Telekinesis

Telekinesis

Exactly, as we have just shown how stupid you are by relating telekinesis with bible faith.

Hujui hata unachokiongelea poor you...i thought you would come up with strong argument, but you came up with your daily blah blah...Huwezi kunifundisha Biblia wewe, huna ujuacho kwenye kile kitabu zaidi ya vifungu vichache vya kuungaunga
Hebu angalia hata tafsiri yako ya telekinesis halafu ujione ulivyo mweupe kwenye haya maarifa
 
Hujui hata unachokiongelea poor you...i thought you would come up with strong argument, but you came up with your daily blah blah...Huwezi kunifundisha Biblia wewe, huna ujuacho kwenye kile kitabu zaidi ya vifungu vichache vya kuungaunga
Hebu angalia hata tafsiri yako ya telekinesis halafu ujione ulivyo mweupe kwenye haya maarifa

Hapana.

Si busara kuwaita watu majina, kuwashusha ama kuwaoneshea masikitiko eti kwa kuwa hao 'wanakuvaa' wewe 'jino kwa jino'... Ni kheri kufunga 'kinywa' ikiwa ni hivi.

Roho itakufundisha zaidi, kwa kufunga kwako kinywa, katika haja yako ya kutaka kujua jambo zaidi ili kuwa wa msaada zaidi.

Sina hakika kwenye biblia na habari zake kuna kitu cha kufanana na shauri la 'telekinesia' hasa, ila ndiyo, Yesu amewahi kuzungumza juu ya jambo kama hili kwenye kuzungumzia habari ya 'kuuambia mlima huu uhame toka hapa, uende kule'...

Lakini shauri la Yesu si hasa nasibu ya 'Telekinesia'--ni nasibu ya kitu ambacho leo tunakitaja katika mashauri ya sayansi na tekinolojia kama 'Telepotia'...

Telekinesia hahitaji 'imani', ila mkazo wa nia na mawezekano fulani ya kimaumbile, hali ya kubaki katika wakati. Telepotia ni fumbo hasa kwa kuwa hii 'hutobozea' hata nje ya maumbo nao wakati...

Tuliache hili la telepotia kidogo.

Hmmm
 
Hapana.

Si busara kuwaita watu majina, kuwashusha ama kuwaoneshea masikitiko eti kwa kuwa hao 'wanakuvaa' wewe 'jino kwa jino'... Ni kheri kufunga 'kinywa' ikiwa ni hivi.

Roho itakufundisha zaidi, kwa kufunga kwako kinywa, katika haja yako ya kutaka kujua jambo zaidi ili kuwa wa msaada zaidi.

Sina hakika kwenye biblia na habari zake kuna kitu cha kufanana na shauri la 'telekinesia' hasa, ila ndiyo, Yesu amewahi kuzungumza juu ya jambo kama hili kwenye kuzungumzia habari ya 'kuuambia mlima huu uhame toka hapa, uende kule'...

Lakini shauri la Yesu si hasa nasibu ya 'Telekinesia'--ni nasibu ya kitu ambacho leo tunakitaja katika mashauri ya sayansi na tekinolojia kama 'Telepotia'...

Telekinesia hahitaji 'imani', ila mkazo wa nia na mawezekano fulani ya kimaumbile, hali ya kubaki katika wakati. Telepotia ni fumbo hasa kwa kuwa hii 'hutobozea' hata nje ya maumbo nao wakati...

Tuliache hili la telepotia kidogo.

Hmmm

Sahihi kabisa mose nilikuwa nafanya uchambuzi na katika hilo nikalinganisha telekinesis na ile hali ya 'kuhamisha Milima ukiwa na imani ya chembe ya haradali' kwakuwa vyovyote iwavyo bado tutarudi kwenye kiasili cha yote haya ambacho ni roho na ufahamu ambavyo vyote ni uumbaji wa Mungu
 
Last edited by a moderator:
Sahihi kabisa mose nilikuwa nafanya uchambuzi na katika hilo nikalinganisha telekinesis na ile hali ya 'kuhamisha Milima ukiwa na imani ya chembe ya haradali' kwakuwa vyovyote iwavyo bado tutarudi kwenye kiasili cha yote haya ambacho ni roho na ufahamu ambavyo vyote ni uumbaji wa Mungu

Ndiyo na Hapana.

Tia akilini hilo la 'chembe haradali'... Tutalimulika baadaye.

Kila shauri unaloweza kuja kusema ni 'Mungu' nusu ni ukweli, nusu ni uongo.

Na basi, tia hili akilini ujue kuna 'kazi ya kufanya' ili kujitayarisha 'kuyadaka' mashauri ya 'kiroho'.

+++++

[h=2]Creation and the Eternal Genesis[/h]
10 Disemba 2012 saa 12:02 asubuhi
"The universe had a beginning; that is trueThe cosmos is fine-tuned; that is trueFor life to exist proper design was required; that is trueThere is rich and intentional information in our body cells; that is true How did all this happen?" -- Motion


Wrote:


No no, not really so.


There is neither definite 'beginning' nor 'end' to all patterns of creation.


Things emerge out of subtle rhythm which may trace implicated sense order; that which you cybernetic-ally infer to be 'beginning' or 'endings' under the disguise of interpretation and persistence of senses... Otherwise everything come and go with the 'mist'... Watch the skies in the Night and you will notice that apparent 'star dust'--do you think it is really a dust?


