Teknolojia ya Digitali ya Startimes na Ting: Kero za watumiaji

we magumash pia kama hao mara dstv mara easy
ila sishangai ndo sera za kijani kibichi/au easy ya kwenu nini
na wewe kama sikosei mikoba hahahahahahahah
usharudi igunga bwana? angalia wasikumwagie tindikali



Karibuni Easy TV..hawa wachina hawana longo longo kabisa!
 
hicho cha kwako kina super sport?
khaaaa basi labda startimes tu changu
chanel za kichina na kifaransa



ar Times msikate tamaa, niliwapigia jana na wakasema walikuwa na matatizo ya umeme kwenye kituo chao cha kurushia matangazo kilichopo Kisarawe. Leo naona wako bomba, kwa wanaotaka kutumia bajeti ndogo STAR TIMES ndio chaguo. La uko tayari kutumia bajeti kubwa hakuna ubishi SUPER SPORTS haina mpinzani, mengine yote ni ushabiki.[/QUOTE]
 
duh, umegongelea msumari wa 7'' kwa ting tofauti na nilivyotarajia, wkt mwingine huwa naona namna unavyojenga hoja kule jukwaa dini na kudhani ting ndio wangekuwa best friend wako
heheheheheeeee :) Rafiki yangu kumbe unanifuatilia ehhh? Hamna ndugu, TING ya ki'Agape ndugu halafu haina quality.
 
Biashara na dini vitu viwili tofauti, TING ni biashara. Ingawa wanatumia nafasi yao kujaribu kuyaunganisha, hivyo uko sawa mkuu kueleza kutoridhishwa kwako na TING.
 
kwanini mtu mmoja atumie id 2
cc c wana magamba, si mtu mmoja bwana wewe baaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!
sisi ni dugu moja!!!!!!!!!! umeridhika au tukuletee barua za
mwenyekiti wa sirikali za mitaa yetu tunayoishi na picha?




Flora na Angel ndugu au mtu mmoja?
 
we magumash pia kama hao mara dstv mara easy
ila sishangai ndo sera za kijani kibichi/au easy ya kwenu nini<br />
na wewe kama sikosei mikoba hahahahahahahah<br />
usharudi igunga bwana? angalia wasikumwagie tindikali
Hapa nafanya kazi mbili..
Ya chama na kumlinda mke wangu..
Hawa senior bachelorz wa CDM wanaweza wakambaka mke wangu!
 
hehehehe na yeye yupo huko khaaaa
kama kuna ka zygot
lazima katakiwa na kenyewe chichi -em!! af usisingizie cdm kuwa wanabaka
ci juzi mtu wa kijani kibichi kachezea kipigo guest kakamatwa
anaivuruga amri ya 6 ya muumba!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!???????????
sasa we wafanyaje huko kwenye chama cha wabakaji hama huko



Hapa nafanya kazi mbili..
Ya chama na kumlinda mke wangu..
Hawa senior bachelorz wa CDM wanaweza wakambaka mke wangu!
 
hehehehe na yeye yupo huko khaaaa<br />
kama kuna ka zygot <br />
lazima katakiwa na kenyewe chichi -em!! af usisingizie cdm kuwa wanabaka
ci juzi mtu wa kijani kibichi kachezea kipigo guest kakamatwa
anaivuruga amri ya 6 ya muumba!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!???????????
sasa we wafanyaje huko kwenye chama cha wabakaji hama huko
Nikirudi dar nitakuletea Kadi yako ya chama chetu! Huko CDM hapakufai!
Hapa naipata easy TV..StarTimes huku watu hata hawajui ni mdudu gan!
 
hapa ninachoona ni vita tu ya kibiashara

Star times bado ni affordable sana kwa watu wa kipato cha kati na chini

Pi walau inapatikana katika mikoa mingine todauti na Dar

flora Msofe, wakati mwingine ukiona kama signal sio nzuri, we search upya channels tu na zinajirefresh vizuri kabisa. Pia angalia antenna yako umeiweka vipi unajua tena mambo ya reception...lakini kwa tatizo la dar ndo ivo kama kulikuwa na problems kwen kituo cha kisarawe thats understandable

Hizo nyingine, TING<, EASY etc zinapatikana wapi hasa na zonaonyesha channels zipi? Ukiacha DSTV ambao kidogo wapo ghali ukilinganisha na wengine...hivi DSTV nikilipa elf 15 kwa mwezi, napata na Supersport pia zinazoonyesha soka na michezo mingine ama inabidi kuingia ndani zaidi mfukoni?
 
Jaribu TING wao wanashare satellite moja na Dstv kwa hiyo unaweza wapata popote pale ulipo ndani ya Tanzania gharama yao ni sh 250000 malipo kwa mwezi zipo akaunti mbili ya 10000 na 22000.
Mkuu naomba unijuze kidogo hata sisi tulioko huku mwisho wa Tanzania, Biharamulo tunaweza kupata chanel? huku bila dish ni balaa tupu.
 
Jana badala ya kukasirika nikaishia kucheka, eti wametangaza kuwa wataonyesha mechi ya serie A, saa tatu usiku, nikasubiri weee hadi saa tano, hakuna kitu wala hawakutoa meseji yoyote ya kuomba hata radhi tu! Nimechoka
 
Mkuu naomba unijuze kidogo hata sisi tulioko huku mwisho wa Tanzania, Biharamulo tunaweza kupata chanel? huku bila dish ni balaa tupu.
<br />
<br />
Unaipata mkuu bila tatizo lolote hayo ndo mambo ya satellite siyo hayo ya geuzia mjini!!!!!!!!!!!
 
Jana badala ya kukasirika nikaishia kucheka, eti wametangaza kuwa wataonyesha mechi ya serie A, saa tatu usiku, nikasubiri weee hadi saa tano, hakuna kitu wala hawakutoa meseji yoyote ya kuomba hata radhi tu! Nimechoka
Hukuangalia vizuri tu mkuu, walitoa tangazo tena waliomba samahani. Nami nilikuwa naisubiri hiyo mechi na nikaona tangazo lao, walisema signal ni mbaya watajitahidi kurekebisha ili siku nyingine kusitokee tatizo tena. Ndio vitu vya bei ndogo tena!
 
Hizo nyingine, TING&lt;, EASY etc zinapatikana wapi hasa na zonaonyesha channels zipi? Ukiacha DSTV ambao kidogo wapo ghali ukilinganisha na wengine...hivi DSTV nikilipa elf 15 kwa mwezi, napata na Supersport pia zinazoonyesha soka na michezo mingine ama inabidi kuingia ndani zaidi mfukoni?

Mkuu unataka uangalie soka kupitia Dstv kwa shilingi 15000 tu?.,hebu kuwa siriaz bwana wenzako wanalipa 127000 kupata Premium Bouquet ambayo ina channel zote za Supersport hapo soka 24/7
 
Back
Top Bottom