Teknolojia ya Digitali ya Startimes na Ting: Kero za watumiaji

Hii decoder nilivyo inunua haikuwa ikionesha rangi,yaani ilikuwa picha black and white,baada ya wiki ikaonyesha rangi,sasa haionyeshi tena rangi,nimeongea na startimes wameniambia ni eria,nimejeribu mpaka nimechoka,naombeni mnisaidie kama kuna settings naweza fanya rangi ikaonekana.thanks
 
Next time ukinunua kifaa hasa cha umeme test hapo hapo dukani. Ok kama ina warantee kama vipi irudishe dukani uwaambie tatizo.
 
angalia color system uliyo set kwenye tv na decorder.make sure zinafanana i.e kama ni pal au ntc
 
Kama kuna mhusika wa startimes unasoma hapa jua kwamba mnazidi kufukuza wateja na kuwafanya waliotaka kujiunga kufikiria upya,yan mna chanel za ajabu halafu mbaya bado mna taka kuongeza price/kupunguza chanel,yaani nyie OVYO,boresheni huduma ndio muwaige dstv,wale wapo next level
 
hawajajiandaa vema. mie nimelipa miezi mitano mfululizo. zikiisha naondokana nao. lakini kwa tanzania hii kila kitu kinawezekana. bei watapandisha na watz wataendelea kusubscribe tu
 
nimeiweka kabatini mwezi wa 5 huu ss nimeona waanatangaza kungfuu chanel cjaona kpya
 
Mimi bado sijawaelewa mpaka sasa.Kuamka asubuhi na kukata baadhi ya chanel bila ya kumpata taarifa mteja wako. Inasikitisha sana hawa wachina
 
Wapu...zi wakubwa wale, eti usiku wa mwisho wa septemba ndio wanaweka tangazo eti kuanzia kesho tutabadili mfumo; yaani nimekasirika vibaya sana maana about two or three days ndio nilikua nimelipa bili ya mwezi sasa ghafla sipati chanel zote, mbaya zaidi hakuna maelezo ya maana wameweka li namba la simu pale sasa wangapi watapiga simu kwao, cha kushangaza na kusikitisha zaidi na kwamba eti NDIO WAMEPEWA MKATABA WA kuendesha huduma hio nchi nzima na yule mchina anasema ataongeza hadi mtaji wa dola milioni mia mbili...sijui ikjoe ile mijamaa hata sijui mie
 
Kama kuna mhusika wa startimes unasoma hapa jua kwamba mnazidi kufukuza wateja na kuwafanya waliotaka kujiunga kufikiria upya,yan mna chanel za ajabu halafu mbaya bado mna taka kuongeza price/kupunguza chanel,yaani nyie OVYO,boresheni huduma ndio muwaige dstv,wale wapo next level

Takataka kabisa hawa, uharo wa chooni. Tupilia kwa mbali makopo yao. Yamenisumbua sana. Nimeyatupa afadhali antena ya waya wa umeme iko stable kuliko oharo wao. To hell
 
Mali ya magamba ile jamani, mpaka leo hamjui ndo kichocholo cha kuingilia wachina wengi kama mbu wa dimbwini Tanzania.
 
channel nyingi za startimes unaweza kuzipata kwenye receiver za bure haina haja ya kulipia mi nilijua hawa jamaa wez tu uawezaje ukaendesha cable company kwa mwezi unalipa 9000 ndo maana hamna ligi za maana gtv nyingine hiyo baada ya muda watakimbia hao
 
Mi nililipia siku nyingi ila kwakuwa hapa nilipo sina option nyingine ningehama. Ila nasikia free chanel(FTA) mwisho mwaka kesho baada ya kuingia kweney digital world
 
Mi antenna nishaitupilia darini zamani ila decoder yao nafugia mende,ilinillazimu kufunga dstv no scratches clear sounds and pictures
 
Safari hii hata nami siwatetei, wamenikera. Kampuni gani haijui mteja, haina customer care?. Kitengo chao cha masoko kinafanya kazi gani?. Siku mbili tu nimeenda kulipia na kuwawalalamikia kuwa vocha zao hazipatikani kwa mawakala badala kuniambia kuwa wana jambo wanataka kufanya wakala jiwe. Mara kila kitu hakionekani wakati wangeweza kutoa matangazo kupitia TV yao na wateja tungejua nini wanataka kufanya, wanatoa namba ya simu na kuiweka voice mail tunaliwa hela kupokea hawapokei. Yaani wamenikera basi tu, kweli bure ghali. Dawa ni DSTV tu.
 
Mimi nilidhani startimes wananipa kichefuchefu mimi tu!kumbe siko peke yangu.Jamaa ni bonge ya matapeli ya kimataifa!ukiondoa channel za habari kama BBC na AL JAZEERA ambazo hata wanyewe wanadaka bure hakuna kingine cha maana aisee.ni uozo mtupu!hapo ndipo nilipokuja kumchukia mzee TIDO,Alituingiza mkenge kwa hawa wachina.
 
Back
Top Bottom