TeamLowassa hatuna chetu Ikulu!


Ndio mrudishe fedha za lowasa,kwani mlikuwa mna mlaghai kuwa anakubalika kumbe mnamdanganya kwa sababu ya njaa zenu,mkiitwa chumia tumbo mtakataa?
 

Mkuu Yote uliyoyasema yana ukweli ndani yake,ila nivizuri ukafahamu kuwa njia ya ukombozi popote duniani vikwazo ni lazima,hivyo basi ukawa inabidi kuwa makini sana kitu ambacho kinafanyiwa kazi.
 
Hammy leo umekuwa mpole sana sijawahi kukuona katika uzi ukiwa hivi. Pole sana sana!

Anajiuliza ni kwanjia gani atarudishaje fedha za lowasa alizokuwa anavuta kwa kumdanganya kuwa ataupata urais
 
Makongoro akipitishwa na CCM tu. Upinzani unachukua ushindi kwa kishindo na mmojawapo atakayeshiriki kuwaangamiza ni team ya mzee wa monduli. Tena akipita tu makongoro UKAWA wamuweke Mbowe. Team Lowasa yote itampigia kampeni Mbowe.
 
Kutafuta mgombea ndani ya ccm ni sawa kutafuta mwanamke bikra kwenye wodi ya wazazi.
VOTE FOR UKAWA
 
Yaani huyu makongoro chapombee aje awe rais sababu ya jina la baba yake ??? Haitakaa itokee. Kwanza ananini acha kuonyesha alichowafanyia watanzania ?? Ubunge wa arusha tu ulimshinda ndio aje kuwa rais ?

We unamtaka nani?
 
Kilichomfanya Charles Nyerere kurudi CCM ni nini wakati baba yake alisema CCM sio mama yake na yamkini angekuwa hai leo angeisha jiondokea? Hatutaki wine ya zamani kwenye chupa mpya, tunataka wine mpya kwenye chupa mpya.

Slaa ni wine ya zamani
 
Tafadhali sana, tena saana tu, usitujumulishe watanzania wote katika uzuzu wako huo, mapenzi yako na EL kanywe naye chai! kama hukuwa na uwezo wa kusoma alama za nyakati, huo ni uzuzu wako wewe, Edward hana nafasi katika Ikulu ya magogoni, laana ya Mwalimu lazima imtafune tu! Ikulu kuna biashara gani mtu anatumiatumia vipesa kuwahonga watu?! Atazirudishaje?!
Kubwa zaidi; yatakuwa ni matusi makubwa sana kwa chama tawala na watanzania kwa ujumla kumruhusu Edward kuwa mpangaji wa Ikulu ya Magogoni. Liwe liwalo, Edward Apigwe tu; (Piga Tu!!) kule Bukoba kwangu na mie wanasema; Edward ATELWE ATAE!! period.
 

Na wewe unakunywa gongo kama makongoroeee.huwez kuwa salama kwa kunywa gongo lazma ikuharibu ubongo.
 
Akili kama mwakembe vile.ubongo uliojaa pollonium.
 
Sio km naogopa ila naongelea fact ndugu yangu watanzania wengi bado sana then jina la Nyerere still lina sound masikioni mwa watanzania wengi,hii ni karata dume kwa magamba...mark my word!!

Nitakuwa wa mwisho kuamini
 

Ha ha ha ha haaaa...Mweneziiiiiii...naona tayari umeshainamisha chungu unasubiri kumchoropoa panya (Lowasa)...!!!
 
Mlevi wa Gongo mpaka lini aje kuwa Rais,midomo yake myekundu sababu ya Gongo leo hii eti nae anautaka urais,kwani ikulu kuna kiwanda cha Gongo?
 

wote ccm na chadema hawafai coz wote wanaishi kwa matukio that means hata chadema wakishika nchi mambo yatakua yaleyale.
 
UKAWA wanajitoa ufahamu kama hilo nalo hawalitaki.

Huu utitiri wa wagombea ulikuwa mpango mkakati wa wazee wa chama ili kuonekane kama kuna ushindani mkubwa na pia ili iwe rahisi kufutilia mbali jina tishio la Lowassa.

Hatuna chetu.

Hahaaaa
Yaani kila nikisoma comment yako naishia kucheka jinsi ulivyokua mpole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…