Somewhere and in someway beyond the graspable vastness what happens to be the 'eternity' is simply a minute fraction of time. And in some sense--in micro worlds to our reality, 'ages' and 'ages' takes place while we witness a 'normally' changing life matters.


The world is forever, there had never been a beginning and then again there can never be the end--as paradoxically as this may sound; such is the mystery of life and existence.


***


That observatory science of the upper space-- consider it as a volatile clinch; susceptible to sudden change when certain realization sets in.


let it be known why...


Problem with mathematical reductions, extrapolations and inference accounts and ascribe to 'quantitative' determinism. Reducing a 'perceived' reality into some sort of quantity will always imply 'cutting through' what is being observed, by interpretation and figuring out; thus ending with a 'sectional view' instead of wholeness of the subject. Something can be missing, and in most cases that is it. One cannot detect 'immaterial' part of that which is 'material' enough to be grasped and framed into dimensions of form and states in regarding to matter.


There is something missing in science--another form of 'mathematics' to complement contemporary determinism and analysis. If i should have to hint to you what should it be like well I can tell you in short-- it is gotta be 'musical'... Someday hopeful we will arrive to the forms of maths without '=' sign. For creation in a real sense is not a subject of 'equations'. This algebraic clinch is 1/3 of what it takes to grasp the whole of it. If '=' is stable, there is something 'unstable' and the third which neither of both.


Don't get 'cheated' with megalithic scientific enterprises of today; these fellows associated with exploration and deductions miss small points which don't require 'multi billion' investments. Though we tend to be influenced by these established communities it is not that they have 'broken the ice' of everything... Surely they are at the verge of this, but not quite there.


Constants are not constant, first things first. Many scientists may not be confident to discuss this subject but there is a pretty good reason for this. All life is continuous, so if you can advance into this picture, everything you know will start to shift and seek to illustrate that creation is a fabric... but how really is this so? Something which has been vigorously sort--a grand unified theory, has been and continues to be a 'live' holly grail of contemporary science.


We can bring this on, and I will have to explain the problems of constants, assumptions, postulations and subsequent inherent flaws in physical theories and general thinking. Well, I can tease in a way forward by saying 'heat' is not energy... Now go figure


Source: http://www.facebook.com/gkahangwa/posts/3951000009226


"Wrote:


Yes the Universe is the infinite living being... Your very body is cluster of universes--now think about 'time' in scale levels of micro and macro cosmic constitution...


Intelligence is everywhere and anywhere--living intelligence of life is the 'word' and 'breath' which is 'God'. God is not a man behind just like it is supposed in human beings' religious fabricated stories... There is neither higher nor below in regard to the seat of 'god' but in real sense the mystery of the outer and inner life.


If Jesus spoke of immovable kingdom and some sort of eternity, that should soon come to be comprehended as fractal order of intelligence and grand scheme of all life"


In response to a link: http://science.discovery.com/tv-shows/through-the-wormhole/season-3-episodes.htm


****
11178346_10153440658379421_6943585480643896995_n.jpg




Sure... The Quintessences of Consciousness-cum-Material Reality... You already know the future and the past, it is already 'YOU' in now, work the physics to decipher whats is coming from your future, and what is the momentum from the past... And there could be several parallel realities. Choices and Composures, fixedness or versatility. The choice is purely yours, any given moment... Courtesy of a 'single infinitesimal particle' moving in unbounded space, traveling with unlimited speed, in all directions--thus in all time and space, simultaneously. Whatta mystery in geometry and existence !


https://www.facebook.com/osho.inter...02176597068/10152871506302069/?type=1&theater


*****


Roots of experience are spread all over from past to future, it is as to say all lives supply nutrients and climate to nourish an oversoul. When you are in tune with something broader than a single life, you may fathom things in a larger sense or perspective. Separate selves in separate lives are just extracting roots...That which is really living does not belong to this 'time'... And the more your attune to that higher creature of our crystalline or even dynamic being, all people, plants, planets and Stars coalescence in meaning, purpose and souring essence.... Think of time as an adventure, forget the self(ves), they are just stations of distinct flavor of mortal experience in virtues of material sheathes of life, superimposed compositions of diverse life patterns...
___

... in fact it is the very essence of what Jesus was fond of saying: you are the very salt... your are the light.



And refer to the Emerald Tablet of Thoth,, there is saying of beginning of one 'time' and the end of another in relationship to the cause and effects, as he was telling about the 'future' of the light born men... The above understanding is just an introduction to the art and mastery of events engineering towards the end of this century. indeed you can track a thing from your future as much as from the past. If everything turns well, we can have a complete social engineering in which we can draw master souls through mortal births--which can signify individuals from the future, in some sense--as much as the past. You can also be the vehicle of expression of something from the future or past as a 'conduit' or channel..

___

'... To me there is nothing like finite energy. All energy related measurements are reflective of patterns and symetry of forms; disposition to change is inexhaustible. All measurements are approximative when it comes to motion and deductive kinematics. There is no 'time' in real sense, only change and consciousness. If you know the true pattern behind forms your can intent and change-- rather to imply 'cheating'' even the ordinariness of order and pattern at a certain given level. If you deduce ability to change is due to some inherent orientation of space or virtual form like 'time'; your inference could be upside down. However, gravity, is something like 'time' converting to 'energy' apparently... but infact it is the inevitability to stand still or remaining in a uniform motion... The tension between stillness and motion is the cause of all, time is fallacious interpretation of space orientation and fixedness of anything...


