TeamLowassa hatuna chetu Ikulu!

TeamLowassa hatuna chetu Ikulu!

Leo nimecheka sana,

kunajaa zangu nawajua kwenye hii mada wanachungulia kwa mbali wana like halafu wanakimbia,

kweli makongoro kiboko ya mafisadi kazi inaanza kijana anafaa kuongoza.
 
ki ukweli ccm waki mpitisha Makongoro UKAWA tutachapwa mapema sana...jina la Baba yake lita mbeba sana na jinsi watanzania wengi walivyo mazuzu mmhhh tuombe Mungu.
Umenifurahisha mkuu jipangeni kumchafua huyu nyie siwazee wa porojo
 
Akili kama mwakembe vile.ubongo uliojaa pollonium.

"Akili kama mwakembe"
Join Date : 27th May 2015
Posts : 16
Rep Power: 304
Likes Received: 0
Likes Given: 0

Sio makosa yako, you have just joined the forum; akili bado teke teke! acha maisha ya KUKARIRI na KUIGA; hili jukwaa ni maji marefu; lina ushawishi mpaka serikalini; BUT you have a chance; Ukikua utaelewa!
 
Sio km naogopa ila naongelea fact ndugu yangu watanzania wengi bado sana then jina la Nyerere still lina sound masikioni mwa watanzania wengi,hii ni karata dume kwa magamba...mark my word!!
nikiwemo mimi. Hata kama makongongoro ni kilaza nitampa kura yangu
 
Tayari wazee wa chama ikiwemo Mangula na wengineo wamepanga tayari mgombea wao.

Mzee Mkapa, Mzee Mwinyi na Karume wamepanga huyo ndiye awe.

Tayari wafadhili wanao aminika na chama wameamua huyo ndiye awe.

Tayari kinachoitwa 'system' wameamua huyo ndiye awe.

Tayari jamii za kimataifa zimeamua huyo ndiye awe.

Ila bado tu Watanzania walio wengi kuamua. Ila ieleweke, pamoja na mapenzi makubwa Watanzania waliyonayo kwa Lowassa, CCM imeamua vinginevyo.

Mgombea Urais Kupitia CCM 2015 ni Makongoro Nyerere. Confirmed.

UKAWA Jipangeni kivingine. Ile furaha yenu ya muda mfupi imekwisha ghafla.

ki ukweli ccm waki mpitisha Makongoro UKAWA tutachapwa mapema sana...jina la Baba yake lita mbeba sana na jinsi watanzania wengi walivyo mazuzu mmhhh tuombe Mungu.

Mbona me naona kama ndio Ukawa wanaingia ukulu..mhh hakya Mungu Lowasa ndie tishio kabiiiisa hawa wengine hamna kitu wa tz wanakaakili kidogo.Habari njema saaana kama ni kweli.
 
Tayari wazee wa chama ikiwemo Mangula na wengineo wamepanga tayari mgombea wao.

Mzee Mkapa, Mzee Mwinyi na Karume wamepanga huyo ndiye awe.

Tayari wafadhili wanao aminika na chama wameamua huyo ndiye awe.

Tayari kinachoitwa 'system' wameamua huyo ndiye awe.

Tayari jamii za kimataifa zimeamua huyo ndiye awe.

Ila bado tu Watanzania walio wengi kuamua. Ila ieleweke, pamoja na mapenzi makubwa Watanzania waliyonayo kwa Lowassa, CCM imeamua vinginevyo.

Mgombea Urais Kupitia CCM 2015 ni Makongoro Nyerere. Confirmed.

UKAWA Jipangeni kivingine. Ile furaha yenu ya muda mfupi imekwisha ghafla.

huyo mlevi wa sigara na pombe labda awe rais wa ukoo wa nyerere! rais kikwete amefanya urais uonekane ni jambo linaloweza kufanywa hata na walevi wa gongo na jani!

rais wa 5 wa Tanzania ni Dr Wilbroad Peter Slaa.
 
ki ukweli ccm waki mpitisha Makongoro UKAWA tutachapwa mapema sana...jina la Baba yake lita mbeba sana na jinsi watanzania wengi walivyo mazuzu mmhhh tuombe Mungu.
hahaa,kweli mkuu watadhani wanampigia Nyerere kumbe......majanga
 
Tumeamka watanzania bana, nani asiyejua muzee ya mutungi...historia ya baba inasomeka.. yake ? msasani hatudanganyiki ngo..labda wa temeke!
 
Mimi ni timu lowassa,lakini hii timu yangu na bosi wetu lowassa tunamuogopa sana makongoro,tukisikia jina lake tu jasho huku mpaka huku
 
Tanzania ya leo sio ile mliyoizoea ya mwaka 47 ya kuweka jiwe na picha. Tunataka sera na sio jina over
 
Mnataka ushindi wa chee kimoyo moyo, jamaa hawawezi kufanya kosa hilo.

ki ukweli ccm waki mpitisha Makongoro UKAWA tutachapwa mapema sana...jina la Baba yake lita mbeba sana na jinsi watanzania wengi walivyo mazuzu mmhhh tuombe Mungu.
 
Mbona me naona kama ndio Ukawa wanaingia ukulu..mhh hakya Mungu Lowasa ndie tishio kabiiiisa hawa wengine hamna kitu wa tz wanakaakili kidogo.Habari njema saaana kama ni kweli.
Kwa tarifa yako usithubutu kumbeza makongoro ni kitu kingine hicho ukawa kule hakuna kiongozi hata mmoja wa kusimama na makongoro watatupwa mapema sana.
 
Kwani Makongoro ameifanyia nini cha ajabu nchi hii.
Waache CCM wajiaminishe,hawata amini macho yao Ukawa itakavyowafanya.
 
Leo nimecheka sana,

kunajaa zangu nawajua kwenye hii mada wanachungulia kwa mbali wana like halafu wanakimbia,

kweli makongoro kiboko ya mafisadi kazi inaanza kijana anafaa kuongoza.

Kumbe we timu makongoro unatutishia nyau! Eti ukawa wajipange ngoja uone miujiza ya Mungu Tz mwaka huu.
 
Kwa tarifa yako usithubutu kumbeza makongoro ni kitu kingine hicho ukawa kule hakuna kiongozi hata mmoja wa kusimama na makongoro watatupwa mapema sana.

mkuu ni kweli kwa vile mitanzania mingi inaangalia majina. lakini mimi binafsi kura yangu ni ukawa.
 
Back
Top Bottom