Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,159
- 166,121
Siasa zipo hizo? hapa ni msajili wa vyama kasema
Kawekwa madarakani na nani? What is a confict of interest?
Siasa zipo hizo? hapa ni msajili wa vyama kasema
Siasa zipo hizo? hapa ni msajili wa vyama kasema
Anazidi kuhalalisha kile nilichosema ktk ule uzi wangu wa sababu 3 zilizoko nyuma ya vifo ktk mikutano ya Chadema. Vifo hivyo, vinataka kuhalalisha jambo. Kama si kuchafua chadema, basi ni kuifuta chadema. Exactly, kama alivyosema rafiki yangu. Nijuavyo na niaminivyo, hilo halitawezekana.
Pili, kwa kuwa mjadala wote sasa umeelemea polisi kwa kubebeshwa lawama zote, Tendwa anataka kubadili mjadala uwe Chadema na vifo. Watz wa leo siyo wa miaka 50. Hawatafanikiwa.
Mijanaume mizima kila siku kutishia Tunia mara Misri na kila siku mara mnamwagwa ubongo mara utumbo hatuoni hiyo reaction yenu. Simjaribu basi hata siku moja?
Huyu naye ana matatizo kichwani kama anafikiri anaweza kukifuta chama cha siasa kwanini asikifute?
Nyinyi ndio mnabaka demokrasia na utulivu wa Tanzania. Unaweza kunipa sababu za Daudi kumvaa mkubwa wa polisi wakati wameshatangaziwa watawanyike?
Kauli ya tishio aliyoitoa msajili wa vyama vya siasa ikiachiwa bila kushughulikiwa itakuja leta balaa nchini, natoa rai kwa wanasheria mahiri wa chadema wakiongozwa na prof. Safari, Mabere marando, Tundu lisu, Halima Mdee N.K wamwandalie mashtaka huyu babu, afike kortini kuthibitisha kama chadema wamefanya mauaji ya raia, pia kumpiga pini ya mdomo asiingilie shughuli halali za vyama.
Naomba kuwasilisha.