The tension between stillness and motion is actually the vibration; or inferring souñd essence of all material fòrm. Just like in physics regarding to nodes and antinodes of a vibratiñg string, 'still points' and 'vibratiñg tapestry' consititute forms. Vibrational characterics attribute to material integration of matter in what we usually refer in modern terms as 'mass'. When 'dots' of form gravitate together, they coñstitute the mass of àn object. When thàt system of dots, precisely to say 'vibration'; is sympathetic to other vibratioñ and in a certain sense, it 'causes' another dimensional gravitation and this infers multiple subjecting occurences. In chemistry it can be observed as atom to atom attraction or molecule to molecule-- to then a compound or substance to Earth. In physical sense, an in another words it is just matter... Something that occupies space. But what is weight o then suffice the ordinary definition? The correspondiñg shapes of material significançe are discs and spheres... All that you would come to learn about gravity, its strength and effects--the inverse square law for example, it is nothing but the truth of circles and squares, spatially--spheres and cubes. How do they stañd as the axiom and string of the perpetual mechanics? You are down to the real music itself...


https://www.facebook.com/luke.davey.73/posts/10152951944021494?fref=nf


*****


... Tatu, ni namba ya usifa akili kwa maana ya intelligence katika uzima na maumbo kwa maana ya namna ya mwanzo, mwisho na kilicho katikati ya hivi viwili kwa kupanda juu ama kushuka chini; kutokeza nje ama kuchimbia kwa ndani. Kimwendo ni sawa na kitendo hai, kitendo mpito na isivyo vyote viwili kwa wakati. kiakili ni namba ya utashi ama nia, kimatokeo ni uzuri na ukamilifu wa jambo kwa kadri ya maana ama nia njema iliyofichika. Yesu aliposema muwe werevu kama nyoka na wapole kama hua alimaanisha kitu sawa na Waashi huru huzungumzia nyuzi 33, werevu ni wa akili na upole ni wa hisia njema zenye kutangamanisha mbili zenye mfano wa uhasimu... Na namba 33 kwa mfano, inafahamika ni namba ya Ufahamu wa Kristo...


****



The world today has an incomplete notion over 'energy'... Defining it as ability to do/cause 'work(done)--and fundamentally, in relationship to what we deem to be quantifiable condition/activities amidst distance, movement and force upon elements.
I have upgraded myself... Anyone can choose to do the same.


The whole universe is about stability and instability of elements... Usually i am intrigued by your depictions of forces and movement, for i do track to what extend can your knowledge resolve into the perpetual mechanics of all 'universal particles' in motion--and the way my comprehension is swinging into.


So speaking of stability or instability, note that shape or pattern matters --relative to a 'plane'--then pull or push/attraction(linearity). Resolution of unceasing motion in an objectionable space yields a circular motion; but how does the 'planar motion' (say the likeness of planets or electrons) objectify itself in spatial world and as it is evident with the atomic and stellar objects?


Newton supposed a 'Universal Gravitation'... There is much to extend from his basic notion and perception, but suffice to say, there is unlimited 'supply of energy' to cause order or chaos to the point that it is irrelevant to calculate any.


Actually I say--motion and stillness are not two but one--spatial orientation of 'solid' elements is elusive. You can rearrange elements in a certain way and they can yield unceasing motion... So perpetual mechanics is a possibility. The secrets is in the geometrical configuration of the 'magnetic' elements...


Remember Chemist Kekule's empirical deduction of the possible structural pattern attributing to 'aromatic' organic compounds ( of Benzene-- the benzene ring and the snake of ouroboros from a dream of his...)?


I am thinking of the same shape-- a well known shape/pattern even in science-- as the key to perpetual mechanics. The hexagonal shape is likely to be the such a pattern (And in direct relationship to 'The Fruit of Life')...


How can you find a 'virtual cube' within a fruit of life to then objectify -- a virtual extension of a planar geometry in spatial field of such space? Can that be the key to evoking a vortex of 'polar elements' like say the magnetic polarities--to incite a translated circular motion, of fastened together plane of such elements of duality?


My feeling is yes--perpetual motion is already the case, but the truth lies upon a certain geometry hitherto undetected... To figure it out, it is a trick which requires a seeker to move beyond merely simple setups of 'attraction' and 'repulsion' intrinsic to dualistic forces....


A true perpetual mechanism shall consist of 'three' states of attraction, repulsion and the dynamic neutrality... For thats how stability and instability trigger what we infer as 'motion'..


https://www.facebook.com/fizikist/videos/782168861832254/


******



11234044_10153440808669421_6556520789100403793_n.jpg
Someday in the future, we, as a truly evolved society and civilization-- will stop using the limited supply of earth materials the way we do today, and in so many shape and form-- say for building as an example. In stead of steel or other precious metals, we will move on and start to look for organic 'growers/fashioners' of useful substances in biological environment -- Products of Living organism which they tend to constitute and form them out of their daily course of 'happy' life.


But we already have such fabulous and intricate biosynthetic cellular constitution in our bodies... One day, we going to discover it is possible to isolate, develop and apply distinguished cellular colonies to yield useful materials just like the way our bodies do--making bones , synthesizing strange compounds or even transmuting elements within their vicissitude in order to persist or thrive.


Biology of today, is still so materialistic and rudimentary in its scientific formation and articulation. As we are to advance into new paradigms and ventures-- relating to something like the 'quantum bio-holography'--realization of link between possible parallel realities -- of implicate and explicate order of life, bridged by something like the DNA, we are going to be on the right track towards amazing biology, with direct relationship to 'biospheric life' of the Earth and the Entire Cosmos...


The world of tomorrow is the one of 'living systems'--fusion and amalgamation of solid science with biology through mind and other undiscovered subtle crystalline information systems... But ask many scientists of today--you are likely to hear them bolstering their optimism of scientific development of today in the wonders of Information Processing and Engineering by projecting the possible future of Artificial Intelligence -- with all its lurking danger of Robot 'mutiny' of course, as Stephen Hawking dreads it... But the future, is more w-holistic than the way it is being anticipated by materialistic scientists of today... It will be more than what they are capable of predicting.


Scientists Discover Strongest Known Natural Material | IFLScience


*****

https://www.facebook.com/notes/10151289450739421/
 
Hukutakiwa kuacha kama bado una interest rudi tuunde team pamoja na NDUKI na wengine


Am here broh, naamini kabisa nimeletwa duniani kusaidia wengine kwa kile ambacho MUNGU amenisaidia na naamini kabisa kuwa alichonipa mimi si kwamba kuwa amempa kila mtu.

Hivyo kwa kile ambacho naweza kumsaidia mwenzangu niko tayari kabisa kufanya hivyo.
 
Last edited by a moderator:
Ndiyo na Hapana.

Tia akilini hilo la 'chembe haradali'... Tutalimulika baadaye.

Kila shauri unaloweza kuja kusema ni 'Mungu' nusu ni ukweli, nusu ni uongo.

Na basi, tia hili akilini ujue kuna 'kazi ya kufanya' ili kujitayarisha 'kuyadaka' mashauri ya 'kiroho'.

+++++

[h=2]Creation and the Eternal Genesis[/h]
10 Disemba 2012 saa 12:02 asubuhi
"The universe had a beginning; that is trueThe cosmos is fine-tuned; that is trueFor life to exist proper design was required; that is trueThere is rich and intentional information in our body cells; that is true How did all this happen?" -- Motion


Wrote:


No no, not really so.


There is neither definite 'beginning' nor 'end' to all patterns of creation.


Things emerge out of subtle rhythm which may trace implicated sense order; that which you cybernetic-ally infer to be 'beginning' or 'endings' under the disguise of interpretation and persistence of senses... Otherwise everything come and go with the 'mist'... Watch the skies in the Night and you will notice that apparent 'star dust'--do you think it is really a dust?


Somewhere and in someway beyond the graspable vastness what happens to be the 'eternity' is simply a minute fraction of time. And in some sense--in micro worlds to our reality, 'ages' and 'ages' takes place while we witness a 'normally' changing life matters.


The world is forever, there had never been a beginning and then again there can never be the end--as paradoxically as this may sound; such is the mystery of life and existence.


***


That observatory science of the upper space-- consider it as a volatile clinch; susceptible to sudden change when certain realization sets in.


let it be known why...


Problem with mathematical reductions, extrapolations and inference accounts and ascribe to 'quantitative' determinism. Reducing a 'perceived' reality into some sort of quantity will always imply 'cutting through' what is being observed, by interpretation and figuring out; thus ending with a 'sectional view' instead of wholeness of the subject. Something can be missing, and in most cases that is it. One cannot detect 'immaterial' part of that which is 'material' enough to be grasped and framed into dimensions of form and states in regarding to matter.


There is something missing in science--another form of 'mathematics' to complement contemporary determinism and analysis. If i should have to hint to you what should it be like well I can tell you in short-- it is gotta be 'musical'... Someday hopeful we will arrive to the forms of maths without '=' sign. For creation in a real sense is not a subject of 'equations'. This algebraic clinch is 1/3 of what it takes to grasp the whole of it. If '=' is stable, there is something 'unstable' and the third which neither of both.


Don't get 'cheated' with megalithic scientific enterprises of today; these fellows associated with exploration and deductions miss small points which don't require 'multi billion' investments. Though we tend to be influenced by these established communities it is not that they have 'broken the ice' of everything... Surely they are at the verge of this, but not quite there.


Constants are not constant, first things first. Many scientists may not be confident to discuss this subject but there is a pretty good reason for this. All life is continuous, so if you can advance into this picture, everything you know will start to shift and seek to illustrate that creation is a fabric... but how really is this so? Something which has been vigorously sort--a grand unified theory, has been and continues to be a 'live' holly grail of contemporary science.


We can bring this on, and I will have to explain the problems of constants, assumptions, postulations and subsequent inherent flaws in physical theories and general thinking. Well, I can tease in a way forward by saying 'heat' is not energy... Now go figure


Source: http://www.facebook.com/gkahangwa/posts/3951000009226


"Wrote:


Yes the Universe is the infinite living being... Your very body is cluster of universes--now think about 'time' in scale levels of micro and macro cosmic constitution...


Intelligence is everywhere and anywhere--living intelligence of life is the 'word' and 'breath' which is 'God'. God is not a man behind just like it is supposed in human beings' religious fabricated stories... There is neither higher nor below in regard to the seat of 'god' but in real sense the mystery of the outer and inner life.


If Jesus spoke of immovable kingdom and some sort of eternity, that should soon come to be comprehended as fractal order of intelligence and grand scheme of all life"


In response to a link: http://science.discovery.com/tv-shows/through-the-wormhole/season-3-episodes.htm


****
11178346_10153440658379421_6943585480643896995_n.jpg




Sure... The Quintessences of Consciousness-cum-Material Reality... You already know the future and the past, it is already 'YOU' in now, work the physics to decipher whats is coming from your future, and what is the momentum from the past... And there could be several parallel realities. Choices and Composures, fixedness or versatility. The choice is purely yours, any given moment... Courtesy of a 'single infinitesimal particle' moving in unbounded space, traveling with unlimited speed, in all directions--thus in all time and space, simultaneously. Whatta mystery in geometry and existence !


https://www.facebook.com/osho.inter...02176597068/10152871506302069/?type=1&theater


*****


Roots of experience are spread all over from past to future, it is as to say all lives supply nutrients and climate to nourish an oversoul. When you are in tune with something broader than a single life, you may fathom things in a larger sense or perspective. Separate selves in separate lives are just extracting roots...That which is really living does not belong to this 'time'... And the more your attune to that higher creature of our crystalline or even dynamic being, all people, plants, planets and Stars coalescence in meaning, purpose and souring essence.... Think of time as an adventure, forget the self(ves), they are just stations of distinct flavor of mortal experience in virtues of material sheathes of life, superimposed compositions of diverse life patterns...
___

... in fact it is the very essence of what Jesus was fond of saying: you are the very salt... your are the light.



And refer to the Emerald Tablet of Thoth,, there is saying of beginning of one 'time' and the end of another in relationship to the cause and effects, as he was telling about the 'future' of the light born men... The above understanding is just an introduction to the art and mastery of events engineering towards the end of this century. indeed you can track a thing from your future as much as from the past. If everything turns well, we can have a complete social engineering in which we can draw master souls through mortal births--which can signify individuals from the future, in some sense--as much as the past. You can also be the vehicle of expression of something from the future or past as a 'conduit' or channel..

___

'... To me there is nothing like finite energy. All energy related measurements are reflective of patterns and symetry of forms; disposition to change is inexhaustible. All measurements are approximative when it comes to motion and deductive kinematics. There is no 'time' in real sense, only change and consciousness. If you know the true pattern behind forms your can intent and change-- rather to imply 'cheating'' even the ordinariness of order and pattern at a certain given level. If you deduce ability to change is due to some inherent orientation of space or virtual form like 'time'; your inference could be upside down. However, gravity, is something like 'time' converting to 'energy' apparently... but infact it is the inevitability to stand still or remaining in a uniform motion... The tension between stillness and motion is the cause of all, time is fallacious interpretation of space orientation and fixedness of anything...


The tension between stillness and motion is actually the vibration; or inferring souñd essence of all material fòrm. Just like in physics regarding to nodes and antinodes of a vibratiñg string, 'still points' and 'vibratiñg tapestry' consititute forms. Vibrational characterics attribute to material integration of matter in what we usually refer in modern terms as 'mass'. When 'dots' of form gravitate together, they coñstitute the mass of àn object. When thàt system of dots, precisely to say 'vibration'; is sympathetic to other vibratioñ and in a certain sense, it 'causes' another dimensional gravitation and this infers multiple subjecting occurences. In chemistry it can be observed as atom to atom attraction or molecule to molecule-- to then a compound or substance to Earth. In physical sense, an in another words it is just matter... Something that occupies space. But what is weight o then suffice the ordinary definition? The correspondiñg shapes of material significançe are discs and spheres... All that you would come to learn about gravity, its strength and effects--the inverse square law for example, it is nothing but the truth of circles and squares, spatially--spheres and cubes. How do they stañd as the axiom and string of the perpetual mechanics? You are down to the real music itself...


https://www.facebook.com/luke.davey.73/posts/10152951944021494?fref=nf


*****


... Tatu, ni namba ya usifa akili kwa maana ya intelligence katika uzima na maumbo kwa maana ya namna ya mwanzo, mwisho na kilicho katikati ya hivi viwili kwa kupanda juu ama kushuka chini; kutokeza nje ama kuchimbia kwa ndani. Kimwendo ni sawa na kitendo hai, kitendo mpito na isivyo vyote viwili kwa wakati. kiakili ni namba ya utashi ama nia, kimatokeo ni uzuri na ukamilifu wa jambo kwa kadri ya maana ama nia njema iliyofichika. Yesu aliposema muwe werevu kama nyoka na wapole kama hua alimaanisha kitu sawa na Waashi huru huzungumzia nyuzi 33, werevu ni wa akili na upole ni wa hisia njema zenye kutangamanisha mbili zenye mfano wa uhasimu... Na namba 33 kwa mfano, inafahamika ni namba ya Ufahamu wa Kristo...


****



The world today has an incomplete notion over 'energy'... Defining it as ability to do/cause 'work(done)--and fundamentally, in relationship to what we deem to be quantifiable condition/activities amidst distance, movement and force upon elements.
I have upgraded myself... Anyone can choose to do the same.


The whole universe is about stability and instability of elements... Usually i am intrigued by your depictions of forces and movement, for i do track to what extend can your knowledge resolve into the perpetual mechanics of all 'universal particles' in motion--and the way my comprehension is swinging into.


So speaking of stability or instability, note that shape or pattern matters --relative to a 'plane'--then pull or push/attraction(linearity). Resolution of unceasing motion in an objectionable space yields a circular motion; but how does the 'planar motion' (say the likeness of planets or electrons) objectify itself in spatial world and as it is evident with the atomic and stellar objects?


Newton supposed a 'Universal Gravitation'... There is much to extend from his basic notion and perception, but suffice to say, there is unlimited 'supply of energy' to cause order or chaos to the point that it is irrelevant to calculate any.


Actually I say--motion and stillness are not two but one--spatial orientation of 'solid' elements is elusive. You can rearrange elements in a certain way and they can yield unceasing motion... So perpetual mechanics is a possibility. The secrets is in the geometrical configuration of the 'magnetic' elements...


Remember Chemist Kekule's empirical deduction of the possible structural pattern attributing to 'aromatic' organic compounds ( of Benzene-- the benzene ring and the snake of ouroboros from a dream of his...)?


I am thinking of the same shape-- a well known shape/pattern even in science-- as the key to perpetual mechanics. The hexagonal shape is likely to be the such a pattern (And in direct relationship to 'The Fruit of Life')...


How can you find a 'virtual cube' within a fruit of life to then objectify -- a virtual extension of a planar geometry in spatial field of such space? Can that be the key to evoking a vortex of 'polar elements' like say the magnetic polarities--to incite a translated circular motion, of fastened together plane of such elements of duality?


My feeling is yes--perpetual motion is already the case, but the truth lies upon a certain geometry hitherto undetected... To figure it out, it is a trick which requires a seeker to move beyond merely simple setups of 'attraction' and 'repulsion' intrinsic to dualistic forces....


A true perpetual mechanism shall consist of 'three' states of attraction, repulsion and the dynamic neutrality... For thats how stability and instability trigger what we infer as 'motion'..


https://www.facebook.com/fizikist/videos/782168861832254/


******



11234044_10153440808669421_6556520789100403793_n.jpg
Someday in the future, we, as a truly evolved society and civilization-- will stop using the limited supply of earth materials the way we do today, and in so many shape and form-- say for building as an example. In stead of steel or other precious metals, we will move on and start to look for organic 'growers/fashioners' of useful substances in biological environment -- Products of Living organism which they tend to constitute and form them out of their daily course of 'happy' life.


But we already have such fabulous and intricate biosynthetic cellular constitution in our bodies... One day, we going to discover it is possible to isolate, develop and apply distinguished cellular colonies to yield useful materials just like the way our bodies do--making bones , synthesizing strange compounds or even transmuting elements within their vicissitude in order to persist or thrive.


Biology of today, is still so materialistic and rudimentary in its scientific formation and articulation. As we are to advance into new paradigms and ventures-- relating to something like the 'quantum bio-holography'--realization of link between possible parallel realities -- of implicate and explicate order of life, bridged by something like the DNA, we are going to be on the right track towards amazing biology, with direct relationship to 'biospheric life' of the Earth and the Entire Cosmos...


The world of tomorrow is the one of 'living systems'--fusion and amalgamation of solid science with biology through mind and other undiscovered subtle crystalline information systems... But ask many scientists of today--you are likely to hear them bolstering their optimism of scientific development of today in the wonders of Information Processing and Engineering by projecting the possible future of Artificial Intelligence -- with all its lurking danger of Robot 'mutiny' of course, as Stephen Hawking dreads it... But the future, is more w-holistic than the way it is being anticipated by materialistic scientists of today... It will be more than what they are capable of predicting.


Scientists Discover Strongest Known Natural Material | IFLScience


*****

https://www.facebook.com/notes/10151289450739421/

OK ok maelezo ni mengi marefu na yenye ufafanuzi wa kina kulingana na mtazamo na uelewa wa mwandishi au waandishi
Tuna tafsiri tatu ya Mungu na uumbaji
-Tafsiri ya kiimani, Mungu kama kiumbe mwenye enzi yote ~~heavenly superpower being
-Mungu kama sehemu ya maisha yetu ndani ya miili yetu kwamba sisi ni mungu na mungu ni sisi (hii yaweza leta ukakasi kwa wengine )lakini kiimani alisema na tuumbe mtu kwa mfano wetu....
-Mungu kama kiumbe kisichojulikana kisichoonekana kisichokuwepo (a concept of non existence of God)
Halafu mwishoni Mungu katika imani nyinginezo kama Krishna, Taoism, Buddhism, confuscious, Analects , Bramham n the like
Nb: sijazunguzumzia satanism luciferianism na freemason kwa sababu zote hizi ni sects tu katika hizo imani nyingine hapo juu
mose this is my point or to put it more precisely my focal point...in any case and or in whatever argument about God God-head his existence, creation of the universe at the end of it all we will come back to only two things SOUL N MIND

Roho na ufahamu ndio kitovu cha yote haya tunayojadili hata tuzunguke vipi mwisho wa siku tutarudi hapa na hapa ndio penye mjadala wote
 
