Tendwa sasa atishia kukifuta CHADEMA

Tendwa sasa atishia kukifuta CHADEMA

mwambie ajaribu aone mtiti wake kama patakalika.

KITANUKA!! Wajue wazi kuwa vijana nchi nzima watahakikisha kuwa hawa wazee wa chama cha magamba hawapati amani nyumbani kwao wanakojificha ndani ya maghorofa yao na hizo nyumba zao ndio zitakuwa jela zao!! Do not underestimate the power of the people. People will go underground and that will be the end of peace in this country!
 
Huyu mzee anashindwa kusoma alama za nyakati. Hawezi kufuta nguvu ya umma kamwe! Anafikiri Vuguvugu la mabadiliko litapotea kwa kufuta vyama! Anafikiri CCM itakuwepo milele, na katiba mpya itupe sheria nzuri ya kumpata Msajili wa Vyama, na si wa kupandikizwa na Chama Tawala. Ujinga huu unamwisho!
 
Ndio maelekezo aliyopewa na mabwana zake wanaomlipa posho zisizo halali. CCM wana madhambi makubwa wanahofia kuondoka madarakani 2015 ufisadi wao utawekwa hadharani ili kujibu kesi.
 
wakifute.... haiwezekani kikose mbinu za kufanya operations zake bila kumwaga damu za watu
haiwezekani viongozi wa chache wenye uchu wa madaraka waingie ikulu kwa damu za raia wake.
 
Tendw anaweza pata adhabu kali toka kwa Mungu, kabla hajakifuta Chadema, atafutika yeye katika uso wa nchi.
 
ccm imefuta mwana halisi, mmekaa kimya, watafuta chama mtasemaaaaaaaa, halafu mtakaa kimya.
 
sasahivi itv news (saa 2 kamili usiku huu)

ndugu zangu, nadhani mpango wa kuifuta chadema umewadia, john tendwa( msajili wa vyama vya siasa) anasema, kama chama cha siasa kitakuwa ndio chanzo cha mauaji ya mtu yeyote katika mikutano yake, anasema kwa mamlaka yake aliyonayo atakifuta (Bila shaka anakilenga chadema, na bila shaka ni kuzidi kuwapa nguvu polisi-Bila shaka polisi wataua watu wengi sana katika mkutano wowote ujao wa chadema ili kuhalalisha hili azimio). Baasi naona kweli serikali ya sisiemu wamedhamilia kukifuta chadema, daah nimeishiwa na nguvu ndugu zangu kwa huu ubabe.

Tushamjua kwa jinsi anavyotumika bila kujijua, si mnamkumbuka uchaguzi wa Arumeru (ref: sakata la washiri na Lema), anatumika kama toilet paper au kinga.
 
Hakuna jambo litakaloharikisha mageuzi kama Tendwa akijaribu kukifuta CDM, ni ukweli ambao hata kama anatumia akili ndogo tu atakuwa anaujua pamoja na kuwa ni mchungu. Binafsi naomba afute kesho, kama yeye ataendelea kuwa msajili kwa mwezi mmoja.

Anaacha kushughulika na matatizo ya msingi kama mlezi wa vyama, anakubali kuwa dustbin la wanasiasa wa chama tawala.
 
Huyu sio alisema Lema asikanyage Arumeru Mashariki sawa sawa na onyo la Washiiri wa CCM? Hawa wataunganishwa na kina Uhuru Kenyatta na William Ruto kwenda ICC
 
Wazungu njia ya kupitia nyeupeee, leteni silaha tuanze kazi tutaanza kama magaidi bdae tutaitwa wapinzani at last tunakamata nchi. Libya ndiyo mfano hai. Twenda tunakufuta wewe na kizazi chako na ukoo wako wote na system yenu yote
 
Asichofahamu ni kua kuifuta CDM ni kuchochea vurugu zaidi kuliko kukiacha kiendelee kuwepo.

Vurugu zinasababishwa na Policcm,
Kama ana nia ya dhati ya kumaliza vurugu basi ashauriane na mkuu wake walifute Jeshi la Policcm
 
tutaona kama ataweza maana wameacha kutukeleza ilani yao ya uchaguzi wako busy kuisambaratisha chadema siku ikifika wataaza kuahidi mambo mengine ambayo hawajayafanya. Watanzania wa wa leo si mbumbu wanaona
 
Kweli ukuta umetikiswa, sasa nyufa zinajidhihirisha wazi wazi. Na Nyufa ni nyingi kweli kweli. watu walikuwa wanashauri kuziba nyufa lakini kwa sasa ushauri huo haufai. La maana kwa sasa ni kuharakisha mipango ya kuvunja ukuta wote na kujenga ukuta mpya. Tendwa anaweza kuwa nyufa ambayo iko karibu na msingi unaobeba ukuta...!!
 
Wazungu njia ya kupitia nyeupeee, leteni silaha tuanze kazi tutaanza kama magaidi bdae tutaitwa wapinzani at last tunakamata nchi. Libya ndiyo mfano hai. Twenda tunakufuta wewe na kizazi chako na ukoo wako wote na system yenu yote
 
siku ya press conference ya kuifuta chadema namshauri aifanyie kwenye helkopita ya police angani. lakini kama ni ofisini kwake basi ndiyo litakuwa kaburi lake. na baada ya hapo nafikiri vituo vyote vya police nchi nzima vitakuwa tambarare...na jeshi ndiyo litachukua nchi rasmi kwa kipindi cha mpito hadi 2015.

hivi ki kazi msajiri wa vyama vya siasa anariport kwa nani? msaada kwenye tuta.
 
Mbona hajalaani Polisi kwa mauaji? Au ndio jeuri ya Chama?

Namshangaa sana huyu mzee, ameshindwa hata kugundua kama anapaswa kulaani mauaji ya kihuni yaliyofanywa na polisi? Hafahamu kama aliyeuawa ana haki ya kuishi katika nchi hii aliyozaliwa yeye na babu zake?

Hivi kwanini hawa walio madarakani wanajiona wao pekee ndio wenye haki ya kufanya watakavyo ndani ya nchi hii na rasilimali zake?

Kwanini wanawaona wengine ni kama wahuni tu wasiohitaji kufanyiwa ustaarabu ndani ya nchi hii? Huu ni ubaguzi mbaya sana, unakera!
 
Back
Top Bottom