The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,883
Kuna nyumba nilialikwa futari
nikakuta kuna mtu humo kwenye nyumba
yuko above 25...haumwi na ana afya njema
but ni hivi.....
anafuturu sawasawa na wenzie waliofunga ingawa yeye hafungi
usiku anaamka kula daku..na hata kama wanaofunga bado hawaaamka yeye anajisevia tu huyoo lol
asubuhi anakunywa chai na mabaki ya daku na futari....
mchana kutwa anakula....
na ikifika wakati wa kufuturu yeye ndo wa kwanza kusogea kufuturu...lol
hii dunia ina vituko hiii......
nikakuta kuna mtu humo kwenye nyumba
yuko above 25...haumwi na ana afya njema
but ni hivi.....
anafuturu sawasawa na wenzie waliofunga ingawa yeye hafungi
usiku anaamka kula daku..na hata kama wanaofunga bado hawaaamka yeye anajisevia tu huyoo lol
asubuhi anakunywa chai na mabaki ya daku na futari....
mchana kutwa anakula....
na ikifika wakati wa kufuturu yeye ndo wa kwanza kusogea kufuturu...lol
hii dunia ina vituko hiii......