TeamLowassa hatuna chetu Ikulu!

TeamLowassa hatuna chetu Ikulu!

Jamani chondechonde hizi siasa za kuridhiana kwa watoto jamani zifike kikomo sasa maana ni balaa katika bara hili la africa
 
Tayari wazee wa chama ikiwemo Mangula na wengineo wamepanga tayari mgombea wao.

Mzee Mkapa, Mzee Mwinyi na Karume wamepanga huyo ndiye awe.

Tayari wafadhili wanao aminika na chama wameamua huyo ndiye awe.

Tayari kinachoitwa 'system' wameamua huyo ndiye awe.

Tayari jamii za kimataifa zimeamua huyo ndiye awe.

Ila bado tu Watanzania walio wengi kuamua. Ila ieleweke, pamoja na mapenzi makubwa Watanzania waliyonayo kwa Lowassa, CCM imeamua vinginevyo.

Mgombea Urais Kupitia CCM 2015 ni Makongoro Nyerere. Confirmed.

UKAWA Jipangeni kivingine. Ile furaha yenu ya muda mfupi imekwisha ghafla.

Hiyo ni hadithi ya kale,ya kalume kenge kalikataa kwenda shule
 
Mpiganaji huwa hakati tamaa. Mlijidanganya sana kuwa Lowasa anakubalika ndani na nje. Tutaheshimiana tu. Nenda huko UKAWA kama unaona kuwa fisadi Lowasa ataenguliwa kwenye kinyang'anyiro
 
makongoro yupo vizuri Hana kashfa
Mungu ndiye ajuaye Rais wa Watanzania. Iwe Makongoro sawa. Ila kwa fisadi Lowasa haitakuwa sawa na Mungu anatuona na anajua nini tunahitaji
 
Jamani chondechonde hizi siasa za kuridhiana kwa watoto jamani zifike kikomo sasa maana ni balaa katika bara hili la africa
Si kweli kwamba wanarithishana. Demokrasia inatamalaki. Mtu anashinda kwa sifa zake
 
kumbe umekuwa kiona mbali basi anza kuandaa sanda kwani mtakufa kwa presha mwezi wa nane. wanaosema mako ni mlevi sio hoja atakuwa ananyea nyumbani akiamka supu ya ukweli, nafikiri uliona jana akiwa yuko kwenye mazoezi ya kusoma hotuba.
 
Mkuu,

Sio uzushi, na sijasema Mkapa Alikuwepo. Kuwa muelewa.

Haya mambo yalikuwa 'behind the scene' ila sasa yamedhihirishwa na hao wazee kuwa wapo upande upi.

Ushauri wao ni kwamba: Makongoro ataunganisha wana CCM ambao kwa mujibu wa maelezo yao, CCM kwa sasa imejaa nyufa.

makongoro hoyeeeee!!!!
alishinda ubunge wa arusha mjini kwa hiyo jamaa anachagulika na wapiga kura
kushinda arusha mjini ukiwa sio mzawa sio masihara, hata JK hawezi kushinda ubunge Arusha mjini katika uchaguzi huru
 
Tanzania kama Tanzania, hakuna upinzani wa ukweli, hakuna cha hao UKAWA au nani sijui, maana ukiviangalia vizuri hivyo vyama vya upinzani vinaendeshwa kwa matukio, hawana sera za kueleweka utakuta tukio fulani likitokea, basi wamelishikilia, likiisha wanakaa kimya likitokea tukio lingine basi wanalishupalia hivyo hivyo reference mgomo wa madereva wa mabasi, katiba mpya, etc etc yani Tanzania hakuna upinzani bado, ni unafiki kwenda mbele na uchu wa madaraka


Uchambuzi wa aina yako huwa unaniacha hoi kwelikweli. Huwa mnabeba maneno hapa jf halafu mnayaedit kujifanya na nyie mnajua kuchambua. Unasema upinzani hauna sera, ni kweli, hebu tuambie ccm inashinda kwa sera ipi na hao wapinzani wanakosa sera zipi kwa mfano wananchi wangewaelewa? Watanzania walio wengi hawajui maana ya sera na kwa taarifa yako huwa hawachagui kwa kuangalia sera bali umaarufu wa mtu, mazoea na rushwa kiasi gani wanapata toka kwa mgombea. Kama ccm ingekuwa inashinda kwa sera kwanini waishie kuhonga, kutumia tume ya uchaguzi kutangazwa washindi? Nguvu kubwa kubwa inayotumika na jeshi la polisi kuibeba ccm ndio sera unazojinadi nazo hapa?
 
tatizo la kupiga viroba asubuhi ndio hili

Kampeni ya kwanza Mkapa alikuwa na Aibu sana ya kuongea ....na Mara zote kwenye gari yake alikuwa na ka box ka konyagi ....kabla hajapanda jukwaani akikaribia venue ya mkutano alikuwa anapiga kale kachupa emoro Ndio ashuke ...he was too shy ...kwa kuwa miaka yote alikuwa Mtu wa kuongea na hadhira ndogo ndogo za wasomi na wanadiplomasia ...ilikuwa Tabu kwake kuzoea vibwagizo vya Chama na mipasho hadi second term ,,,Ndio akawa amezoea
Hotuba Zake za mwanzo 1995 zote alisoma akiogopa kupotea ..na kibwagizo pekee alichojuaa ni .....