Last edited by a moderator:
OK ok maelezo ni mengi marefu na yenye ufafanuzi wa kina kulingana na mtazamo na uelewa wa mwandishi au waandishi
Tuna tafsiri tatu ya Mungu na uumbaji
-Tafsiri ya kiimani, Mungu kama kiumbe mwenye enzi yote ~~heavenly superpower being
-Mungu kama sehemu ya maisha yetu ndani ya miili yetu kwamba sisi ni mungu na mungu ni sisi (hii yaweza leta ukakasi kwa wengine )lakini kiimani alisema na tuumbe mtu kwa mfano wetu....
-Mungu kama kiumbe kisichojulikana kisichoonekana kisichokuwepo (a concept of non existence of God)
Halafu mwishoni Mungu katika imani nyinginezo kama Krishna, Taoism, Buddhism, confuscious, Analects , Bramham n the like
Nb: sijazunguzumzia satanism luciferianism na freemason kwa sababu zote hizi ni sects tu katika hizo imani nyingine hapo juu
mose this is my point or to put it more precisely my focal point...in any case and or in whatever argument about God God-head his existence, creation of the universe at the end of it all we will come back to only two things SOUL N MIND

Roho na ufahamu ndio kitovu cha yote haya tunayojadili hata tuzunguke vipi mwisho wa siku tutarudi hapa na hapa ndio penye mjadala wote


Acha uvivu ikiwa huo wakufanya kughairi kusoma yote humo ndani -- soma hata neno kwa neno ndiyo utakuwa na 'kheri zaidi na mimi'...

Mimi pia ninaona ni 'maneno mengi sana na marefu yenye ufafanuzi wa kina...' lakini ninaweka yote kwa mapana na marefu yake 🙂 ... kwa kuwa mara nyingine hakuna 'njia ya mkato' katika 'kuutayarisha uwanja' kwenye jangwa la 'maarifa' na 'hekima' yake...

Tafsiri yeyote ni urithi wako kwako wewe mwenyewe, kwa hiyo ukifanya hivyo yaweza kuwa ni kwa ajili ya kukufaa wewe mwenyewe na si mwingine tena.

Watu tofauti, wananasibu ya 'kuokoteza' vitu tofauti -- yote ni kheri.

Cha msingi na kheri, kupitia mchango na kuendelea na kile unachodhani kuona chafaa kuzungumzwa zaidi, kuangaliwa kwa pande mbali mbali za kimtazamo.

Labda kwa mfano,

Nitakuambia kitu -- hakuna lolote hasa la 'dhana'; lolote la 'imani' na 'makundi ya imani'; kwa kuwa hayo yote yaweza kuwa ni 'takataka'.

Wewe unaweza kuwa ni 'Nuru' kwa fikra na mashauri yako, yoyote utakayokuamua kurejea kimawaidha ya Yesu, Krishna, Buddha n.k ama misahafu ni mapenzi yako tu -- SI LAZIMA.

Na basi hakuna 'Argument' yoyote kati yako na mimi kama mtu, maana siitambua 'lugha' ya namna hii; Sana sana niseme katika mashauri ya kufanania na hayo yote, miye kama mtu 'niko mguu ndani mguu nje'... LOL

Haya.

Kwa kuwa wewe unachimbukia katika nasibu na mapendeleo ya dhana na tafsiri, ninashauri jambo moja... Tafuta kutafakari jambo lenye kutajwa kama koinsidensia opozitoram... ["The Doctrine of Coincidentia Oppositorum in Jewish Mysticism " http://www.newkabbalah.com/Coincshort.pdf]

Sasa mengi niliyopachika humu moja kwa moja ama kama sehemu ya majibu, tangu na tangu, katika nyuzi zako; ni katika kuipambanua hii katika fikra na mashauri.

Mambo ya kiroho huishia kusigana na mantiki za kimawazo.

Badala ya kudhani ni upande huu ama ule ndiyo wenye jibu, namna hii unakuwa 'umejipoteza'. Jibu daima lipo katikati ya mawili... Hata yenye kusigana...

Hmmm
 
Acha uvivu ikiwa huo wakufanya kughairi kusoma yote humo ndani -- soma hata neno kwa neno ndiyo utakuwa na 'kheri zaidi na mimi'...

Mimi pia ninaona ni 'maneno mengi sana na marefu yenye ufafanuzi wa kina...' lakini ninaweka yote kwa mapana na marefu yake 🙂 ... kwa kuwa mara nyingine hakuna 'njia ya mkato' katika 'kuutayarisha uwanja' kwenye jangwa la 'maarifa' na 'hekima' yake...

Tafsiri yeyote ni urithi wako kwako wewe mwenyewe, kwa hiyo ukifanya hivyo yaweza kuwa ni kwa ajili ya kukufaa wewe mwenyewe na si mwingine tena.

Watu tofauti, wananasibu ya 'kuokoteza' vitu tofauti -- yote ni kheri.

Cha msingi na kheri, kupitia mchango na kuendelea na kile unachodhani kuona chafaa kuzungumzwa zaidi, kuangaliwa kwa pande mbali mbali za kimtazamo.

Labda kwa mfano,

Nitakuambia kitu -- hakuna lolote hasa la 'dhana'; lolote la 'imani' na 'makundi ya imani'; kwa kuwa hayo yote yaweza kuwa ni 'takataka'.

Wewe unaweza kuwa ni 'Nuru' kwa fikra na mashauri yako, yoyote utakayokuamua kurejea kimawaidha ya Yesu, Krishna, Buddha n.k ama misahafu ni mapenzi yako tu -- SI LAZIMA.

Na basi hakuna 'Argument' yoyote kati yako na mimi kama mtu, maana siitambua 'lugha' ya namna hii; Sana sana niseme katika mashauri ya kufanania na hayo yote, miye kama mtu 'niko mguu ndani mguu nje'... LOL

Haya.

