TeamLowassa hatuna chetu Ikulu!

TeamLowassa hatuna chetu Ikulu!

Tanzania kama Tanzania, hakuna upinzani wa ukweli, hakuna cha hao UKAWA au nani sijui, maana ukiviangalia vizuri hivyo vyama vya upinzani vinaendeshwa kwa matukio, hawana sera za kueleweka utakuta tukio fulani likitokea, basi wamelishikilia, likiisha wanakaa kimya likitokea tukio lingine basi wanalishupalia hivyo hivyo reference mgomo wa madereva wa mabasi, katiba mpya, etc etc yani Tanzania hakuna upinzani bado, ni unafiki kwenda mbele na uchu wa madaraka

Mtazamo wako
 
When i see makongoro, i see the late mwalimu nyerere, siku zote mtoto wa nyoka ni nyoka tu, nadhani anastahili, kuliko huyo anayeshinda kutwa kugawa rushwa ili achaguliwe, sasa kama mtu ata ikulu hujaingia unaanza ku promote rushwa, akiingia ikulu si ndio itakuwa balaa?

unauxhahidi wowot wa rushwa iliyo tolewa na mh.?
 
Tayari wazee wa chama ikiwemo Mangula na wengineo wamepanga tayari mgombea wao.

Mzee Mkapa, Mzee Mwinyi na Karume wamepanga huyo ndiye awe.

Tayari wafadhili wanao aminika na chama wameamua huyo ndiye awe.

Tayari kinachoitwa 'system' wameamua huyo ndiye awe.

Tayari jamii za kimataifa zimeamua huyo ndiye awe.

Ila bado tu Watanzania walio wengi kuamua. Ila ieleweke, pamoja na mapenzi makubwa Watanzania waliyonayo kwa Lowassa, CCM imeamua vinginevyo.

Mgombea Urais Kupitia CCM 2015 ni Makongoro Nyerere. Confirmed.

UKAWA Jipangeni kivingine. Ile furaha yenu ya muda mfupi imekwisha ghafla.


Umerogwa??? watu gani wana mapenzi na Lowasa???
 
Kabisa! Mimi na mafisadi ni kama ardhi na mawingu

Tatizo watanzania tulio wengi tunasumbuliwa na ushabiki, huyo huyo wanaomshabikia sasa ivi awe raisi, ndo yule yule waliomvalia njuga kipindi kile cha scandal kuwa hawamtaki ajiuzuru, leo imekuwaje wanamuona anafaa kuiongoza nchi? Watanzania tumerogwa, na aliyeturoga kafa.
 
Tayari wazee wa chama ikiwemo Mangula na wengineo wamepanga tayari mgombea wao.

Mzee Mkapa, Mzee Mwinyi na Karume wamepanga huyo ndiye awe.

Tayari wafadhili wanao aminika na chama wameamua huyo ndiye awe.

Tayari kinachoitwa 'system' wameamua huyo ndiye awe.

Tayari jamii za kimataifa zimeamua huyo ndiye awe.

Ila bado tu Watanzania walio wengi kuamua. Ila ieleweke, pamoja na mapenzi makubwa Watanzania waliyonayo kwa Lowassa, CCM imeamua vinginevyo.

Mgombea Urais Kupitia CCM 2015 ni Makongoro Nyerere. Confirmed.

UKAWA Jipangeni kivingine. Ile furaha yenu ya muda mfupi imekwisha ghafla.

KWELI NCHI HII NI YA KISULTAN/

KUTOKA KWA BABA NA SASA KWA MWANA

THAT'S MEAN ITATOKA KWA JMK
NA KWENDA KWA RIDHWAN SIKU MOJA/

NI WAKATI SASA WAJUMBE WA NEC KULITIZAMA HILI KWA UMAKINI

TUONDOLEENI USULTANI HUU!ii
 

Attachments

  • 1433311590903.jpg
    1433311590903.jpg
    22.5 KB · Views: 101
ni ajali ya kisiasa uyu ndg amepata. kweli siasa upepo ndo anapotea midomon mwa watu iv iv et
 
At least makongoro kuliko huyo lowasa, mi kiongozi akishakuwa na kashfa tu either ya kusingiziwa au lah uwa sina hamu nae kabisa

ha ha ha skendo za lowassa ni nyingi mno halafu mwenyewe wala hakanushi anachukulia simple tu.
 
Tayari wazee wa chama ikiwemo Mangula na wengineo wamepanga tayari mgombea wao.

Mzee Mkapa, Mzee Mwinyi na Karume wamepanga huyo ndiye awe.

Tayari wafadhili wanao aminika na chama wameamua huyo ndiye awe.

Tayari kinachoitwa 'system' wameamua huyo ndiye awe.

Tayari jamii za kimataifa zimeamua huyo ndiye awe.

Ila bado tu Watanzania walio wengi kuamua. Ila ieleweke, pamoja na mapenzi makubwa Watanzania waliyonayo kwa Lowassa, CCM imeamua vinginevyo.

Mgombea Urais Kupitia CCM 2015 ni Makongoro Nyerere. Confirmed.

UKAWA Jipangeni kivingine. Ile furaha yenu ya muda mfupi imekwisha ghafla.

Nakataa kwa 100%

iwaje kama suala lipo confirmed na wagombea wazidi kuchukua form na kutangaza nia?

hiyo form in gharama!

pili,hao hao wapo ndani ya system haiwezekani washindwe litambua hilo!
 
When i see makongoro, i see the late mwalimu nyerere, siku zote mtoto wa nyoka ni nyoka tu, nadhani anastahili, kuliko huyo anayeshinda kutwa kugawa rushwa ili achaguliwe, sasa kama mtu ata ikulu hujaingia unaanza ku promote rushwa, akiingia ikulu si ndio itakuwa balaa?

Kura ya ndio for Makongoro, he is the one.
 
Mimi sipendi fisadi lakini nitamchagua EL ili akiingia magogoni amweke lupango mkulu! Nauhakika EL atafanya kama Mwanawasa alivyomfundisha adabu mtangulizi wake kule Zambia. Watz tukunje ngudo na kumchagua EL ili haki ifanyike kwa yote mkulu aliyotutendea.
 
Mimi sipendi fisadi lakini nitamchagua EL ili akiingia magogoni amweke lupango mkulu! Nauhakika EL atafanya kama Mwanawasa alivyomfundisha adabu mtangulizi wake kule Zambia. Watz tukunje ngudo na kumchagua EL ili haki ifanyike kwa yote mkulu aliyotutendea.

Acha kujidanganya, hakina wa kufanya kitu kama hicho kwa tz hii tena eti kutoka ccm, never.
 
ha ha ha skendo za lowassa ni nyingi mno halafu mwenyewe wala hakanushi anachukulia simple tu.

Angetulia zake tu amalize uzee wake salama, na kwa afya yake ile na midomo ya watanzania ilivyo migumu, watamuua kwa pressure mzee wa watu
 
Hii ikitokea itakuwa safi sana. Vyama tawala Africa viliangushwa kutokana na kufanya makosa na nguvu kubwa ya upinzania. Kile walichokifanya KANU Ikapotelea mbali ndicho kinakwenda kutokea Tanzania
 
Back
Top Bottom