzania wa leo wanajua wanachokipigania, wako tayari hata kuongozwa na mbuzi kwenye kupigania haki zao.
Kwa sasa wanakiunga mkono
CHADEMA kwa sababu kimeonyesha mwelekeo wa kupigania haki zao, sio bendera wala jina la chama!!
Huyu tendwa naye aache ujinga, kumbe mtu akiwa na mwanya mkubwa sana ni dalili yakutokuwa na busara.
Anawezaje kusema mikutano ya CDM inakuwa na fujo wakati anajua kuwa kuna mikakati mahususi inayofanywa na Serikali kupitia CCM ili ionekane kuwa CDM ni chama cha kuhatarisha amani?
Hata kwa akili ya kawaida tu bila hata kuwa na elimu au ujuzi wa upelelezi utaona kuwa ni polisi ndio waliomuua Mwandishi maskini wa Channel 10. Askari alimuelekezea bunduki ya kufyatulia mabomu kwenye tumbo na akafanya kweli. Polisi wasiwe wajinga kwa kufikiri kuwa Watanzania wataendelea kuwa wajinga kama wao wa kudanganywa kwa mambo ya kinyama yaliyo wazi.
Marehemu alizungukwa na maaskari wapatao 6 wenye silaha na wengine walimuinamia huku yeye akiwa amekaa chini nadhani akiomba wasimuue. Hivyo kama lingetupwa bomu toka mbali kama hawa wauaji wanavyotaka Watanzania waamini, ni wazi maaskari wote hao wangekufa kwanza na si marehemu.
Kwa sura hii hakuna haja ya kuhangaika, ushahidi uko wazi. Polisi waseme tu kuwa walitumwa au waliagizwa waue basi. Kwani ilikuwa mbele ya RPC, killer namba 1. Vitabu vyote vitakatifu vinasema hakuna mji udumuo, na kila nafsi itaonja mahuti. Na adhabu ya binadamu ni hapa hapa duniani iko siku wenye furaha pia watalia. Ni suala la muda tu iko siku inakuja ambayo inatabiriwa kutokuwa mbali.
Sasa yeye Tendwa analalama nini kama huo uwezo wa kukifuta CHADEMA? Nafikiri anatesti zali. Ajaribu kufuta Mkombozi wa Wanyonge ili aone uhondo na faida ya kutokuwa ethical leader. Kwa msemo wa Mzee Ojwang, akijaribu tu "ataona Kanga aliona" (with jaluo accent).
Kuna umuhimu gani wa kuunda tume wakati Jaji Tendwa ana hukumu mezani tayari? Yaani ukilewa madaraka kishikaji basi akili na busara nazo zinahamia masaburini...sorry but that's the fact.
Hebu ajaribu tuone matokeo. Yaani nina hamu ya kuona matokeo yake baada ya kukifuta
Siasa za maji ya chooni zinawacost ccm.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Hebu ajaribu tuone matokeo. Yaani nina hamu ya kuona matokeo yake baada ya kukifuta
Wewe una nini wewe? wewe mwenyewe unaweza kufutwa wacha chadema. Cheza na sheria za nchi uone.
Katika hali ya kushangaza Tendwa ameshauri vyama visubiri nyakati za uchaguzi ndipo vifanye mikutano ya kisiasa.Hata hivyo amekiri sheria inaruhusu vyama kufanya mikutano na maandamano wakati wowote.