Kwa kuwa wewe unachimbukia katika nasibu na mapendeleo ya dhana na tafsiri, ninashauri jambo moja... Tafuta kutafakari jambo lenye kutajwa kama koinsidensia opozitoram... ["The Doctrine of Coincidentia Oppositorum in Jewish Mysticism " http://www.newkabbalah.com/Coincshort.pdf]

Sasa mengi niliyopachika humu moja kwa moja ama kama sehemu ya majibu, tangu na tangu, katika nyuzi zako; ni katika kuipambanua hii katika fikra na mashauri.

Mambo ya kiroho huishia kusigana na mantiki za kimawazo.

Badala ya kudhani ni upande huu ama ule ndiyo wenye jibu, namna hii unakuwa 'umejipoteza'. Jibu daima lipo katikati ya mawili... Hata yenye kusigana...

Hmmm

Ondoa neno UVIVU kwakuwa hiyo haikuwa maana yangu...nilichosema ni kwamba andishi ni kubwa LENYE UFAFANUZI WA KINA
Nirudie point yangu muhimu kuwa vyovyote iwavyo hata katika hayo mawili..hata yawe ya kusigana hata yawe ya kheri au ya ubatili lakini mwisho wa yote ni roho na ufahamu hii ndio point yangu muhimu
 
Ondoa neno UVIVU kwakuwa hiyo haikuwa maana yangu...nilichosema ni kwamba andishi ni kubwa LENYE UFAFANUZI WA KINA
Nirudie point yangu muhimu kuwa vyovyote iwavyo hata katika hayo mawili..hata yawe ya kusigana hata yawe ya kheri au ya ubatili lakini mwisho wa yote ni roho na ufahamu hii ndio point yangu muhimu

Kuhusu 'Uvivu' -- Naelewa, lakini nimeweka kwa makusudi vile vile

La pili, 'sijakuelewa' -- ila isikulazimu 'kunielewesha'.

Japo 'nimekusoma'.

Haya
 
Hili chaweza kuwa kitu kigeni mno masikioni mwa wengi lakini ni kitu kilichopo Katika Ulimwengu huu
Telekinesis ni hali ya kuwa na uwezo na nguvu za kiasili za kuweza kunyanyua na kusogeza vitu kwa viungo vya mwili hasa mikono bila kuvigusaView attachment 299478
Telekinesis ni tendo la psychic ambalo ambalo uwezo wake ni uleule wa kusogeza vitu na kuvihamisha bila kuvigusa-psychokinesis

Sasa hiajalishi kama ni telekinesis au psychokinesis lakini matendo yote haya mawili ni sehemu mojawapo ambayo kisayansi bado yanaacha maswali mengi huku baadhi ya watu Katika tafiti na mabandiko yao wakizihusisha a nguvu za giza
Lakini ukweli ni kwamba mind/ufahamu wa binadamu ni kitu chenye nguvu mno na kwakweli tunachotumia ni sehemu ndogo tu ya nguvu ya ufahamu wote tukio nao... Kidini hasa katika Biblia takatifu hii nguvu inaitwa imani, na tunaambiwa ukiwa na imani ndogo tu isiyozidi ukubwa wa chembe ya haradali utakuwa na uwezo hata wa kuhamisha milima... Hii imani katika Bible ndio telekinesis kwa upande mwingine

Sasa watu hujaribu kumiliki hizi nguvu kwa njia ya mkato au ya kujituma na kupractice, tunapoongelea mambo ya meditation, psychic powers n abilities yoga astral practice nk kimsingi Tunaongelea telekinesis katika secondary stage, baada ya kuchanganya na maarifa mengine Kama hayo
Lakini pia kuna wale ambao hupenda kumiliki nguvu za telekinesis kwa njia za mkato na hapa ndipo watu huingia mikataba na kuzimu na kufanya makafara huku wengi wakiingizwa kwenye dini ya mashetani ili tu aweze kufanya mambo kama hayo

Siku hizi tuna manabii na mitume wengi wanaofanya miujiza mingi hasa ile ya kuwapuliza tu watu na watu hao kuanguka au kunyoosha tu mkono au kidole na nguvu yake kuwaangusha watu.... Msidanganyike ile si nguvu ya kiMungu bali ni aina fulani ya nguvu za kitelekinesis na ki psychokinesis zilizochakachuliwa na mwishowe kuchomekea jina la Yesu kristo kupumbaza watu

Tuna waganga wa kienyeji pia wenye hizi nguvu, lakini huchanganya na mambo mengine ya giza na kuweza kuwapumbaza na kuwarubuni maelfu kwa maelfu

Telekinesis ya kiasili na isiyochakachuliwa haina madhara zaidi ya mtu mwenye hizi nguvu kuweza kufanya maajabu ya kusogeza vitu bila kuvigusa.... Dunia bado ina mengi na mengi bado hatuyajui... Usiunyime ufahamu wako maarifa bado kuna mengi huyajui
Mind can do a lot when a human being gets fully control of it.
 
mkuu mshana uko vizuri asee mimi binafsi napenda sana kujua hayo mambo mkuu nimezisoma nyuzi zako za MEDITATION nafanya kila mapema asubuhi kwa dakika kumi ila naona kuna vitu vingi nahitaji kujua zaidi ya hayo kwako mkuu MSHANA JR
Mimi sion aja ya kuyajua zaidi mambo ya mshana labda kuyasoma na kuyasikia alafu ukayapotezea
 
Back
Top Bottom