Tendwa sasa atishia kukifuta CHADEMA

Tendwa sasa atishia kukifuta CHADEMA

Wana jf kauli hii ya msajili anadhani tunavyokaa kimya na wakifanya mambo yao ya kijinga tumenyamaza anadhani akifuta chama hili patakalika hapa nchini? kama alivyozoea kutumwa na magamba sasa hivi hatukubali. Yeye haoni hapo nani mkosefu? jaribu tuone uone sura za watanzania zilivyo.

wabongo kwa harakat za kwenye social networks mnatisha...nakwambia CDM itafutwa na hutaona mTZ hata mmoja anaingia barabaran kupinga uamuzi huo, hata ww ulieanzisha hiyo thread hautaonekana......unafiki tu huku unafyata mkia!
 
Wakati wa uchaguzi wa ubunge jimbo la Igunga, chama chake cha CCM kilikiuka wazi wazi sheria za uchaguzi,aliambiwa hakuchukua hatua zozote. Matokeo ya uchaguzi yametenguliwa. Mabilioni mengine yatatumika kurudiwa uchaguzi mpya. Kama angechukua hatua stahiki kipindi kile cha uchaguzi,pesa ya kodi ya Watanzania ingetumika ktk huduma nyingine muhimu. Toka hukumu ya Igunga kimekaa kimya,nlidhani kimejifunza,kumbe kinaandaa ujinga mwingine na mabwana zake!
 
Kwa wenye kumbukumbu nzuri naomba watueleweshe kama Tendwa alipokuwa judge alikuwa anatoa hukumu za haki au la! Maana anatia mashaka sana tangu amekuwa msajiri wa vyama. Wakati akiongea anakuwa kama vile hajielewi.
 
Hicho kizee kinaleta zama za ziduma fikra za mwenyekiti. Cdm kosa lao nini walio ua ni Cdm au police anajidanganya akifute aone moto wa M4C utavyowaka
Hapo ndo wanapojionesha utupu wao kwa kuanza kuilaumu CDM.
 
hivi hii kazi ya msajili wa vyama vya siasa kikomo cha utumishi ni miaka mingapi? maana huyu mzee amekuwa wa muda mrefu sasa! au ni kazi ya maisha?
 
huyu mzee ana kichaa nn!hivi kila kitu kipo wazi,halafu anaongea nn?hebu acnitafutie burn ya pili......futa cdm uone kazi
 
Maskini Nyinyiem, kila anayedhania anaisadia anazidi kuidhoofisha. Wakati mwingine bora kukaa kimya tu.
 
Mungu amewaumbua.Kilichoikoa CDM ni zile picha zilizopigwa na waandishi kuonyesha yule polisi katili alivyofumua utumbo wa mwandishi yule masikini.Kwani siku ile tayari Chagonja alishasema CDM ndiyo walirusha kitu kizito kumuua yule mwandishi,kumbe walishajipanga kupiga propaganda na tayari Tendwa alishaandaliwa kuongea ujinga kama wa leo ili kuhalalisha kufuta CDM.Mungu ni mwema waandishi wamemuumbua Tendwa na wenzie.

Huyu tendwa naye aache ujinga, kumbe mtu akiwa na mwanya mkubwa sana ni dalili yakutokuwa na busara.
Anawezaje kusema mikutano ya CDM inakuwa na fujo wakati anajua kuwa kuna mikakati mahususi inayofanywa na Serikali kupitia CCM ili ionekane kuwa CDM ni chama cha kuhatarisha amani?

Hata kwa akili ya kawaida tu bila hata kuwa na elimu au ujuzi wa upelelezi utaona kuwa ni polisi ndio waliomuua Mwandishi maskini wa Channel 10. Askari alimuelekezea bunduki ya kufyatulia mabomu kwenye tumbo na akafanya kweli. Polisi wasiwe wajinga kwa kufikiri kuwa Watanzania wataendelea kuwa wajinga kama wao wa kudanganywa kwa mambo ya kinyama yaliyo wazi.

Marehemu alizungukwa na maaskari wapatao 6 wenye silaha na wengine walimuinamia huku yeye akiwa amekaa chini nadhani akiomba wasimuue. Hivyo kama lingetupwa bomu toka mbali kama hawa wauaji wanavyotaka Watanzania waamini, ni wazi maaskari wote hao wangekufa kwanza na si marehemu.

Kwa sura hii hakuna haja ya kuhangaika, ushahidi uko wazi. Polisi waseme tu kuwa walitumwa au waliagizwa waue basi. Kwani ilikuwa mbele ya RPC, killer namba 1. Vitabu vyote vitakatifu vinasema hakuna mji udumuo, na kila nafsi itaonja mahuti. Na adhabu ya binadamu ni hapa hapa duniani iko siku wenye furaha pia watalia. Ni suala la muda tu iko siku inakuja ambayo inatabiriwa kutokuwa mbali.
 
Tendwa atakuwa ni sababu ya kumwaga damu tanzania,tutapigana nadhani hata yeye hatabaki,,ni lazima tupigane
 
Kulingana na hali ya nchi ilvyo Tendwa ndo anapaswa afutwe maana haendani na hali halisi.Utashangaa anastaafu anaenda kugombea ujumbe wa Nec ya CCM
 
wabongo kwa harakat za kwenye social networks mnatisha...nakwambia cdm itafutwa na hutaona mtz hata mmoja anaingia barabaran kupinga uamuzi huo, hata ww ulieanzisha hiyo thread hautaonekana......unafiki tu huku unafyata mkia!

tutaanza na wewe
 
Wewe tendwa huwezi kuifutia uanachama cdm hata kama una uwezo wa kufanya hivyo, sasa tunakwambia jaribu na uone kama hujaanza wewe kufutika.
 
Tunisia,libya,egypt yalitokea baada ya wananchi kupandwa na hasira kutokana na kuchoshwa na tawala kandamizi.kwetu sisi watakao iingiza nchi hii kwenye historia mpya ni wateule wa rais na siyo wanasiasa. Kauli ya john tendwa kwamba atafuta chama cha siasa kitakacho bainika kuhusika na kifo chochote ni kauli ya kimkakati tu[ni timing tu], wanalenga chadema, chama ambacho kimekishinda ccm kwa kila aina ya hoja, CCM wanatumia gvt organs[mabavu]kupanbana na chadema baada ya CCM kushindwa kwenye jukwaa la siasa.

Ningeweza kuandika mengi, lakini kwa kuwa jf members ni great thinkers, niseme tu bwana john tendwa anaweza kutupeleka tunisia,libya na misri lakini afahamu mzalendo si mwanaccm tu,bali wote awe CHADEMA, cuf,ncrr-mageuzi, udp,pona,updp,jahazi asilia,umd,sau,afp,chausta,tlp,nld,CCK,chaumma au adc.bw.John Tendwa wewe unatakiwa ujifunze kwa tukio la kutokifuta chama cha siasa mwaka 2001 pale polisi alipchinjwa pale zanziba,acha kushughulikia matokeo badala ya tatizo. Its people who make history,futa CHADEMA.
 
BAN smell ila angekifuta Hata Leo ili atuokolee muda wa kusubiria mpaka 2015 tumechoka kusubiria kifutie usajili tu baba!
 
MSIKILIZENI NA UTUMBO WAKE​

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom