Telekinesis

Telekinesis

Binadamu anaweza kufanya miujiza kwa msaada wa kuwezeshwa na nguvu ya aina mbili 2 1)Kusaidiwa nguvu ya Roho mtakatifu nguvu ya Nuru au nguvu za Mungu au 2)kusaidiwa na roho wa giza/ufalme wa giza shetani na mawala wake(mizimu,mapepo ,majini ,uchawi,uganga wa kienyeji n.k)

NJE WA MSAADA WA HIZO NGUVU MBILI a)msaada wa Mungu/nguvu za Nuru au b)msaada wa shetani nguvu za giza(majini,mizimu n.k)
bila msaada huo
Binadamu hana uwezo wowote wa kufanya miujiza bila msaada wa kiroho kutoka ufalme wa nuru au ufalme wa giza.
Hata waganga wa kienyeji bila kupandisha mizimu kichwani kuita wazeee au majini yao hawana maajabu hawana miujiza
the same kwa viongozi wa kiroho wahubiri wenye nguvu ya Mungu wanao ombea watu mapepo yakatoka na wakapona..miujiza wanayofanyabni kwa msaada wa nguvu za Mungu ,Roho mtakatifu sio nguvu zao,na hata wakiponya watu wanatakiwa waseme ni Mungu aliyewaponya sio wao.
TOFAUTI NI KWAMBA
Shetani anafanya kazi kwa siri sana ,kuna baadhi ya watu wanatumiwa na nguvu za giza bila ridhaa yao na bila wao kujua ,hivyo wanaweza kijikuta wanafanya miujiza wakafikiri ni kwa nguvu zao kama wale walikuwa wanajiita POWER MABULA au hao wanaohamisha vitu bila nyenzo yoyote bila kuzishika ,kumbe wako possesed na ma demon/ma mizimu ila hawajui,(wanajiita super human,au super natural kumbe ni wanawezeshwa na nguvu ya nje ya ziada kotoka kwa majino,mizimu(ufalme wa giza.)
Na kuna vitu ukivifanya una alika nguvu za giza zikuingie na kuna vitu ukibifanya una alika nguvu ya Mungu .
unaweza kusema una clear mind na kufanya meditations kumbe unafungulia mlango na ku alika nguvu za giza majini yakuvae bila wewe kujua.SIO KILA KITU CHA KUJARIBU.
 
Hili chaweza kuwa kitu kigeni mno masikioni mwa wengi lakini ni kitu kilichopo Katika Ulimwengu huu
Telekinesis ni hali ya kuwa na uwezo na nguvu za kiasili za kuweza kunyanyua na kusogeza vitu kwa viungo vya mwili hasa mikono bila kuvigusaView attachment 299478
Telekinesis ni tendo la psychic ambalo ambalo uwezo wake ni uleule wa kusogeza vitu na kuvihamisha bila kuvigusa-psychokinesis

Sasa hiajalishi kama ni telekinesis au psychokinesis lakini matendo yote haya mawili ni sehemu mojawapo ambayo kisayansi bado yanaacha maswali mengi huku baadhi ya watu Katika tafiti na mabandiko yao wakizihusisha a nguvu za giza
Lakini ukweli ni kwamba mind/ufahamu wa binadamu ni kitu chenye nguvu mno na kwakweli tunachotumia ni sehemu ndogo tu ya nguvu ya ufahamu wote tukio nao... Kidini hasa katika Biblia takatifu hii nguvu inaitwa imani, na tunaambiwa ukiwa na imani ndogo tu isiyozidi ukubwa wa chembe ya haradali utakuwa na uwezo hata wa kuhamisha milima... Hii imani katika Bible ndio telekinesis kwa upande mwingine

Sasa watu hujaribu kumiliki hizi nguvu kwa njia ya mkato au ya kujituma na kupractice, tunapoongelea mambo ya meditation, psychic powers n abilities yoga astral practice nk kimsingi Tunaongelea telekinesis katika secondary stage, baada ya kuchanganya na maarifa mengine Kama hayo
Lakini pia kuna wale ambao hupenda kumiliki nguvu za telekinesis kwa njia za mkato na hapa ndipo watu huingia mikataba na kuzimu na kufanya makafara huku wengi wakiingizwa kwenye dini ya mashetani ili tu aweze kufanya mambo kama hayo

