Tendwa, Marmo wala njama kuinyima usajili CCJ - hawana fedha ya uhakiki!

Hivi mwanachama wa chama cha siasa aliyejiunga baada ya mwezi akafariki chama kinafutiwa usajili? CCM wawe wa kwanza kufanyiwa hivyo. Bajeti lazima inatosha kuhakiki wanachama wa CCJ, la sivyo ofisi ya Tendwa itakuwa ina matumizi mabaya ya fedha, Utoh anatakiwa kuichunguza ingawaje naye atawekwa kwenye pressure kama jaji Augustine kwa kuchelewesha hukumu ya mgombea binafsi kwani mgombea binafsi na CCJ ni kama ngoma draw.

Sheria ya uchaguzi inaeleweka vizuri wala hatuitaji kueleweshwa. JK amewaelewesha viongozi wa dini kwa kuivunja sheria hiyo eti takrima haikwepeki wakati aliweka sahihi mwenyewe kwa mbwembwe. Tendwa nae jana kwenye TV anasema viongozi wa dini waje watuhubirie kuhusu sheria hiyo na mambo ya uchaguzi misikitini na makanisani; viongozi wa dini watakaofanya hili watakuwa si welevu kwani waraka zilikwisha toka, tukazisoma na kuzielewa vizuri kabisa. wazee wa kule Mara walikwisha anza kutekeleza hili kufuatia dini zao za jadi halafu CCM wanapiga kelele. Mfa maji ahachi kutapatapa!!
 
Daa kama sababu ni hizo zilizotajwa kwa kweli haikubaliki.It is unafair kutokipa chama chochote cha
siasa sio CCJ pekee usajili kwa sababu zilizotajwa hapa.Hii ni kukandamiza demokrasia.
 
Huyo tendwa hapa ndipo anapodhalilisha professional yake, alipewa cheo kilinda maslahi ya chama tawala si kwa utaalamu aliokuwa nao, watanzania tubadilike, ukiteuliwa kuwa jaji ndio imetoka hutakiwi kubase upande wa watawalaaaaaaaa..................., sasa tendwa skuli ulienda kufanya nini? hiyo sasa ni ya kitoto saaaaaan
 
‘JK hawezi kuvunja sheria ya gharama za uchaguzi' (mwananchi) Monday, 17 May 2010 21:45

Tumsifu Sanga

MSAJILI wa vyama vya siasa nchini John Tendwa amesema kuwa Rais Kikwete hawezi kuvunja sheria ya gharama ya uchaguzi mkuu baada ya rais kusema takrima ni ngumu kuzuilika.

..........Akijibu swali la waandishi wa habari kuhusu chama cha CCJ kushiriki uchaguzi mkuu ujao alisema bado hajajua kwa sababu bado hajapitia mafaili waliyoyapeleka ofisini kwake na pia hana bajeti ya kuzunguka mikoani kuhakiki wanachama wa chama hicho.

"Walileta mafaili yao kwa maana kwamba kila mkoa na faili lake, lakini bado sijayapata,isitoshe sina bajeti ya kuzunguka mikoani kuhakiki kama kweli inawanachama zaidi ya 200 ama zaidi,"alisema Tendwa.
Kwanza toka lini TENDWA akafanya kazi ya TUME ya uchaguzi na PCCB ya kusimamia sheria ya takrima ktk chaguzi? na lini amekuwa msemaji wa rais? Tendwa ni msajili wa vyama vya siasa na sana sana mshauri hapaswi kuvuka hapo. Usikute kibindoni ana kadi ya CCM na anashiriki kikamilifu kujenga chama

pia swali jepesi la Rais kubariki takrima kalijibu in details lakini swali gumu la usajili CCJ amejibu in short na ametia kinyaa.
Nimejiunga CCJ kuendeleza mapambano
 
Tunajidanganya kwa kushabikia mimba wakati mtoto wetu anayekua CHADEMA bado hawezi kusimama halafu mimba itembee!Acheni porojo wach tukipe tafu CHADEMA kiondoe tongotongo zilizopo na tupate mwanga wa kweli,ccj ndio nini?
 
Suluhisho hapa ni kutafuta mbadala wa CCJ. Inavyoelekea ofisi ya msajili haina muda na haitakuwa na muda wa kuhakiki kutokana na sababu ambazo ni wao tu ndio wanazielewa. Sasa nini kifanyike nadhani ndio hoja kuu ambayo itatunusuru hapa tulipo maana kama CCJ haina usajili wa kudumu ni wazi kuwa hata uchaguzi haiwezi kushiriki sasa hawa amabao wako CCJ watashiriki vipi katika kuwania nafasi za uongozi. Hivi pendekezo la kuunganisha nguvu na kusimama pamoja haliwezekani? Viongozi wa vyama vya upinzani nadhani muda umefika tuondoe tofauti na maslahi binafsi kwa faida ya nchi yetu.

Tanzania bila CCM inawezekana na wakati ni huu
 
Moelex23,
Sidhani kama utaeleweka na kibaya zaidi ni kutoelewa huko kunakoturudisha nyuma siku zote.

Thanks Mkuu, umeiweka very good... binafsi naamini kabisa hakuna changes bila local presence!!! hata virus ana mafanikio sana kwasababu huingia ndani ya mwili, kuzoea hali na kubadili host properties

Nahisi patapotea kubwa ya CCJ ni timing ya kuanza sprinting!!! i can say wameanza sprinting katika kilomita ya 41 kwenye marathon... probably they needed to have local visible local presence two years ago
 
De Novo na wengine, endeleeni tu kuunga mkono vile vyama vingine ambavyo vinabeba matamanio yenu. Hakuna ubaya. CCJ itakufa kifo cha kawaida na labda wote tutarudi huko huko. Lakini tusijaribu kudharauriana kana kwamba hatuwezi kuelewa mnachokisema au kwamba mnachokisema hakina mantiki. Sisi siyo maroboti wa kutaka kufanya kile wengine wanafanya au wanafikiria tufanye. Wengine tumeunga mkono watu mbalimbali na tufanya hivyo bila kujali vyama vyao na wengine tutaunga vyama vingine kwa sababu binafsi, lakini kujaribu kututaka sote tuwe kwenye bandwagon la chama kimoja kwa sababu tu ya kuonesha umoja usio na msingi haiwezekani. Vipo vyama 13 tayari vya upinzani na hivyo viungane kwanza ili viishinde CCM. CCJ iachwe ijifanyie mambo yake na ikashindwe kwenye sanduku la kura na kukataliwa na wananchi. Hili siyo jambo gumu.
 
yaleyale tendwa kasema rais alikuwa anatania alivosema takrima haikwepeki lol. Tanzania haiishi vituko, ati rais mzima anaongea na watu serious kama viongozi wa dini ati wanataka tuamini alikuwa anatania, hivi wanatuona sie mbumbumbu sana eeh?
 
De Novo na wengine, endeleeni tu kuunga mkono vile vyama vingine ambavyo vinabeba matamanio yenu. Hakuna ubaya. CCJ itakufa kifo cha kawaida na labda wote tutarudi huko huko. Lakini tusijaribu kudharauriana kana kwamba hatuwezi kuelewa mnachokisema au kwamba mnachokisema hakina mantiki. Sisi siyo maroboti wa kutaka kufanya kile wengine wanafanya au wanafikiria tufanye. Wengine tumeunga mkono watu mbalimbali na tufanya hivyo bila kujali vyama vyao na wengine tutaunga vyama vingine kwa sababu binafsi, lakini kujaribu kututaka sote tuwe kwenye bandwagon la chama kimoja kwa sababu tu ya kuonesha umoja usio na msingi haiwezekani. Vipo vyama 13 tayari vya upinzani na hivyo viungane kwanza ili viishinde CCM. CCJ iachwe ijifanyie mambo yake na ikashindwe kwenye sanduku la kura na kukataliwa na wananchi. Hili siyo jambo gumu.

kAKA YANGU!

kamwe sitadharau chama wala itikadi ya mtu, na pia sijawahi kusema mimi ni mwanachama wa chama gani, kwani sina chama bado natafuta chama cha kweli....
nafaidi zaidi kutoa changamoto kuliko kusifia, na kwa CCJ nilichosema ni kwamba kimeanza sprinting late na unajua risk ya late commitment, kwani maadui wanapata nafasi [hasa hapa kwetu ambapo tuna utawala usio haki na huru] ya kuwakwaza na kuwachelewesha.

hainiingii akilini ati msajili hana pesa za kwenda kuhakiki wanachama wakati si lazima akizunguka basi afanye ya CCJ, then badae ya CCM then CUF etc. .. i do also believe kwamba kuna provisional approval pending justification

kikubwa zaidi naamini hatuhitaji Msajili kuhakikisha in person au ofisi yake wakati tunaamini local authorieties ambao wana majina ya hao watu na wamejiandikisha kwenye vitabu including daftari la mpiga kura

Hoja yangu kwenu, na bado naisimami ni kwamba

  • you took a late onset
  • bado mko invisible sana, ni mpendazoe ndio ameonekana
  • its a high time CCJ stands up and be counted rather than spend time on electronic means
  • baada ya document yenu ya kwanza, sijaona hata strategy moja ya huduma za jamii

nawatakia kila la heri, na inshallah siku moja mtachukua nchi
 
Unajua siipendi sana fox nuwz kwa propaganda zake, lakini I wish tungekuwa na fox yetu bongo yenye uwezo ule ule wa kipropaganda. Ishu kama hii wanarusha wiki mfululizo na kumlink muungwana kwamba ni maagizo yake!!
 
Mzee Mwanakijiji,

Naona lengo lenu ni kuvuruga zaidi ya kujenga. Mbona hilo la Msajili linajulikana kwamba inachukua muda kibao kuhakiki majina, ilikuwaje mkaamua kujitokeza dakika za majeruhi?

Kama mko serious shirikianeni na chama kimoja kidogo ambacho kitakuwa tayari kumezwa na CCJ na kisha nendeni kwa wananchi na muone mtakuwa na nguvu kiasi gani.

Hii ya sasa ni kama mnaombea mshindwe ili mupate kisingizio kwa serikali na pia mupate huruma ya wananchi.

Kweli sioni hata mkisajiliwa sasa, mtaweza vipi kuzunguka nchi nzima na kushinda katika hii miezi michache iliyobaki? Kumbuka kule vijijini watu hata sasa hawajasikia kwamba kuna CCJ.
 
kAKA YANGU!

kamwe sitadharau chama wala itikadi ya mtu, na pia sijawahi kusema mimi ni mwanachama wa chama gani, kwani sina chama bado natafuta chama cha kweli....
nafaidi zaidi kutoa changamoto kuliko kusifia, na kwa CCJ nilichosema ni kwamba kimeanza sprinting late na unajua risk ya late commitment, kwani maadui wanapata nafasi [hasa hapa kwetu ambapo tuna utawala usio haki na huru] ya kuwakwaza na kuwachelewesha.

hainiingii akilini ati msajili hana pesa za kwenda kuhakiki wanachama wakati si lazima akizunguka basi afanye ya CCJ, then badae ya CCM then CUF etc. .. i do also believe kwamba kuna provisional approval pending justification

kikubwa zaidi naamini hatuhitaji Msajili kuhakikisha in person au ofisi yake wakati tunaamini local authorieties ambao wana majina ya hao watu na wamejiandikisha kwenye vitabu including daftari la mpiga kura