Mambooooooooo !!!!!!! Na dole gumba lake
 
Suala sio jina la baba yake bali anasimamia nini. Makongoro for President 2015.
 
Hivi kweli makongoro anafaa kuwa raisi au anaweza kuwa raisi mzuri wa kuindoa tanzania hapa ilipo na kuipeleka mbele kimaendeleo...hivi watanzania tumefika wakati wa kuchaguliwa raisi kisa tu atamaliza makundi ccm au atakiunganisha chama...hv watanzania wote ni wanachama wa ccm...au raisi wa tanzania ni raisi wa wanaccm...kama ndivo basi hao wazee wanaomtaka makongoro ili amalize mpasuko ccm waanzishe nchi yao inayoitwa ccm na wamkabidhi...watanzania tunataka raisi anayejua matatizo yetu na mwenye nia dhabiti ya kuyatatua....hatutaki raisi wa kuja kuyatatua matatizo ya ccm...ccm wayatatue matatizo yao wenyewe kwani ndo wanajua chanzo chake...watanzania hatujui chanzo cha matatizo ya ccm na kwa maana hyo hayatuhusu...na kama ishu ni jina na sio uwezo wa mtu kiuongozi basi watanzania tukiingia huu mkenge tutakuwa wa ajabu sana...yani makongoro apewe uraisi kisha tu mtoto wa nyerere hata kama kichwani sifuri...hii nchi sio ya kifalme bwana...wafalme ndo huwa wanafanya hayo mambo...tanzania tunahitaji raisi sio jina...
 
Tayari wazee wa chama ikiwemo Mangula na wengineo wamepanga tayari mgombea wao.

Mzee Mkapa, Mzee Mwinyi na Karume wamepanga huyo ndiye awe.

Tayari wafadhili wanao aminika na chama wameamua huyo ndiye awe.

Tayari kinachoitwa 'system' wameamua huyo ndiye awe.

Tayari jamii za kimataifa zimeamua huyo ndiye awe.

Ila bado tu Watanzania walio wengi kuamua. Ila ieleweke, pamoja na mapenzi makubwa Watanzania waliyonayo kwa Lowassa, CCM imeamua vinginevyo.

Mgombea Urais Kupitia CCM 2015 ni Makongoro Nyerere. Confirmed.

UKAWA Jipangeni kivingine. Ile furaha yenu ya muda mfupi imekwisha ghafla.

Wewe ukichaa wako ndio utazidi kuongezeka,nani kakudanganya kuwa watanzania wanampenda lowasa? Kwa taarifa yako wana wa ukawa wamejiandaa kuchukua nchi na siyo kuangalia ni mgombea gani toka ccm,awe makongolo,awe lowasa,hatujali.
 
Namuna Makongoro kama image ya kufukuza mapigaji arround the president and presidency pamoja na kwamba anaweza akawa na sifa kiasi. Pengine the so called 'System' wameamua kuweka mambo sawa baada ya nchi kuyumba sana.

Kufukuza majizi may be imekuwa top priority kwa ustawi wa taifa vinginevyo hata usalama wa nchi unakuwa mashakani.
 
ni kazi sana kuzielezea akili za watanzania
huyo makongoro ni bora akubali aungane na mwandosya ili baadae amkumbuke ampe uwaziri wa kilimo akafungue mashamba mwitongo
 
Jamani chondechonde hizi siasa za kuridhiana kwa watoto jamani zifike kikomo sasa maana ni balaa katika bara hili la africa

acha upuuzi, MAKONGORO hatuwezi to regard kama karidhishwa wakati wamepita marais watutu tokea baba yake
je Nyerere ametoa msaada gani kumfanya MAKONGORO awe ameridhishwa URAIS?
Hamna chembechembe ya Uridhi kwenye issue ya MAKONGORO
MAKONGORO hakupewa msaada na baba yake kwenye safari yake ya SIASA.....aligombea ARUSHA kwa NCCR baada ya kuona hatateuliwa na ccm wakati baba yake alikuwa hai
 
Fuatilia huu uzi #Makongoro Nyerere urais hautafutwi hivyo! Watanzania kuweni makini!
 
Back
Top Bottom