Siku hizi tuna manabii na mitume wengi wanaofanya miujiza mingi hasa ile ya kuwapuliza tu watu na watu hao kuanguka au kunyoosha tu mkono au kidole na nguvu yake kuwaangusha watu.... Msidanganyike ile si nguvu ya kiMungu bali ni aina fulani ya nguvu za kitelekinesis na ki psychokinesis zilizochakachuliwa na mwishowe kuchomekea jina la Yesu kristo kupumbaza watu

Tuna waganga wa kienyeji pia wenye hizi nguvu, lakini huchanganya na mambo mengine ya giza na kuweza kuwapumbaza na kuwarubuni maelfu kwa maelfu

Telekinesis ya kiasili na isiyochakachuliwa haina madhara zaidi ya mtu mwenye hizi nguvu kuweza kufanya maajabu ya kusogeza vitu bila kuvigusa.... Dunia bado ina mengi na mengi bado hatuyajui... Usiunyime ufahamu wako maarifa bado kuna mengi huyajui
HUKO Babeli WANA Akiolojia wamegundua HILI jiwe hili HAPA ambalo kwa SASA NI jiwe KUBWA KULIKO mawe YOTE yaliyogunduliwa na yaliycwahi kuchongwa KWA MIKONO YA wanadamu

CHA KUJIULIZA HAPA ni KWAMBA jiwe hili lingechukuliwaje KUTOKA KWENYE quarry kupelekwa KWENYE site?

Could be HILI jiwe lilitelekezwa na WATU WALIOKUWA wanajenga mnara WA Babeli CHINI ya Engineer Nimrod?

 
Hizi nguvu MTU akizitumia kupiga hela kwanini huwa zinapotea ?

Hii nimeiona Sana

Ukimuombea MTU bila kumuomba hela huyo MTU anafanikiwa na Kama alikuwa na shida inaisha kabisa au kupata ufumbuzi.


Hii nime-practice Mimi sio Mtumishi ila huwa napenda kufanya ibada kuwaombea watu marafiki ,ndugu n.k

Nadhni psychic power -zipo Ila hazipendi uzitumie kupata faida au profit gain.
 
Zi
Hili chaweza kuwa kitu kigeni mno masikioni mwa wengi lakini ni kitu kilichopo Katika Ulimwengu huu
Telekinesis ni hali ya kuwa na uwezo na nguvu za kiasili za kuweza kunyanyua na kusogeza vitu kwa viungo vya mwili hasa mikono bila kuvigusaView attachment 299478
Telekinesis ni tendo la psychic ambalo ambalo uwezo wake ni uleule wa kusogeza vitu na kuvihamisha bila kuvigusa-psychokinesis

Sasa hiajalishi kama ni telekinesis au psychokinesis lakini matendo yote haya mawili ni sehemu mojawapo ambayo kisayansi bado yanaacha maswali mengi huku baadhi ya watu Katika tafiti na mabandiko yao wakizihusisha a nguvu za giza
Lakini ukweli ni kwamba mind/ufahamu wa binadamu ni kitu chenye nguvu mno na kwakweli tunachotumia ni sehemu ndogo tu ya nguvu ya ufahamu wote tukio nao... Kidini hasa katika Biblia takatifu hii nguvu inaitwa imani, na tunaambiwa ukiwa na imani ndogo tu isiyozidi ukubwa wa chembe ya haradali utakuwa na uwezo hata wa kuhamisha milima... Hii imani katika Bible ndio telekinesis kwa upande mwingine

Sasa watu hujaribu kumiliki hizi nguvu kwa njia ya mkato au ya kujituma na kupractice, tunapoongelea mambo ya meditation, psychic powers n abilities yoga astral practice nk kimsingi Tunaongelea telekinesis katika secondary stage, baada ya kuchanganya na maarifa mengine Kama hayo
Lakini pia kuna wale ambao hupenda kumiliki nguvu za telekinesis kwa njia za mkato na hapa ndipo watu huingia mikataba na kuzimu na kufanya makafara huku wengi wakiingizwa kwenye dini ya mashetani ili tu aweze kufanya mambo kama hayo