Hoja yangu kwenu, na bado naisimami ni kwamba

  • you took a late onset
  • bado mko invisible sana, ni mpendazoe ndio ameonekana
  • its a high time CCJ stands up and be counted rather than spend time on electronic means
  • baada ya document yenu ya kwanza, sijaona hata strategy moja ya huduma za jamii

nawatakia kila la heri, na inshallah siku moja mtachukua nchi

Mkuu are u serious na hapo kwenye red????? Anywayz before speculating una maaisha sera, mchango au kitu gani? Maana hata huko CUF, CHADEMA, TLP etc sijaona hata strategy moja ya huduma za jamii
 
kAKA YANGU!

kamwe sitadharau chama wala itikadi ya mtu, na pia sijawahi kusema mimi ni mwanachama wa chama gani, kwani sina chama bado natafuta chama cha kweli....
nafaidi zaidi kutoa changamoto kuliko kusifia, na kwa CCJ nilichosema ni kwamba kimeanza sprinting late na unajua risk ya late commitment, kwani maadui wanapata nafasi [hasa hapa kwetu ambapo tuna utawala usio haki na huru] ya kuwakwaza na kuwachelewesha.

Nimekupata samahani kama nimekukwaza.


hainiingii akilini ati msajili hana pesa za kwenda kuhakiki wanachama wakati si lazima akizunguka basi afanye ya CCJ, then badae ya CCM then CUF etc. .. i do also believe kwamba kuna provisional approval pending justification

kikubwa zaidi naamini hatuhitaji Msajili kuhakikisha in person au ofisi yake wakati tunaamini local authorieties ambao wana majina ya hao watu na wamejiandikisha kwenye vitabu including daftari la mpiga kura

very true

Hoja yangu kwenu, na bado naisimami ni kwamba
  • you took a late onset


  • Tofauti ni kuwa mapambano yana mbinu zake. Vyama vilivyopo tayari vimetumia muda mrefu na impact yake tumeiona. Tulihitaji kufanya kitu out of the ordinary. HIvi unajua ni vyama vingapi vimepita na kuomba usajili wa muda na hakuna anayekumbuka? Kwenye elements za vita hakuna kitu muhimu kama kumshtukiza adui! Kati ya vitu vyote ambavyo CCM na serikali yake hawakutarajia ni ujio wa chama kingine miezi michache kabla ya uchaguzi. HIvi unajua ni kiasi gani tumesave katika kujitangaza?


    [*]bado mko invisible sana, ni mpendazoe ndio ameonekana

    Hii si kweli. Tatizo ni kuwa bado watu wanataka kusikia majina wanayoyafahamu au ya watu vigogo kama ilivyokuwa ikitajwa mara kwa mara. Tuliwaacha CCM wenyewe waumane wenyewe.. hint..who planted the idea CCJ ni chama cha vigogo... think about it!

    [*]its a high time CCJ stands up and be counted rather than spend time on electronic means

    Jamani, mbona watu wameenda mikoani na kupata watu zaidi ishirini elfu, tulikuwa juzi Mbagala na tunampango mwingine zaidi.. au hadi wale watu fulani wajitokeze ndio mtajua for real? well.. bado ni mapambano.. ni vizuri kuendelea kuweza kumshangaza adui kwani akidhani anajua hili basi unamshtukiza na lile.

    [*]baada ya document yenu ya kwanza, sijaona hata strategy moja ya huduma za jamii
Hatujatoa sera zetu zote. Kuna mambo mengi kuanzia elimu hadi kilimo. Lakini hatuwezi kwa sasa bila usajili wa kudumu. Ndio maana tunaupigania, sasa tukimwaga sera zetu zote halafu wakaendelea kutunyima usajili wa kudumu wakazichukua sera hizo na wakazitumia kwenye uchaguzi nani atapewa credit?

nawatakia kila la heri, na inshallah siku moja mtachukua nchi
 
Kweli sioni hata mkisajiliwa sasa, mtaweza vipi kuzunguka nchi nzima na kushinda katika hii miezi michache iliyobaki? Kumbuka kule vijijini watu hata sasa hawajasikia kwamba kuna CCJ.

vijiji gani hivi? jamani tunaenda Kishapu kwa Mpendazoe siku chache zijazo.. na tunafika kwingine vile vile.. hivyo vyama vingine viungane na kumezana vyenyewe. Kwani CCJ kina umuhimu gani jamani si mkiache tu.. miye hata sielewi. Kama chama hakijulikani na hakina nafasi kwanini kinawasumbua sana?
 