Siku hizi tuna manabii na mitume wengi wanaofanya miujiza mingi hasa ile ya kuwapuliza tu watu na watu hao kuanguka au kunyoosha tu mkono au kidole na nguvu yake kuwaangusha watu.... Msidanganyike ile si nguvu ya kiMungu bali ni aina fulani ya nguvu za kitelekinesis na ki psychokinesis zilizochakachuliwa na mwishowe kuchomekea jina la Yesu kristo kupumbaza watu

Tuna waganga wa kienyeji pia wenye hizi nguvu, lakini huchanganya na mambo mengine ya giza na kuweza kuwapumbaza na kuwarubuni maelfu kwa maelfu

Telekinesis ya kiasili na isiyochakachuliwa haina madhara zaidi ya mtu mwenye hizi nguvu kuweza kufanya maajabu ya kusogeza vitu bila kuvigusa.... Dunia bado ina mengi na mengi bado hatuyajui... Usiunyime ufahamu wako maarifa bado kuna mengi huyajui
Zipo nyingi TU cryokinesis,hydrokinesis,pyrokinesis,gryokinesis ,electro kinesis,magnetikinesis, etc
 
Hili chaweza kuwa kitu kigeni mno masikioni mwa wengi lakini ni kitu kilichopo Katika Ulimwengu huu
Telekinesis ni hali ya kuwa na uwezo na nguvu za kiasili za kuweza kunyanyua na kusogeza vitu kwa viungo vya mwili hasa mikono bila kuvigusaView attachment 299478
Telekinesis ni tendo la psychic ambalo ambalo uwezo wake ni uleule wa kusogeza vitu na kuvihamisha bila kuvigusa-psychokinesis

Sasa hiajalishi kama ni telekinesis au psychokinesis lakini matendo yote haya mawili ni sehemu mojawapo ambayo kisayansi bado yanaacha maswali mengi huku baadhi ya watu Katika tafiti na mabandiko yao wakizihusisha a nguvu za giza
Lakini ukweli ni kwamba mind/ufahamu wa binadamu ni kitu chenye nguvu mno na kwakweli tunachotumia ni sehemu ndogo tu ya nguvu ya ufahamu wote tukio nao... Kidini hasa katika Biblia takatifu hii nguvu inaitwa imani, na tunaambiwa ukiwa na imani ndogo tu isiyozidi ukubwa wa chembe ya haradali utakuwa na uwezo hata wa kuhamisha milima... Hii imani katika Bible ndio telekinesis kwa upande mwingine

Sasa watu hujaribu kumiliki hizi nguvu kwa njia ya mkato au ya kujituma na kupractice, tunapoongelea mambo ya meditation, psychic powers n abilities yoga astral practice nk kimsingi Tunaongelea telekinesis katika secondary stage, baada ya kuchanganya na maarifa mengine Kama hayo
Lakini pia kuna wale ambao hupenda kumiliki nguvu za telekinesis kwa njia za mkato na hapa ndipo watu huingia mikataba na kuzimu na kufanya makafara huku wengi wakiingizwa kwenye dini ya mashetani ili tu aweze kufanya mambo kama hayo

Siku hizi tuna manabii na mitume wengi wanaofanya miujiza mingi hasa ile ya kuwapuliza tu watu na watu hao kuanguka au kunyoosha tu mkono au kidole na nguvu yake kuwaangusha watu.... Msidanganyike ile si nguvu ya kiMungu bali ni aina fulani ya nguvu za kitelekinesis na ki psychokinesis zilizochakachuliwa na mwishowe kuchomekea jina la Yesu kristo kupumbaza watu

Tuna waganga wa kienyeji pia wenye hizi nguvu, lakini huchanganya na mambo mengine ya giza na kuweza kuwapumbaza na kuwarubuni maelfu kwa maelfu

Telekinesis ya kiasili na isiyochakachuliwa haina madhara zaidi ya mtu mwenye hizi nguvu kuweza kufanya maajabu ya kusogeza vitu bila kuvigusa.... Dunia bado ina mengi na mengi bado hatuyajui... Usiunyime ufahamu wako maarifa bado kuna mengi huyajui
"List of Kinetic Abilities | Superpower Wiki | Fandom" List of Kinetic Abilities
 
Back
Top Bottom