Mkuu are u serious na hapo kwenye red????? Anywayz before speculating una maaisha sera, mchango au kitu gani? Maana hata huko CUF, CHADEMA, TLP etc sijaona hata strategy moja ya huduma za jamii

Yes i am serious kwani CCJ si sawa na CUF, CHADEMA, UPATU na hata TLP... so kuwalinganisha basi maana yake hakuna tofauti, its just another number in a list. tione mkakati, mipango na malengo (objectives)... za kututoa 30% hadi 79%

once they share those strategies ndippo ntasema well, they are something different!!
 
De Novo.. tupigie kelele tupate usajili wa kudumu mapema tu...

I wish ningekua na mamlaka! kwa sasa mie ni mpiga domo tu na machungu kwa nchi yangu. Hamu yangu ni kuona ushindani wa kweli kwani vyama vingi vya upinzani vilivyopo ukiondoa CUF na CHADEMA havina nguvu kubwa

DN
 
Nafikiri kama kuna mbwembwe katika kutoa taarifa kwa waandishi wa habari, basi Tendwa ndio ali-apply jana. Mimi si mwanachama wa CCJ, lakini nimepata wakati mgumu kumuelewa bwana msajili pale alipojieleza kwa kujiamini kuwa hana budget ya kushughulikia zoezi la uhakiki wa CCJ. Budget hii imekosekana kwa CCJ tu au alikuwa na deficit kwenye budget yake toka mwanzo wa mwaka wa fedha? Na nikaona kabisa ulevi aliouonyesha wa madaraka/kiti alichopewa! I had a feeling kuwa yuko pale kama muajiriwa wa vyama (chama?) vichache vyenye ubavu na si vinginevyo. Honestly, he pissed me off...
 
Nafikiri kama kuna mbwembwe katika kutoa taarifa kwa waandishi wa habari, basi Tendwa ndio ali-apply jana. Mimi si mwanachama wa CCJ, lakini nimepata wakati mgumu kumuelewa bwana msajili pale alipojieleza kwa kujiamini kuwa hana budget ya kushughulikia zoezi la uhakiki wa CCJ. Budget hii imekosekana kwa CCJ tu au alikuwa na deficit kwenye budget yake toka mwanzo wa mwaka wa fedha? Na nikaona kabisa ulevi aliouonyesha wa madaraka/kiti alichopewa! I had a feeling kuwa yuko pale kama muajiriwa wa vyama (chama?) vichache vyenye ubavu na si vinginevyo. Honestly, he pissed me off...

ndugu yangu, nimesikitika sana jinsi masuala ya management na budgeting yanavyojibiwa kirahisi... ni vigumu kuelewa kwamba msajili hata plan wala anticipation za kuelewa kwamba huu ni mwaka wa uchaguzi hivyo ni lazma azunguke nchi nzima

pia nashindwa kuelewa atahakiki vipi kazi zake kama hana bajeti

na kama ana pesa za kazi nyingine, basi dawa ni kuunganisha kazi na tripu

ndio maana wale jamaa wa marekani samtaims wanatudharau... huwezi kuwa na tume ya uchaguzi, mwaka wa uchaguzi halafu haina pesa za kuhakiki uchaguzi wenyewe

HAVING A QUALIFIED PROFESSIONAL [JAJI] KWENYE SIASA [NASEMA HIVI KWANI TUME YETU YA UCHAGZI IMEKUA NI SIASA TUPU NA SI KAMA NILIVYOTARAJIA] NI SAWA NA KUWEKA MAZIWA YA MGANDO KWENYE BIA!!! HAVINYWEKI
 
Back
Top Bottom